Font Size
                  
                
              
            
1 Timotheo 1:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Timotheo 1:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Lakini wengine wamekosa jambo hili la msingi katika mafundisho yao na wamepoteza mwelekeo. Sasa wanazungumza juu ya mambo yasiyo na msaada kwa mtu yeyote. 7 Wanataka kuwa walimu wa sheria,[a] lakini hawafahamu mambo wanayosema, wanasema kwa ujasiri wote juu ya mambo wasiyoyaelewa wenyewe.
8 Tunajua kwamba sheria ni nzuri ikiwa mtu anaitumia kwa usahihi.
Read full chapterFootnotes
- 1:7 sheria “Sheria” pengine ni “sheria ya Mungu” ambayo Mungu alimpa Musa kwa ajili ya watu wake. Tazama Sheria katika Orodha ya Maneno. Pia katika mstari wa 8.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) 
    © 2017 Bible League International