Font Size
1 Timotheo 1:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
1 Timotheo 1:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Kwa
Walimu Wa Uongo
3 Kama nilivyokusihi wakati nikienda Makedonia, napenda ukae hapo Efeso uwaamuru watu fulani wasiendelee kufundisha mafund isho ya uongo. 4 Pia wasiendelee kupoteza wakati wao kwa hadithi na orodha ndefu zisizo na mwisho za majina ya vizazi ambazo huchochea mabishano badala ya kuwajenga katika maarifa ya kimungu yatokanayo na imani.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica