1 Petro 2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Jiwe Lililo Hai na Taifa Takatifu
2 Hivyo acheni uovu wote, pamoja na uongo, hali za unafiki na wivu na aina zote za kashfa. 2 Kama watoto wachanga, mnapaswa kuyatamani maziwa ya kiroho yaliyo safi, ili kwa ajili ya hayo muweze kukua na kuokolewa, 3 kwa vile mmekwisha kuujaribu wema wa Bwana.
4 Mkaribieni Bwana Yesu, aliye Jiwe lililo Hai, lililokataliwa na watu, bali kwa Mungu ni jiwe lililoteuliwa na kuheshimika. 5 Ninyi pia, kama mawe yaliyo hai mnajengwa ili kuwa hekalu la kiroho. Mmekuwa makuhani watakatifu mkimtumikia Mungu kwa kutoa sadaka za kiroho zinazokubalika kwake kwa njia ya Yesu Kristo. 6 Hivyo, Maandiko yanasema,
“Tazameni, naweka katika Sayuni Jiwe la msingi katika jengo,
lililoteuliwa na kuheshimika,
na yeyote anayeamini hataaibishwa.”(A)
7 Inamaanisha heshima kwenu mnaoamini, bali kwa wasioamini,
“jiwe walilolikataa wajenzi
limekuwa jiwe la muhimu kuliko yote.”(B)
8 Na,
“jiwe linalowafanya watu wajikwae
na mwamba unaowafanya watu waanguke.”(C)
Walijikwaa kwa sababu hawakuutii ujumbe wa Mungu, na Mungu alisema hilo litatokea wasipotii.
9 Lakini ninyi ni watu mlioteuliwa, ni Ukuhani unaomtumikia Mfalme. Ninyi ni taifa takatifu nanyi ni watu wa Mungu. Yeye aliwaita Ili muweze kutangaza matendo yake yenye nguvu. Naye aliwaita mtoke gizani na mwingie katika nuru yake ya ajabu.
10 Kuna wakati hamkuwa watu,
lakini sasa mmekuwa watu wa Mungu.
Kuna wakati hamkuoneshwa rehema,
lakini sasa mmeoneshwa rehema za Mungu.
Mwishie Mungu
11 Rafiki zangu, ninawasihi kama wapitaji na wageni katika ulimwengu huu kuwa mbali na tamaa za kimwili, ambazo hupingana na roho zenu. 12 Muwe na uhakika wa kuwa na mwenendo mzuri mbele ya wapagani, ili hata kama wakiwalaumu kama wakosaji, watayaona matendo yenu mazuri nao wanaweza kumpa Mungu utukufu katika Siku ya kuja kwake.
Tii Mamlaka Yote ya Kibinadamu
13 Nyenyekeeni kwa mamlaka yo yote ya kibinadamu kwa ajili ya Bwana. Mnyenyekeeni mfalme, aliye mamlaka ya juu kabisa. 14 Na muwatii viongozi waliotumwa na mfalme. Wametumwa ili kuwaadhibu wale wanaokosa, na kuwapongeza wale wanaofanya mazuri. 15 Kwa kuwa mapenzi ya Mungu ni kwamba, kwa kutenda mema mtayanyamazisha mazungumzo ya kijinga ya watu wasio na akili. 16 Muishi kama watu walio huru, lakini msiutumie uhuru huo kama udhuru wa kufanya maovu. Bali muishi kama watumishi wa Mungu. 17 Onesheni heshima kwa watu wote: Wapendeni ndugu zenu na dada zenu waliomo nyumbani mwake Mungu. Mcheni Mungu na mumheshimu mfalme.
Mfano wa Mateso ya Kristo
18 Watumwa mlio nyumbani, watumikieni mabwana wenu kwa heshima yote,[a] siyo tu wale walio wapole na wenye busara, bali hata wale walio wakali. 19 Baadhi yenu mtapata mateso wakati ambapo hamjafanya kosa lolote. Ikiwa utaweza kuvumilia maumivu na kuweka fikra zako kwa Mungu, hilo linampendeza sana Mungu. 20 Kwani kuna sifa gani iliyopo kwako kama utapigwa kwa kutenda mabaya na kuvumilia? Lakini kama utateseka kwa kutenda mema na kustahimili, hili lampendeza Mungu. 21 Ni kwa kusudi hili mliitwa na Mungu, kwa sababu Kristo pia aliteseka kwa ajili yenu na kwa kufanya hivyo aliacha kielelezo kwenu, ili tuweze kuzifuata nyayo zake.
22 “Hakutenda dhambi yo yote,
wala hakukuwa na udanganyifu uliopatikana kinywani mwake.”(D)
23 Alipotukanwa hakurudishia matusi. Alipoteseka, hakuwatishia, bali wakati wote alijitoa mwenyewe kwa Mungu ahukumuye kwa haki. 24 Yeye mwenyewe alizibeba dhambi zetu kwenye mwili wake hadi pale msalabani, ili tuweze kuacha kuishi kwa ajili ya dhambi na kuishi kwa ajili ya haki. Ilikuwa ni kwa njia ya majeraha yake kwamba mliponywa. 25 Kwani mlikuwa kama kondoo wanaotangatanga huko na huko, lakini sasa mmerudi kwa Mchungaji na Mwangalizi wa maisha yenu.
Footnotes
- 2:18 kwa heshima yote Au “kwa heshima na taadhima kwa Mungu”.
1 Peter 2
New King James Version
Our Inheritance Through Christ’s Blood
2 Therefore, (A)laying aside all malice, all deceit, hypocrisy, envy, and all evil speaking, 2 (B)as newborn babes, desire the pure (C)milk of the word, that you may grow [a]thereby, 3 if indeed you have (D)tasted that the Lord is gracious.
The Chosen Stone and His Chosen People(E)
4 Coming to Him as to a living stone, (F)rejected indeed by men, but chosen by God and precious, 5 you also, as living stones, are being built up a spiritual house, a holy priesthood, to offer up spiritual sacrifices acceptable to God through Jesus Christ. 6 Therefore it is also contained in the Scripture,
(G)“Behold, I lay in Zion
A chief cornerstone, elect, precious,
And he who believes on Him will by no means be put to shame.”
7 Therefore, to you who believe, He is precious; but to those who [b]are disobedient,
(H)“The stone which the builders rejected
Has become the chief cornerstone,”
8 and
(I)“A stone of stumbling
And a rock of offense.”
(J)They stumble, being disobedient to the word, (K)to which they also were appointed.
9 But you are a chosen generation, a royal priesthood, a holy nation, His own special people, that you may proclaim the praises of Him who called you out of (L)darkness into His marvelous light; 10 (M)who once were not a people but are now the people of God, who had not obtained mercy but now have obtained mercy.
Living Before the World
11 Beloved, I beg you as sojourners and pilgrims, abstain from fleshly lusts (N)which war against the soul, 12 (O)having your conduct honorable among the Gentiles, that when they speak against you as evildoers, (P)they may, by your good works which they observe, glorify God in the day of visitation.
Submission to Government(Q)
13 (R)Therefore submit yourselves to every [c]ordinance of man for the Lord’s sake, whether to the king as supreme, 14 or to governors, as to those who are sent by him for the punishment of evildoers and for the praise of those who do good. 15 For this is the will of God, that by doing good you may put to silence the ignorance of foolish men— 16 (S)as free, yet not (T)using liberty as a cloak for [d]vice, but as bondservants of God. 17 Honor all people. Love the brotherhood. Fear (U)God. Honor the king.
Submission to Masters(V)
18 (W)Servants, be submissive to your masters with all fear, not only to the good and gentle, but also to the harsh. 19 For this is (X)commendable, if because of conscience toward God one endures grief, suffering wrongfully. 20 For (Y)what credit is it if, when you are beaten for your faults, you take it patiently? But when you do good and suffer, if you take it patiently, this is commendable before God. 21 For (Z)to this you were called, because Christ also suffered for [e]us, (AA)leaving [f]us an example, that you should follow His steps:
22 “Who(AB) committed no sin,
Nor was deceit found in His mouth”;
23 (AC)who, when He was reviled, did not revile in return; when He suffered, He did not threaten, but (AD)committed Himself to Him who judges righteously; 24 (AE)who Himself bore our sins in His own body on the tree, (AF)that we, having died to sins, might live for righteousness—(AG)by whose [g]stripes you were healed. 25 For (AH)you were like sheep going astray, but have now returned (AI)to the Shepherd and [h]Overseer of your souls.
Footnotes
- 1 Peter 2:2 NU adds up to salvation
- 1 Peter 2:7 NU disbelieve
- 1 Peter 2:13 institution
- 1 Peter 2:16 wickedness
- 1 Peter 2:21 NU you
- 1 Peter 2:21 NU, M you
- 1 Peter 2:24 wounds
- 1 Peter 2:25 Gr. Episkopos
1 Peter 2
New International Version
2 Therefore, rid yourselves(A) of all malice and all deceit, hypocrisy, envy, and slander(B) of every kind. 2 Like newborn babies, crave pure spiritual milk,(C) so that by it you may grow up(D) in your salvation, 3 now that you have tasted that the Lord is good.(E)
The Living Stone and a Chosen People
4 As you come to him, the living Stone(F)—rejected by humans but chosen by God(G) and precious to him— 5 you also, like living stones, are being built(H) into a spiritual house[a](I) to be a holy priesthood,(J) offering spiritual sacrifices acceptable to God through Jesus Christ.(K) 6 For in Scripture it says:
“See, I lay a stone in Zion,
a chosen and precious cornerstone,(L)
and the one who trusts in him
will never be put to shame.”[b](M)
7 Now to you who believe, this stone is precious. But to those who do not believe,(N)
8 and,
They stumble because they disobey the message—which is also what they were destined for.(R)
9 But you are a chosen people,(S) a royal priesthood,(T) a holy nation,(U) God’s special possession,(V) that you may declare the praises of him who called you out of darkness into his wonderful light.(W) 10 Once you were not a people, but now you are the people of God;(X) once you had not received mercy, but now you have received mercy.
Living Godly Lives in a Pagan Society
11 Dear friends,(Y) I urge you, as foreigners and exiles,(Z) to abstain from sinful desires,(AA) which wage war against your soul.(AB) 12 Live such good lives among the pagans that, though they accuse you of doing wrong, they may see your good deeds(AC) and glorify God(AD) on the day he visits us.
13 Submit yourselves for the Lord’s sake to every human authority:(AE) whether to the emperor, as the supreme authority, 14 or to governors, who are sent by him to punish those who do wrong(AF) and to commend those who do right.(AG) 15 For it is God’s will(AH) that by doing good you should silence the ignorant talk of foolish people.(AI) 16 Live as free people,(AJ) but do not use your freedom as a cover-up for evil;(AK) live as God’s slaves.(AL) 17 Show proper respect to everyone, love the family of believers,(AM) fear God, honor the emperor.(AN)
18 Slaves, in reverent fear of God submit yourselves to your masters,(AO) not only to those who are good and considerate,(AP) but also to those who are harsh. 19 For it is commendable if someone bears up under the pain of unjust suffering because they are conscious of God.(AQ) 20 But how is it to your credit if you receive a beating for doing wrong and endure it? But if you suffer for doing good and you endure it, this is commendable before God.(AR) 21 To this(AS) you were called,(AT) because Christ suffered for you,(AU) leaving you an example,(AV) that you should follow in his steps.
23 When they hurled their insults at him,(AY) he did not retaliate; when he suffered, he made no threats.(AZ) Instead, he entrusted himself(BA) to him who judges justly.(BB) 24 “He himself bore our sins”(BC) in his body on the cross,(BD) so that we might die to sins(BE) and live for righteousness; “by his wounds you have been healed.”(BF) 25 For “you were like sheep going astray,”[f](BG) but now you have returned to the Shepherd(BH) and Overseer of your souls.(BI)
Footnotes
- 1 Peter 2:5 Or into a temple of the Spirit
- 1 Peter 2:6 Isaiah 28:16
- 1 Peter 2:7 Psalm 118:22
- 1 Peter 2:8 Isaiah 8:14
- 1 Peter 2:22 Isaiah 53:9
- 1 Peter 2:25 Isaiah 53:4,5,6 (see Septuagint)
© 2017 Bible League International
Scripture taken from the New King James Version®. Copyright © 1982 by Thomas Nelson. Used by permission. All rights reserved.
Holy Bible, New International Version®, NIV® Copyright ©1973, 1978, 1984, 2011 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
NIV Reverse Interlinear Bible: English to Hebrew and English to Greek. Copyright © 2019 by Zondervan.

