Kutoka kwa Petro, mtume wa Yesu Kristo. Kwa wateule wa Mungu ambao wametawanyika, wanaoishi ugenini huko Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithinia. Ninyi mlichaguliwa tangu mwanzo na Mungu Baba na kutakaswa na Roho, mpate kumtii Yesu Kristo na kunyunyiziwa damu yake. Nawatakieni neema na amani tele.

Tumaini Lenye Uzima

Asifiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa rehema yake kuu ametufanya tuzaliwe upya ili tupate tumaini lenye uzima kwa kufufuka kwa Bwana wetu Yesu Kristo kutoka kwa wafu; na tupokee urithi usioharibika, usiooza na usiochuja, ambao umewekwa mbinguni kwa ajili yenu. Nanyi, kwa imani, mnalindwa na nguvu ya Mungu mpaka utakapofika wokovu ambao uko tayari kufunuliwa wakati wa mwisho.

Furahini sana katika hilo, ingawa sasa kwa kitambo kidogo ni lazima mpate majaribu ya kila aina. Majaribu yataifanya imani yenu, ambayo ina thamani kuliko dhahabu, iwe imepimwa na kuthibitishwa kuwa ya kweli kama vile dhahabu ambayo ingawa ni kitu kiharibikacho, hupimwa kwa moto. Ndipo mtapata sifa, utukufu na heshima siku ile Yesu Kristo atakapofunuliwa. Ingawa hamja pata kumwona, mnampenda. Na ingawa hamumwoni sasa mnamwamini na kujawa na furaha tukufu isiyoelezeka. Maana mnapokea wokovu wa roho zenu, ambao ndio lengo la imani yenu.

10 Manabii waliotabiri kuhusu neema hiyo ambayo ninyi mnge pewa, walitafuta sana na kwa makini habari za wokovu huu. 11 Walijaribu kutafuta kujua ni nani au ni wakati upi uliomaan ishwa na Roho wa Kristo aliyekuwa akisema ndani yao alipotabiri kuhusu mateso ya Kristo na utukufu utakaofuata. 12 Walidhihir ishiwa kuwa kazi waliyokuwa wakifanya si kwa faida yao bali ni kwa ajili yenu. Kwa maana walinena nanyi habari za mambo ambayo sasa mmekwisha elezwa na wale waliowahubiria Injili kwa uwezo wa Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni. Hata malaika wanata mani kufahamu mambo haya.

Mwito Wa Kuishi Maisha Matakatifu

13 Kwa hiyo, ziandaeni nia zenu, muwe na kiasi, wekeni tumaini lenu lote katika neema ile mtakayopewa wakati ule Yesu Kristo atakapodhihirishwa. 14 Kama watoto watiifu, msikubali kutawaliwa na tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mkiishi katika ujinga. 15 Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, kadhalika ninyi muwe watakatifu katika mwenendo wenu; 16 maana imeandikwa: “Muwe watakatifu kwa sababu mimi ni mtakatifu.”

17 Kwa kuwa mnamwita “Baba” yeye ahukumuye matendo ya kila mtu pasipo upendeleo, ishini maisha yenu hapa duniani kama wageni, kwa kumcha Mungu. 18 Maana mnafahamu kwamba mlikombolewa kutokana na maisha duni yasiyofaa ambayo mlirithi kutoka kwa baba zenu. Hamkukombolewa kwa kutumia vitu viharibikavyo kama fedha na dhahabu, 19 bali mlikombolewa kwa damu ya thamani ya Kristo, Mwana-Kondoo asiye na dosari wala doa. 20 Yeye alichaguliwa kabla ya dunia kuumbwa lakini akadhihirishwa katika siku hizi za mwisho kwa ajili yenu. 21 Kwa ajili yake ninyi mnamwamini Mungu aliyemfufua kutoka kwa wafu akampa utukufu, na kwa hiyo imani yenu na matumaini yenu yako kwa Mungu.

22 Na sasa kwa kuwa mmekwisha kujitakasa kwa kuitii ile kweli na kuwapenda ndugu zenu kwa kweli, pendaneni kwa moyo wote. 23 Maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu iharibikayo, bali kwa mbegu isiyoharibika, kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu hata milele. 24 Maana, “Binadamu wote ni kama nyasi na utukufu wao ni kama ua la mwituni. Nyasi hunyauka na ua huanguka, 25 lakini neno la Mungu hudumu milele.” Na neno hilo ni Habari Njema ambayo mlihubiriwa.

Greeting to the Elect Pilgrims

Peter, an apostle of Jesus Christ,

To the [a]pilgrims (A)of the Dispersion in Pontus, Galatia, Cappadocia, Asia, and Bithynia, (B)elect (C)according to the foreknowledge of God the Father, (D)in sanctification of the Spirit, for (E)obedience and (F)sprinkling of the blood of Jesus Christ:

(G)Grace to you and peace be multiplied.

A Heavenly Inheritance

(H)Blessed be the God and Father of our Lord Jesus Christ, who (I)according to His abundant mercy (J)has begotten us again to a living hope (K)through the resurrection of Jesus Christ from the dead, to an inheritance [b]incorruptible and undefiled and that does not fade away, (L)reserved in heaven for you, (M)who are kept by the power of God through faith for salvation ready to be revealed in the last time.

(N)In this you greatly rejoice, though now (O)for a little while, if need be, (P)you have been [c]grieved by various trials, that (Q)the genuineness of your faith, being much more precious than gold that perishes, though (R)it is tested by fire, (S)may be found to praise, honor, and glory at the revelation of Jesus Christ, (T)whom having not [d]seen you love. (U)Though now you do not see Him, yet believing, you rejoice with joy inexpressible and full of glory, receiving the end of your faith—the salvation of your souls.

10 Of this salvation the prophets have inquired and searched carefully, who prophesied of the grace that would come to you, 11 searching what, or what manner of time, (V)the Spirit of Christ who was in them was indicating when He testified beforehand the sufferings of Christ and the glories that would follow. 12 To them it was revealed that, not to themselves, but to [e]us they were ministering the things which now have been reported to you through those who have preached the gospel to you by the Holy Spirit sent from heaven—things which (W)angels desire to look into.

Living Before God Our Father

13 Therefore gird up the loins of your mind, be sober, and rest your hope fully upon the grace that is to be brought to you at the revelation of Jesus Christ; 14 as obedient children, not (X)conforming yourselves to the former lusts, as in your ignorance; 15 (Y)but as He who called you is holy, you also be holy in all your conduct, 16 because it is written, (Z)“Be holy, for I am holy.”

17 And if you call on the Father, who (AA)without partiality judges according to each one’s work, conduct yourselves throughout the time of your [f]stay here in fear; 18 knowing that you were not redeemed with [g]corruptible things, like silver or gold, from your aimless conduct received by tradition from your fathers, 19 but (AB)with the precious blood of Christ, (AC)as of a lamb without blemish and without spot. 20 (AD)He indeed was foreordained before the foundation of the world, but was [h]manifest (AE)in these last times for you 21 who through Him believe in God, (AF)who raised Him from the dead and (AG)gave Him glory, so that your faith and hope are in God.

The Enduring Word

22 Since you (AH)have purified your souls in obeying the truth [i]through the Spirit in [j]sincere (AI)love of the brethren, love one another fervently with a pure heart, 23 (AJ)having been born again, not of [k]corruptible seed but [l]incorruptible, (AK)through the word of God which lives and abides [m]forever, 24 because

(AL)“All flesh is as grass,
And all [n]the glory of man as the flower of the grass.
The grass withers,
And its flower falls away,
25 (AM)But the [o]word of the Lord endures forever.”

(AN)Now this is the word which by the gospel was preached to you.

Footnotes

  1. 1 Peter 1:1 sojourners, temporary residents
  2. 1 Peter 1:4 imperishable
  3. 1 Peter 1:6 distressed
  4. 1 Peter 1:8 M known
  5. 1 Peter 1:12 NU, M you
  6. 1 Peter 1:17 sojourning, dwelling as resident aliens
  7. 1 Peter 1:18 perishable
  8. 1 Peter 1:20 revealed
  9. 1 Peter 1:22 NU omits through the Spirit
  10. 1 Peter 1:22 Lit. unhypocritical
  11. 1 Peter 1:23 perishable
  12. 1 Peter 1:23 imperishable
  13. 1 Peter 1:23 NU omits forever
  14. 1 Peter 1:24 NU its glory as
  15. 1 Peter 1:25 spoken word