论讲道和说方言

14 你们要追求爱,也要切慕属灵的恩赐,尤其是做先知讲道的恩赐。 人说方言,是对上帝说的,并非对人说的,因为没有人听得懂,他是在心灵里述说各样的奥秘。 但先知讲道是对人讲的,为了要造就、鼓励、安慰人。 说方言只是造就自己,但做先知讲道是造就教会。 我希望你们都能够说方言,不过,我更希望你们都能做先知讲道。说方言的不如做先知讲道的重要,除非把方言翻译出来,使教会得造就。

弟兄姊妹,如果我到你们那里只说方言,不讲解有关上帝的启示、知识、预言、教导,我对你们有什么益处呢? 就连没有生命的箫和琴,如果发出的声音杂乱无章,谁能知道所吹所弹的是什么曲子呢? 如果号声不清楚,谁会预备打仗呢? 同样,除非你们讲出清楚的信息,不然听见的人怎能明白呢?那岂不等于对空气说话吗? 10 世上有各种语言,却没有一种是毫无意义的。 11 如果有人对我说话,我却不明白他的语言,我们彼此就成了语言不通的人。 12 你们也是一样,既然渴慕属灵的恩赐,就应该多多追求造就教会的恩赐。

13 所以说方言的人应当祈求能把方言翻译出来。 14 如果我用方言祷告,那是我的灵在祷告,但我的悟性没有发挥作用。 15 那么,我该怎么做呢?我要用灵祷告,也要用悟性祷告;我要用灵歌唱,也要用悟性歌唱。 16 否则,如果你在聚会中用方言[a]来感恩,在座不懂方言的人不明白你在说些什么,怎能在你感恩的时候说“阿们”呢? 17 你的感恩表达得固然美好,无奈不能造就别人。

18 感谢上帝,我说方言比你们众人都多。 19 但在教会中我宁可用悟性说五句教导人的话,胜过说万句别人不懂的方言。

20 弟兄姊妹,你们的思想不要像小孩子,要长大成熟,但在罪恶的事上要像婴孩。 21 律法书上记载:

“主说,‘我要借着讲陌生语言的人和外邦人的口向这些子民说话。
虽然如此,
他们仍然不听从我。’”

22 由此可见,讲方言不是显给信徒的标记,而是显给非信徒的标记;但先知讲道是显给信徒的标记,不是显给非信徒的标记。 23 所以,如果你们在聚会中,全体信徒都说方言,偶然有不懂方言的人或非信徒进来,他们岂不会说你们全都疯了吗? 24 但如果你们都做先知讲道,偶然有非信徒或是不懂方言的人进来,他会醒悟到自己的罪,良心受到谴责, 25 心中的秘密也会显露出来,便会俯伏敬拜上帝,说:“上帝真的在你们当中!”

聚会的原则

26 那么,弟兄姊妹,你们该怎么做呢?你们聚会的时候,不管是唱诗、教导、讲启示、说方言或翻译方言,都应该是为了造就人。 27 如果有人要说方言,应当只限于两个人,最多三个,要轮流说,而且要有人把它翻译出来。 28 如果没有人翻译,说方言的人就当在聚会中闭口不言,只向自己和上帝说。

29 做先知讲道的也应该限于两三个人,其他的人应当慎思明辨。 30 但如果上帝的启示临到在座的其他人,正在讲的人要停下来, 31 这样大家都可以轮流讲道,人人都可以得到教导和勉励。 32 先知的灵受先知控制, 33 因为上帝不是叫人混乱的上帝,而是赐人平安的上帝。

34 正如圣徒的各教会一样,妇女[b]在聚会中要保持安静,因为她们不可以发言,总要顺服,正如律法书所说的。 35 如果她们想要学什么,可以在家问自己的丈夫,因为妇女在聚会中发言是可耻的。 36 难道上帝的道是出自你们哥林多人吗?难道上帝的道单单传给了你们吗? 37 如果你们当中有人自认为是先知或属灵的人,他就应该知道我现在所写的是主的命令。 38 如果有人对此视而不见,不必理会他。

39 所以,我的弟兄姊妹,你们要切慕做先知讲道,也不要禁止说方言。 40 但无论做什么事,都要按规矩,有次序。

Footnotes

  1. 14:16 本处“方言”希腊文是“灵”。
  2. 14:34 妇女”也可译为“妻子”。

Zitumieni Karama za Roho Kulisaidia Kanisa

14 Upendo uwe lengo la maisha yenu, lakini mnapaswa pia kuzitaka karama za Roho. Na itakeni sana karama ya unabii. Nitafafanua ni kwa nini. Wenye karama ya kusema kwa lugha zingine hawazungumzi na watu. Huzungumza na Mungu. Hakuna anayewaelewa kwa sababu huzungumza mambo ya siri kupitia Roho. Lakini wanaotabiri huzungumza na watu. Huwasaidia watu kuwa imara katika imani, na huwatia moyo na kuwafariji. Wanaosema kwa lugha hujiimarisha wao wenyewe. Lakini wanaotabiri huliimarisha kanisa lote.

Ningependa ninyi nyote muwe na karama ya kusema kwa lugha zingine. Lakini ninachotaka zaidi ni ninyi kutabiri. Yeyote anayetabiri ni wa muhimu zaidi kuliko wale wanaosema kwa lugha zingine. Hata hivyo, ikiwa wanaweza kufasiri lugha hizo, basi kanisa linasaidiwa kutokana na kile wanachosema.

Ndugu zangu, je, itawasaidia nikija kwenu na kusema kwa lugha zingine? Hapana, itawasaidia pale tu nitakapowaletea ufunuo mpya au maarifa fulani, unabii au mafundisho. Hii ni kweli hata kwa vitu visivyo na uhai vinavyotoa sauti kama filimbi na kinubi. Ikiwa muziki hauchezwi kwa ufasaha, hutaweza kujua ni wimbo gani unaopigwa. Na katika vita, ikiwa tarumbeta haitatoa ishara vizuri, askari hawawezi kujua kuwa ni wakati wa kujiandaa kwa mapigano.

Ndivyo ilivyo hata kwenu ninyi. Watu hawataweza kuelewa unachosema, ikiwa utazungumza katika lugha tofauti wasiyoitambua. Utakuwa unazungumza hewani tu! 10 Ni dhahiri kuwa kuna lugha nyingi ulimwenguni, na zote zina maana. 11 Lakini ikiwa sielewi maana ya maneno wanayosema wengine, kwangu itakuwa sauti ya ajabu tu, na nitasikika kama ninayetoa sauti za ajabu. 12 Kwa kuwa mna nia kuhusu karama za Kiroho, muwe na hamu ya kulisaidia kanisa kuwa imara.

13 Hivyo wenye karama ya kusema kwa lugha waombe ili waweze kufasiri yale wanayosema. 14 Ninapoomba kwa lugha zingine, roho yangu inaomba, lakini akili yangu haifanyi chochote. 15 Hivyo nifanye nini? Nitaomba kwa roho yangu, lakini pia nitaomba kwa akili yangu. Nitaimba kwa roho yangu, lakini pia nitaimba kwa akili yangu. 16 Unaweza ukawa unamshukuru Mungu kwa roho yako. Lakini mtu mwingine ambaye haielewi lugha unayotumia hawezi kusema “Amina” kwa maombi yako ya shukrani. 17 Unaweza ukawa unamshukuru Mungu katika njia nzuri, lakini isiwasaidie wengine kuwa imara.

18 Ninamshukuru Mungu kwamba nimepewa karama ya kusema lugha aina nyingi mbalimbali kuliko yeyote kati yenu. 19 Lakini wakati wa mikutano ya kanisa napenda kuzungumza maneno matano ninayoyaelewa kuliko maelfu ya maneno katika lugha zingine. Ni afadhali nizungumze nikiwa katika uelewa wangu ili niwafundishe wengine.

20 Ndugu zangu, msiwaze kama watoto wadogo. Iweni kama watoto wachanga katika mambo maovu, lakini katika kuwaza kwenu muwe kama watu wazima, waliokua. 21 Kama Maandiko[a] yanavyosema,

“Kwa kutumia wanaozungumza lugha tofauti
    na kutumia midomo ya wageni,
nitazungumza na watu hawa,
    hata hivyo, hawatanitii.”(A)

Hivi ndivyo Bwana anasema.

22 Na kutokana na hili tunaona kwamba matumizi ya lugha zingine ni ishara kuonesha namna ambavyo Mungu anawashughulikia wasioamini, na si walioamini. Na unabii unaonesha namna ambavyo Mungu hutenda kazi kupitia wanaoamini, na si wasioamini. 23 Chukulieni kuwa kanisa lote limekusanyika nanyi nyote mkaanza kusema kwa lugha zingine. Ikiwa baadhi ya watu wasio sehemu ya kundi lenu au wasio waamini wataingia katika kusanyiko lenu, watasema ninyi ni wendawazimu. 24 Lakini chukulieni kuwa ninyi nyote mnatabiri na mtu asiyeamini ama asiyekuwa sehemu ya kundi lenu akaingia. Dhambi zao zitawekwa wazi kwao, na watahukumiwa kwa kila kitu mtakachosema. 25 Mambo ya siri katika mioyo yao yatajulikana. Na watapiga magoti na kumwabudu Mungu. Watakiri na kusema, “Pasipo shaka, Mungu yuko hapa pamoja nanyi.”[b]

Mikutano Yenu Inapaswa Kuwasaidia Wote

26 Basi ndugu, mnapaswa kufanya nini? Mnapokusanyika, mtu mmoja ana wimbo, mwingine ana mafundisho na mwingine ana kweli mpya kutoka kwa Mungu. Mmoja anasema kwa lugha nyingine na mwingine anafasiri lugha hiyo. Cho chote mnachofanya lazima kiwe na lengo la kumfanya kila mmoja wenu akue katika imani. 27 Mnapokusanyika, ikiwa kuna yeyote atasema na kanisa katika lugha, iwe watu wawili tu au isiwe zaidi ya watu watatu. Na wanapaswa wanene kwa zamu, mmoja baada ya mwingine. Na mwingine afasiri kile wanachosema. 28 Lakini ikiwa hakuna mfasiri, basi mtu yeyote anayesema kwa lugha nyingine anapaswa kunyamaza kimya. Wanapaswa kuzungumza katika nafsi zao wenyewe ama na Mungu.

29 Na manabii wawili au watatu tu ndiyo wanapaswa kuzungumza. Wengine watathmini kile wanachosema. 30 Na ujumbe kutoka kwa Mungu ukimjia mtu aliyekaa, mzungumzaji wa kwanza anapaswa kunyamaza. 31 Nyote mnaweza kutabiri mmoja baada ya mwingine. Kwa njia hii kila mmoja anaweza kufundishwa na kutiwa moyo. 32 Roho za manabii ziko chini ya udhibiti wa manabii[c] wenyewe. 33 Mungu si Mungu wa machafuko lakini ni Mungu wa amani. Hii ni kanuni kwa ajili ya mikutano yote ya watu wa Mungu.

34 Wanawake wanapaswa kunyamaza katika mikutano hii ya kanisa. Kama Sheria ya Musa inavyosema, hawaruhusiwi kuzungumza pasipo utaratibu bali wawe chini ya mamlaka. 35 Wakiwa na jambo wanalotaka kujua, wawaulize waume zao nyumbani. Ni aibu kwa mwanamke kuzungumza pasipo utaratibu katika mikutano ya kanisa.

36 Je, ni kutoka kwenu neno la Mungu lilikuja ama lilikuja kwa ajili yenu pekee? 37 Ikiwa yeyote kati yenu anafikiri kuwa yeye ni nabii au kwamba ana karama ya kiroho, anapaswa kuelewa kuwa ninachowaandikia ninyi nyote ni amri ya Bwana. 38 Ikiwa yeyote miongoni mwenu hatalikubali hili, basi hatakubaliwa.

39 Hivyo ndugu zangu, mzingatie sana kutabiri. Na msimzuie mtu yeyote kutumia karama ya kusema katika lugha zingine. 40 Lakini kila kitu kifanywe kwa usahihi na kwa utaratibu.

Footnotes

  1. 14:21 Maandiko Kwa maana ya kawaida, “sheria au torati”, ambapo wakati mwingine inamaanisha Agano la Kale.
  2. 14:25 Tazama Isa 45:14 na Zek 8:23.
  3. 14:32 Roho za manabii … udhibiti wa manabii Yaani, manabii wanaweza wakajizuia na kusubiri zamu yao kwa utaratibu mzuri.

論講道和說方言

14 你們要追求愛,也要切慕屬靈的恩賜,尤其是作先知講道的恩賜。 人說方言,是對上帝說的,並非對人說的,因為沒有人聽得懂,他是在心靈裡述說各樣的奧祕。 但先知講道是對人講的,為了要造就、鼓勵、安慰人。 說方言只是造就自己,但作先知講道是造就教會。 我希望你們都能夠說方言,不過,我更希望你們都能作先知講道。說方言的不如作先知講道的重要,除非把方言翻譯出來,使教會得造就。

弟兄姊妹,如果我到你們那裡只說方言,不講解有關上帝的啟示、知識、預言、教導,我對你們有什麼益處呢? 就連沒有生命的簫和琴,如果發出的聲音雜亂無章,誰能知道所吹所彈的是什麼曲子呢? 如果號聲不清楚,誰會預備打仗呢? 同樣,除非你們講出清楚的信息,不然聽見的人怎能明白呢?那豈不等於對空氣說話嗎? 10 世上有各種語言,卻沒有一種是毫無意義的。 11 如果有人對我說話,我卻不明白他的語言,我們彼此就成了語言不通的人。 12 你們也是一樣,既然渴慕屬靈的恩賜,就應該多多追求造就教會的恩賜。

13 所以說方言的人應當祈求能把方言翻譯出來。 14 如果我用方言禱告,那是我的靈在禱告,但我的悟性沒有發揮作用。 15 那麼,我該怎麼做呢?我要用靈禱告,也要用悟性禱告;我要用靈歌唱,也要用悟性歌唱。 16 否則,如果你在聚會中用方言[a]來感恩,在座不懂方言的人不明白你在說些什麼,怎能在你感恩的時候說「阿們」呢? 17 你的感恩表達得固然美好,無奈不能造就別人。

18 感謝上帝,我說方言比你們眾人都多。 19 但在教會中我寧可用悟性說五句教導人的話,勝過說萬句別人不懂的方言。

20 弟兄姊妹,你們的思想不要像小孩子,要長大成熟,但在罪惡的事上要像嬰孩。 21 律法書上記載:

「主說,『我要藉著講陌生語言的人和外邦人的口向這些子民說話。
雖然如此,
他們仍然不聽從我。』」

22 由此可見,講方言不是顯給信徒的標記,而是顯給非信徒的標記;但先知講道是顯給信徒的標記,不是顯給非信徒的標記。 23 所以,如果你們在聚會中,全體信徒都說方言,偶然有不懂方言的人或非信徒進來,他們豈不會說你們全都瘋了嗎? 24 但如果你們都做先知講道,偶然有非信徒或是不懂方言的人進來,他會醒悟到自己的罪,良心受到譴責, 25 心中的秘密也會顯露出來,便會俯伏敬拜上帝,說:「上帝真的在你們當中!」

聚會的原則

26 那麼,弟兄姊妹,你們該怎麼做呢?你們聚會的時候,不管是唱詩、教導、講啟示、說方言或翻譯方言,都應該是為了造就人。 27 如果有人要說方言,應當只限於兩個人,最多三個,要輪流說,而且要有人把它翻譯出來。 28 如果沒有人翻譯,說方言的人就當在聚會中閉口不言,只向自己和上帝說。

29 作先知講道的也應該限於兩三個人,其他的人應當慎思明辨。 30 但如果上帝的啟示臨到在座的其他人,正在講的人要停下來, 31 這樣大家都可以輪流講道,人人都可以得到教導和勉勵。 32 先知的靈受先知控制, 33 因為上帝不是叫人混亂的上帝,而是賜人平安的上帝。

34 正如聖徒的各教會一樣,婦女[b]在聚會中要保持安靜,因為她們不可以發言,總要順服,正如律法書所說的。 35 如果她們想要學什麼,可以在家問自己的丈夫,因為婦女在聚會中發言是可恥的。 36 難道上帝的道是出自你們哥林多人嗎?難道上帝的道單單傳給了你們嗎? 37 如果你們當中有人自認為是先知或屬靈的人,他就應該知道我現在所寫的是主的命令。 38 如果有人對此視而不見,不必理會他。

39 所以,我的弟兄姊妹,你們要切慕作先知講道,也不要禁止說方言。 40 但無論做什麼事,都要按規矩,有次序。

Footnotes

  1. 14·16 本處「方言」希臘文是「靈」。
  2. 14·34 婦女」也可譯為「妻子」。