Maagizo Kwa Wazee Na Vijana

Ninawasihi wazee waliomo miongoni mwenu, nikiwa mzee mwenzenu na shahidi wa mateso ya Kristo na mshiriki katika utu kufu utakaofunuliwa. Lichungeni kundi la Mungu mlilokabidhiwa, si kwa kulazimishwa bali kwa hiari, si kwa tamaa ya fedha bali kwa moyo wenu wote. Msijifanye mabwana wakubwa kwa wale mnaowa chunga bali muwe vielelezo kwa kundi hilo. Naye Mchungaji mkuu atakapodhihirishwa mtapokea taji ya utukufu isiyofifia.

Kadhalika ninyi vijana watiini wazee. Jivikeni unyenyekevu, mnyenyekeane kwa maana, “Mungu huwapinga wenye kiburi bali huwapa neema wanyenyekevu.” Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu wenye nguvu, ili wakati wake ufaao utakapotimia, awainue.

Mwekeeni yeye fadhaa zenu zote kwa maana yeye hujishughul isha sana na mambo yenu.

Kaeni macho. Kesheni, maana adui yenu Ibilisi, huzunguka- zunguka akinguruma kama simba, akitafuta mtu atakayemmeza. Mpingeni, mkiwa thabiti katika imani, mkifahamu kwamba ndugu zenu pote duniani wanapatwa na mateso hayo hayo. 10 Na mkisha kuteseka kitambo kidogo, Mungu wa neema yote ambaye amewaita katika utukufu wake wa milele katika Kristo, yeye mwenyewe atawa kamilisheni na kuwathibitisha na kuwatia nguvu. 11 Uweza ni wake milele na milele. Amina.

Salamu

12 Nimewaandikia kwa kifupi kwa msaada wa Silvano, ndugu ambaye namtambua kuwa mwaminifu, nikiwaonya na kuwashuhudia kuwa hii ndio neema ya kweli ya Mungu. Simameni imara katika neema hiyo. 13 Mwenzenu mteule hapa Babiloni anawasalimu pamoja na mwanangu Marko .

To the Elders and the Flock

To the elders among you, I appeal as a fellow elder(A) and a witness(B) of Christ’s sufferings who also will share in the glory to be revealed:(C) Be shepherds of God’s flock(D) that is under your care, watching over them—not because you must, but because you are willing, as God wants you to be;(E) not pursuing dishonest gain,(F) but eager to serve; not lording it over(G) those entrusted to you, but being examples(H) to the flock. And when the Chief Shepherd(I) appears, you will receive the crown of glory(J) that will never fade away.(K)

In the same way, you who are younger, submit yourselves(L) to your elders. All of you, clothe yourselves with humility(M) toward one another, because,

“God opposes the proud
    but shows favor to the humble.”[a](N)

Humble yourselves, therefore, under God’s mighty hand, that he may lift you up in due time.(O) Cast all your anxiety on him(P) because he cares for you.(Q)

Be alert and of sober mind.(R) Your enemy the devil prowls around(S) like a roaring lion(T) looking for someone to devour. Resist him,(U) standing firm in the faith,(V) because you know that the family of believers throughout the world is undergoing the same kind of sufferings.(W)

10 And the God of all grace, who called you(X) to his eternal glory(Y) in Christ, after you have suffered a little while,(Z) will himself restore you and make you strong,(AA) firm and steadfast. 11 To him be the power for ever and ever. Amen.(AB)

Final Greetings

12 With the help of Silas,[b](AC) whom I regard as a faithful brother, I have written to you briefly,(AD) encouraging you and testifying that this is the true grace of God. Stand fast in it.(AE)

13 She who is in Babylon, chosen together with you, sends you her greetings, and so does my son Mark.(AF) 14 Greet one another with a kiss of love.(AG)

Peace(AH) to all of you who are in Christ.

Footnotes

  1. 1 Peter 5:5 Prov. 3:34
  2. 1 Peter 5:12 Greek Silvanus, a variant of Silas