Font Size
1 Yohana 4:18
Neno: Bibilia Takatifu
1 Yohana 4:18
Neno: Bibilia Takatifu
18 Katika upendo hakuna woga; upendo ulioka milika hufukuza woga wote, kwa sababu woga hutokana na adhabu. Mtu mwenye woga hajakamilishwa katika upendo.
Read full chapter
1 Yohana 4:18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Yohana 4:18
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
18 Palipo na upendo wa Mungu, hakuna hofu, kwa sababu upendo wa Mungu ulio kamili unaondoa hofu. Ni hukumu yake ndiyo inayomfanya mtu kuwa na hofu. Hivyo pendo lake halikamilishwi kwa mtu ambaye ndani yake kuna hofu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
Copyright © 2017 by Bible League International