馬太福音 16
Chinese Standard Bible (Traditional)
法利賽人與撒都該人的酵
16 有些法利賽人和撒都該人前來試探耶穌,要求他把一個從天上來的神蹟顯給他們看。
2 耶穌回答他們,說:「黃昏的時候你們說:『天要晴了,因為天色通紅』; 3 清晨的時候你們說:『今天會有風雨,因為天色通紅又變得陰沉。』[a]你們能分辨天象,卻不能分辨時代的徵兆。[b] 4 一個邪惡、淫亂的世代會尋求神蹟,可是除了[c]約拿的神蹟以外,不會有神蹟賜給它了。」然後耶穌就離開他們走了。
5 門徒們到了對岸,忘了帶餅。
6 耶穌對他們說:「你們要注意,要提防法利賽人和撒都該人的酵母。」
7 門徒們就彼此討論說:「這是因為我們沒有帶餅吧。」
8 耶穌知道了,就說:「小信的人哪,你們為什麼彼此討論沒有帶[d]餅的事呢? 9 你們還不明白嗎?難道不記得那五個餅給五千人,你們收拾了幾個籃子的碎塊[e]嗎? 10 也不記得那七個餅給四千人,你們收拾了幾個筐子的碎塊[f]嗎? 11 你們怎麼不明白,我對你們說的不是餅的事,而是要你們提防法利賽人和撒都該人的酵母呢?」 12 門徒們這才領悟耶穌所說的不是要他們提防餅的酵母,而是要他們提防法利賽人和撒都該人的教導。
彼得認耶穌為基督
13 耶穌來到凱撒里亞菲利彼地區,就問他的門徒們,說:「人們說[g]人子是誰?」
14 他們回答說:「有的說是施洗者[h]約翰,有的說是以利亞,另有的說是耶利米或是先知中的一位。」
15 耶穌問他們:「那麼你們呢?你們說我是誰?」
16 西門彼得回答說:「你是基督,是永生神的兒子!」
17 耶穌對他說:「約拿的兒子西門,你是蒙福的,因為這不是任何人[i]啟示你的,而是我在天上的父啟示你的。 18 我還告訴你:你是彼得,我要在這磐石上建立我的教會,陰間的門[j]不能勝過它。 19 我要把天國的鑰匙賜給你,你在地上所捆綁的,在天上將是已經被捆綁了的;你在地上所釋放的,在天上將是被釋放了的。」
20 接著耶穌吩咐門徒們,不要對任何人說他就是基督。
預言受難與復活
21 從那時候起,耶穌開始向他的門徒們指示他必須到耶路撒冷去,經受長老們、祭司長們和經文士們的很多苦害,並且被殺,然後在第三天要復活。 22 彼得把耶穌拉到一邊,開始勸阻他,說:「主啊,千萬不可,這事絕不能臨到你身上。」
23 但耶穌轉身對彼得說:「撒旦,退到我後面去!你是我的絆腳石,因為你不是思想神的事,而是思想人的事。」
背起你的十字架
24 於是,耶穌對他的門徒們說:「如果有人想要來跟從我,他就當捨棄自己,背起自己的十字架,然後跟從我。 25 因為凡想要保全[k]自己生命的,將失去生命;凡為我的緣故失去自己生命的,將尋得生命。 26 一個人就是賺得了全世界,卻賠上了自己的生命[l],到底有什麼益處呢?人還能拿什麼來換回自己的生命呢? 27 人子將要在他父的榮耀中,與他的天使們一起來臨。那時候,他要按照各人的所作所為回報每個人。 28 我確實地告訴你們:站在這裡的有些人,在還沒有嘗到死的滋味之前,必定見到人子在他的國度中來臨。」
Footnotes
- 馬太福音 16:3 有古抄本附「你們這些偽善的人!」
- 馬太福音 16:3 有古抄本沒有「黃昏……徵兆。」
- 馬太福音 16:4 有古抄本附「先知」。
- 馬太福音 16:8 有古抄本沒有「帶」。
- 馬太福音 16:9 的碎塊——輔助詞語。
- 馬太福音 16:10 的碎塊——輔助詞語。
- 馬太福音 16:13 有古抄本附「我」。
- 馬太福音 16:14 施洗——或譯作「施浸」。
- 馬太福音 16:17 任何人——原文直譯「血和肉」。
- 馬太福音 16:18 門——或譯作「勢力」。
- 馬太福音 16:25 保全——原文直譯「救」。
- 馬太福音 16:26 生命——或譯作「靈魂」。
Mathayo 16
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Baadhi ya Watu Wawa na Mashaka Kuhusu Mamlaka ya Yesu
(Mk 8:11-13; Lk 12:54-56)
16 Mafarisayo na Masadukayo walimjia Yesu. Walitaka kumjaribu, kwa hiyo wakamwomba awaoneshe muujiza kama ishara kutoka kwa Mungu.
2 Yesu akawajibu, “Ninyi watu mnapoona jua limezama, mnajua hali ya hewa itakavyokuwa. Anga ikiwa nyekundu, mnasema tutakuwa na hali ya hewa nzuri. 3 Na asubuhi, ikiwa anga ni nyeusi na nyekundu, mnasema mvua itanyesha. Hizi ni ishara za hali ya hewa. Mnaziona ishara hizi angani na mnajua zinamaanisha nini. Kwa namna hiyo hiyo, mnaona mambo yanayotokea sasa. Hizi ni ishara pia, lakini hamwelewi maana yake. 4 Ninyi watu mnaoishi sasa ni waovu na si waaminifu kwa Mungu. Ndiyo sababu kabla ya kuamini mnataka kuona muujiza. Lakini hakuna muujiza utakaofanyika ili kuwathibitishia kitu cho chote. Yona[a] ndiyo ishara pekee mtakayopewa.” Kisha Yesu akaondoka mahali pale.
Wafuasi Washindwa Kumwelewa Yesu
(Mk 8:14-21)
5 Yesu na wafuasi wake wakasafiri kwa kukatisha ziwa. Lakini wafuasi wakasahau kubeba mikate. 6 Yesu akawaambia, “Mwe waangalifu! Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.”
7 Wafuasi wakajadiliana maana ya hili. Wakasema, “Amesema hivi kwa sababu tumesahau kubeba mikate?”
8 Yesu alipotambua kuwa wanajadiliana hili, akawauliza, “Kwa nini mnajadiliana kuhusu kutokuwa na mikate? Imani yenu ni ndogo. 9 Bado hamwelewi? Mnakumbuka mikate mitano waliyokula watu 5,000 na vikapu vingi mlivyojaza mikate iliyosalia? 10 Na mnakumbuka mikate saba waliyokula watu 4,000 na vikapu vingi mlivyojaza wakati ule? 11 Hivyo inakuwaje mnadhani kuwa mimi ninajali sana kuhusu mikate? Ninawaambia muwe waangalifu na mjilinde dhidi ya chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.”
12 Ndipo wafuasi wakaelewa Yesu alimaanisha nini. Hakuwa akiwaambia wajilinde na chachu inayotumika katika mikate bali wajilinde na mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.
Petro Atambua Yesu ni Nani
(Mk 8:27-30; Lk 9:18-21)
13 Yesu alikwenda eneo la Kaisaria Filipi na akawauliza wafuasi wake, “Watu wanasema mimi ni nani[b]?”
14 Wakajibu, “Baadhi ya watu wanasema wewe ni Yohana Mbatizaji. Wengine wanasema wewe ni Eliya. Na wengine wanasema wewe ni Yeremia au mmoja wa manabii.”
15 Kisha Yesu akawauliza, “Na ninyi mnasema mimi ni nani?”
16 Simoni Petro akajibu, “Wewe ni Masihi, Mwana wa Mungu aliye hai.”
17 Yesu akajibu, “Umebarikiwa, Simoni mwana wa Yona. Hakuna aliyekufundisha hilo ila Baba yangu wa mbinguni ndiye amekuonesha mimi ni nani. 18 Hivyo ninakwambia, Wewe ni Petro. Na nitalijenga kanisa langu kwenye mwamba[c] huu. Nguvu ya mauti[d] haitaweza kulishinda kanisa langu. 19 Nitawapa funguo za Ufalme wa Mungu. Mnapohukumu hapa duniani, hukumu hiyo itakuwa hukumu ya Mungu. Mnapotamka msamaha hapa duniani, msamaha huo utakuwa msamaha wa Mungu.”[e]
20 Kisha Yesu akawaonya wafuasi wake wasimwambie mtu yeyote kuwa yeye ndiye Masihi.
Yesu Asema ni Lazima Afe
(Mk 8:31-9:1; Lk 9:22-27)
21 Kuanzia wakati huo Yesu alianza kuwaambia wafuasi wake kuwa ni lazima aende Yerusalemu. Alifafanua kuwa Viongozi wazee wa Kiyahudi, viongozi wa makuhani na walimu wa sheria watamfanya apate mateso kwa mambo mengi. Na aliwaambia wafuasi wake kuwa lazima auawe. Na siku ya tatu atafufuka kutoka kwa wafu.
22 Petro akamchukua Yesu na kwenda naye faragha mbali na wafuasi wengine. Akaanza kumkosoa Yesu kwa akasema, “Mungu akuepushe mbali na mateso hayo, Bwana! Hilo halitakutokea!”
23 Ndipo Yesu akamwambia Petro, “Ondoka kwangu, Shetani![f] Hunisaidii! Hujali mambo ya Mungu. Unajali mambo ambayo wanadamu wanadhani ni ya muhimu.”
24 Kisha Yesu akawaambia wafuasi wake, “Ikiwa yeyote miongoni mwenu anataka kuwa mfuasi wangu, ni lazima aache kujiwazia yeye mwenyewe na mahitaji yake. Ni lazima awe radhi kuubeba msalaba aliopewa na kunifuata mimi. 25 Yeyote kati yenu anayetaka kuokoa uhai wake, ataupoteza. Lakini ninyi mlioyaacha maisha yenu kwa ajili yangu mtaupata uzima wa kweli. 26 Haina maana kwenu ninyi kuupata ulimwengu wote, ikiwa ninyi wenyewe mtapotea. Mtu atalipa nini ili kuyapata tena maisha yake baada ya kuyapoteza? 27 Mimi, Mwana wa Adamu, nitarudi katika utukufu wa Baba yangu pamoja na Malaika. Na nitamlipa kila mtu kutokana na matendo yake. 28 Niaminini ninaposema wapo watu waliopo hapa watakaoishi mpaka watakaponiona nikija kama Mwana wa Adamu kutawala kama mfalme.”
Footnotes
- 16:4 Yona Au “Nabii Yona”, nabii katika Agano la Kale. Baada ya kukaa katika tumbo la samaki mkubwa kwa siku tatu alitoka akiwa mzima, kisha akaenda kwenye mji uliojaa uovu wa Ninawi kuwaonya watu huko kama alivyotumwa na Mungu. Kwa njia hiyo hiyo, Yesu angetoka kaburini siku ya tatu, ishara ya kuthibitisha ukweli wa ujumbe wake kutoka kwa Mungu.
- 16:13 mimi ni nani Kwa maana ya kawaida, “Mwana wa Adamu ni”.
- 16:18 Petro … mwamba “Petro”, ni jina la Kiyunani (Kigiriki) ambalo kwa Kiaramu ni “Kefa” likimaanisha “mwamba”. Katika Maandiko (Isa 51:1,2), pamoja na desturi za Kiyahudi, Ibrahimu alilinganishwa na mwamba ambao Mungu angeutumia “kujengea” watu wake. Hivyo Yesu anaweza kulinganisha kuwa Yesu ni kama Ibrahimu. Mungu aliwapa majina mapya Ibrahimu na Sara na aliwaheshimu kama mifano ya imani kwa wazaliwa wao. Katika namna hiyo hiyo, Yesu alimpa jina jingine Petro (tazama Mk 3:16) na akamheshimu hapa kwa ujasiri wake wa imani.
- 16:18 Nguvu ya mauti Kwa maana ya kawaida, “malango ya Kuzimu”.
- 16:19 Mnapotamka msamaha … msamaha wa Mungu Kwa maana ya kawaida, “Kila mtakachofunga hapa duniani kitafungwa mbinguni, na mtakachokifungua hapa duniani kitafunguliwa mbinguni.”
- 16:23 Shetani Jina la Mwovu lenye maana “Adui”. Maana ya Yesu ni kuwa Petro alikuwa akiongea kama Shetani.
馬太福音 16
Chinese Contemporary Bible (Traditional)
求神蹟
16 有幾個法利賽人和撒都該人來試探耶穌,要求祂顯個天上的神蹟給他們看。
2 耶穌回答說:「傍晚的時候,你們看見天邊出現紅霞,就說明天一定是晴天; 3 早晨的時候,你們看見天色又紅又暗,就說今天必有風雨。你們懂得分辨天色,卻不能分辨時代的徵兆。 4 一個邪惡淫亂的世代想看神蹟,可是除了約拿的神蹟以外,再沒有神蹟給他們看。」於是耶穌離開他們走了。
防備法利賽人和撒都該人的酵
5 門徒渡到湖對岸,忘記帶餅了。 6 耶穌對他們說:「你們要小心提防法利賽人和撒都該人的酵。」
7 門徒彼此議論說:「這是因為我們沒有帶餅吧。」
8 耶穌知道他們的心思,就說:「你們的信心太小了!為什麼議論沒有帶餅的事呢? 9 你們還不明白嗎?你們不記得那五個餅讓五千人吃飽,又裝滿多少籃子嗎? 10 也不記得那七個餅給四千人吃飽,又裝滿多少筐子嗎? 11 我說你們要提防法利賽人和撒都該人的酵,指的不是餅,你們怎麼不明白呢?」
12 門徒這才恍然大悟,知道耶穌不是叫他們當心什麼麵酵,而是要提防法利賽人和撒都該人的教導。
彼得宣告耶穌是基督
13 到了凱撒利亞·腓立比境內,耶穌問門徒:「人們說人子是誰?」
14 門徒回答說:「有人說是施洗者約翰,有人說是以利亞,也有人說是耶利米,或其他某位先知。」
15 耶穌問:「那麼,你們說我是誰?」
16 西門·彼得回答說:「你是基督,是永活上帝的兒子!」
17 耶穌對他說:「約拿的兒子西門啊,你是有福的!因為這件事不是屬血肉的人告訴你的,而是我天上的父啟示你的。 18 我告訴你,你是彼得[a],我要在這磐石上建立我的教會,陰間的勢力[b]不能勝過它。 19 我要把天國的鑰匙交給你。凡你在地上捆綁的,在天上也要捆綁;凡你在地上釋放的,在天上也要釋放。」
20 當下,耶穌叮囑門徒不可告訴別人祂就是基督。
耶穌預言自己的受害和復活
21 從此以後,耶穌開始清楚地指示門徒,祂必須去耶路撒冷,受長老、祭司長和律法教師許多的迫害,並且被處死,但第三天必從死裡復活。 22 彼得把耶穌拉到一邊,勸阻祂說:「主啊,千萬不可!這件事絕不會發生在你身上!」
23 耶穌立刻轉過身來責備彼得說:「撒旦,退到我後面去!你是我的絆腳石,因為你不考慮上帝的意思,只考慮人的意思。」
24 於是耶穌對門徒說:「如果有人要跟從我,就應當捨己,背起他的十字架跟從我。 25 因為想救自己生命的,必失去生命;但為了我而失去生命的,必得到生命。 26 人若賺得全世界,卻喪失自己的生命,又有什麼益處呢?人還能拿什麼換回自己的生命呢?
27 「因為人子要在祂父的榮耀裡與眾天使一起降臨,那時,祂將按照各人的行為報應各人。 28 我實在告訴你們,有些站在這裡的人會在有生之年看見人子降臨在祂的國度裡。」
Copyright © 2011 by Global Bible Initiative
© 2017 Bible League International