恆心禱告

18 耶穌講了一個比喻來教導門徒要常常禱告,不要灰心。

祂說:「某城有一位既不敬畏上帝也不尊重人的審判官。 那城裡有一位寡婦常常來哀求這位審判官,說,『求你為我伸冤,懲辦我的對頭。』 審判官總是充耳不聞,但後來心裡想,『雖然我不怕上帝,也不在乎人, 可是這寡婦一直來煩我,還是替她伸冤好了,免得她再來煩我!』」

主接著說:「你們聽,這不義的審判官尚且這麼說, 難道上帝聽到祂揀選的人晝夜呼求,不替他們伸冤嗎?難道祂會一直耽延不理嗎? 我告訴你們,祂必很快為他們伸冤。不過當人子來的時候,在世上找得到有信心的人嗎?」

兩種禱告

耶穌對那些自以為義、藐視別人的人講了一個比喻: 10 「有兩個人到聖殿裡禱告,一個是法利賽人,一個是稅吏。 11 法利賽人站在那裡自言自語地禱告說,『上帝啊!我感謝你,因為我不像別人那樣勒索、不義、通姦,也不像這稅吏。 12 我每週禁食兩次,奉獻全部收入的十分之一。』

13 「但那稅吏卻遠遠地站著,連頭也不敢抬起來,捶著胸說,『上帝啊,求你憐憫我這個罪人!』

14 「我告訴你們,二人回家後,被上帝算為義的是稅吏而不是法利賽人,因為自高的人必遭貶抑,謙卑的人必得尊榮。」

祝福孩子

15 有許多人把嬰孩帶來要讓耶穌摸一摸他們,為他們祝福,門徒看見,就責備這些人。 16 耶穌卻招呼他們過來,並對門徒說:「讓小孩子到我這裡來,不要阻止他們,因為上帝的國屬於這樣的人。 17 我實在告訴你們,人若不像小孩子一樣接受上帝的國,絕不能進去。」

富豪求問永生

18 一位官長問耶穌:「良善的老師,我該做什麼才能承受永生?」

19 耶穌說:「你為什麼稱呼我『良善的老師』呢?只有上帝是良善的。 20 你知道『不可通姦,不可殺人,不可偷盜,不可作偽證,要孝敬父母』這些誡命」。

21 那人說:「我從小就遵行這些誡命。」

22 耶穌聽了就對他說:「你還有一件事沒有做,就是變賣你所有的產業,分給窮人,你必有財寶存在天上,然後你還要來跟從我。」 23 那人聽了,極其憂愁,因為他非常富有。

24 耶穌見狀,就說;「有錢人進上帝的國真難啊! 25 駱駝穿過針眼比有錢人進上帝的國還容易呢!」

26 聽見的人就問:「這樣,誰能得救呢?」

27 耶穌回答說:「對人而言,這不可能,但對上帝而言,凡事都可能。」

28 彼得說:「你看!我們已經撇下一切來跟從你了。」

29 耶穌說:「我實在告訴你們,任何人為了上帝的國而撇下房屋、妻子、弟兄、父母或兒女, 30 今世必得百倍的獎賞,來世必得永生。」

再次預言受害和復活

31 耶穌把十二使徒帶到一邊,對他們說:「你們要留意,我們現在前往耶路撒冷,先知書上有關人子的記載都要應驗, 32 人子將被交在外族人的手裡,被他們嘲弄、虐待、吐唾沫、 33 鞭打和殺害,但第三天祂必復活。」 34 使徒卻一點也不明白,因為這番話的含意是隱藏的,他們聽不明白。

治癒耶利哥的瞎子

35 耶穌快到耶利哥城的時候,有一個瞎子坐在路旁討飯。 36 他聽見許多人經過,就詢問是怎麼回事。 37 有人告訴他是拿撒勒人耶穌經過此地, 38 他就高聲呼喊:「大衛的後裔耶穌啊,可憐我吧!」

39 走在前面的人責備他,讓他安靜,但他反而叫得更大聲:「大衛的後裔啊,可憐我吧!」

40 耶穌停下腳步,命人把他帶過來,然後問他: 41 「你要我為你做什麼?」

他說:「主啊!我想能夠看見。」

42 耶穌對他說:「你看見吧!你的信心救了你。」 43 他立刻得見光明,並跟隨耶穌,一路讚美上帝。目睹這事的人也都讚美上帝。

Yesu Azungumzia Tena Juu Ya Kifo Chake

18 Yesu akawachukua wale wanafunzi wake kumi na wawili kando akawaambia, “Sikilizeni! Tunakwenda Yerusalemu, na yote yaliy oandikwa na manabii kunihusu mimi Mwana wa Adamu yatatimia. Akawaambia, “Katika mji mmoja alikuwapo hakimu ambaye hakumwogopa Mungu wala kumjali mtu. Na alikuwapo mjane mmoja katika mji huo ambaye alikuwa akija kwake mara kwa mara akimwomba, ‘Tafadhali niamulie haki kati yangu na adui yangu.’ Kwa muda mrefu yule hakimu hakufanya lo lote. Lakini hatimaye akasema moyoni mwake, ‘Simwogopi Mungu wala simjali mtu lakini kwa kuwa huyu mjane ananisumbua na kesi yake, nitamwamulia haki asije akanichosha kwa kuja kwake mara kwa mara.”’ Bwana akasema, “Mnasikia asemavyo huyu hakimu dhalimu. Na Mungu je, hatawatendea haki watu wake wanaomlilia mchana na usiku? Je, atakawia kuwapa msaada? Nina waambieni atahakikisha amewatendea haki upesi. Lakini je, mimi Mwana wa Adamu nitakaporudi duniani nitakuta watu wanadumu katika imani?”

Mfano Wa Farisayo Na Mtoza Ushuru

Yesu alitoa mfano huu kwa ajili ya wale waliojiona kuwa wao ni wenye haki na kuwadharau wengine. 10 Watu wawili walikwenda hekaluni kusali, mmoja wao alikuwa Farisayo na mwingine alikuwa mtoza ushuru. 11 yule Farisayo alisimama akasali kimoyomoyo. ‘Ninakushukuru Mungu kwa sababu mimi si kama watu wengine: wany ang’anyi, wadhalimu, wazinzi, au kama huyu mtoza ushuru. 12 Mimi nafunga mara mbili kwa juma na kutoa sehemu ya kumi ya mapato yangu.’ 13 Lakini yule mtoza ushuru alisimama mbali. Hakuthubutu hata kuinua uso wake kutazama mbinguni; bali alijipiga kifuani kwa majuto akasema, ‘Mungu, nihurumie, mimi mwenye dhambi.’

14 Nawaambieni, huyu mtoza ushuru alirudi nyumbani akiwa amehesabiwa haki mbele za Mungu na wala si yule Farisayo. Kwa maana ye yote ajikwezaye atashushwa na ye yote ajinyenyekezaye, atainuliwa.”

Yesu Awabariki Watoto Wadogo

15 Watu wakamletea Yesu watoto wao wachanga ili awaguse. Wanafunzi walipowaona, wakawakemea. 16 Lakini Yesu akawaita wale watoto waje kwake, akasema, “Waacheni watoto wadogo waje kwangu, msiwazuie, kwa maana Ufalme wa Mungu ni wa watu walio kama hawa watoto. 17 Nawaambia hakika, ye yote ambaye hataupokea Ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo, hatauingia kamwe.”

18 Kiongozi mmoja akamwuliza Yesu, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”

19 Yesu akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna mtu aliye mwema ila Mungu peke yake. 20 Unazifahamu amri: ‘Usizini, usiue, usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba yako na mama yako?”’ 21 Akajibu, “Amri zote hizi nimezishika tangu utoto wangu.”

22 Yesu aliposikia haya, akamwambia, “Bado unahitaji kufa nya jambo moja. Nenda ukauze vitu vyote ulivyo navyo, uwagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni. Kisha njoo, unifuate.” 23 Aliposikia hayo alisikitika, kwa maana alikuwa tajiri sana.

24 Yesu alipoona yule kiongozi amesikitika, akasema, “Jinsi gani ilivyo vigumu kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu! 25 Ni rahisi zaidi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika Ufalme wa Mungu.” 26 Wale waliosi kia hayo wakauliza, “Kama ni hivyo, ni nani basi awezaye kuoko lewa?” 27 Yesu akajibu, “Yasiyowezekana kwa binadamu yaweze kana kwa Mungu.” 28 Ndipo Petro akasema, “Sisi je? Tumeacha vyote tulivyokuwanavyo tukakufuata!” 29 Yesu akajibu, “Nawaam bia hakika, hakuna hata mmoja aliyeacha nyumba yake, au mke, ndugu, wazazi au watoto kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, 30 ambaye hatapewa na Mungu mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya na kupata uzima wa milele katika maisha yajayo.” 32 Nitatiwa mikononi mwa watawala wa Kirumi. Watu watanizomea, watanitukana na kunitemea mate. 33 Watanipiga na kuniua, lakini siku ya tatu nitafufuka.”

34 Wanafunzi wake hawakuelewa mambo haya. Maana ya maneno haya ilikuwa imefichika kwao, nao hawakujua Yesu alikuwa anazun gumzia nini.

Yesu Amponya Kipofu

35 Yesu na wafuasi wake walipokaribia Yeriko, walimpita kipofu mmoja aliyekuwa amekaa kando ya njia, akiomba fedha. 36 Kipofu huyo aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza, “Kuna nini?” 37 Wakamwambia, “Yesu Mnazareti anapita.” 38 Akaita kwa sauti kuu, “Yesu, Mwana wa Daudi! Nionee huruma!” 39 Wale waliokuwa wakiongoza msafara wakamkemea wakamwambia akae kimya. Lakini yeye akapiga kelele zaidi, “Mwana wa Daudi! Nionee huruma!”

40 Yesu akasimama, akaagiza huyo mtu aletwe kwake. Alipo karibia, Yesu akamwuliza, 41 “Unataka nikufanyie nini?” Aka jibu, “Bwana, nataka kuona.”

42 Yesu akamwambia, “Basi upate kuona; imani yako imekupo nya.” 43 Akaweza kuona mara hiyo hiyo akamfuata Yesu, huku akimsifu Mungu. Watu wote walioshuhudia mambo hayo, nao wakamsifu Mungu.

上帝会回答他的子民

18 耶稣又给门徒们讲了一个比喻,教导他们应该经常祈祷,不要放弃希望。 他说∶“从前,某城有一位法官,他不畏惧上帝,也不尊重百姓。 当时,城里有一个寡妇,她常常到法官那里说∶‘法官,请制裁我的对头,给我伸张正义吧!’ 可是,法官一直没有帮助她。很久以后,他心里想:虽说我不怕上帝,也不尊重百姓, 可这个寡妇总来打搅我,倒不如我给她伸了冤,免得她没完没了地打扰我,到最后把我给耗得精疲力尽。”

然后,主说:“你们注意听这个不义的法官所说的话。 对那些昼夜向上帝呼唤的人们,上帝难道不会给他的选民主持正义吗?难道他会迟迟不帮助他们吗? 我告诉你们,他会迅速为他们伸张正义的!不过,当‘人子’来临时,他还会在世界上找到信奉他的人吗?”

得到上帝的认可

耶稣又讲了一个比喻,是针对那些认为自己正义而瞧不起别人的人。他说: 10 “从前,有两个人到主的大殿去祈祷,他们俩其中一个是法利赛人,另一个是税吏。 11 那个法利赛人站在那里,祈祷道∶‘哦哦,上帝啊,我感激您,因为我不像别人那样-我不像强盗、骗子,我不犯通奸罪,我更不像这个税吏, 12 我一周禁食两次,我还奉献我收入的十分之一。’

13 那个税吏远远独自地站着,甚至不敢抬眼望天,可是他却一直在捶胸顿足地说∶‘哦,上帝啊,怜悯我这个有罪的人吧!’ 14 我告诉你们,这个人回去了,就是这个人得到了上帝的认可,而不是另一个人。因为,自命不凡的人将受到贬低;而谦卑的人会受到抬举。”

耶稣欢迎儿童

15 有些人甚至把自己的婴儿都抱到耶稣那里,以便耶稣能把手放在孩子们身上,为他们祝福。可是当门徒看见后,却责备他们。 16 但是,耶稣却把孩子们叫到跟前,说道∶“让这些孩子们到我这里来吧,不要阻挡他们,因为,上帝的王国属于像这些孩子的人。 17 我实话告诉你们,如果谁不能像孩子一样地接受上帝的王国,谁就进不了上帝的王国。”

一个富人不肯跟随耶稣

18 有一个犹太人首领问耶稣∶“好老师,我该做什么才能得到永生呢?

19 耶稣对他说∶“你为什么称我好呢?除了上帝之外,没有任何人是好的。 20 你们知道上帝的诫命:不可通奸,不可杀人,不可偷窃,不得作伪证,要孝敬父母。 [a]

21 那个犹太人说∶“这些诫命,我从小到现在一直遵守。”

22 耶稣听他这么说,便对他讲∶“可是,还有一件事你需要做,卖掉你所有的财产,把钱分给穷人,这样你在天国里就会有财富了。然后你来跟随我。” 23 但是,那个人听到了这话,感到很悲伤,因为他很富有。

24 耶稣看到他那副样子,便说∶“有钱人要进上帝的王国真是太难了。 25 是的,骆驼钻过针眼都要比富人进上帝的王国还容易呢。”

谁会得救?

26 听到这些话的人们说∶“那么,那么谁能得救呢?” 27 耶稣说∶“人不可能做到的事情,上帝却能做到!” 28 彼得又说∶“您瞧,我们撇下了一切,跟随了您!” 29 耶稣于是对他们说∶“我实话告诉你们吧:事实上,所有为了上帝王国的缘故,而离开他们的家园、妻子、兄弟、父母和孩子的人, 30 将会在今世得到更多,并且在来世享有永恒的生命。”

耶稣再次谈到自己的死

31 然后,耶稣把十二个使徒叫到一边,对他们说∶“听着,我们要到耶路撒冷去,先知们所记载有关人子的事情将要实现。 32 他将被交到外族人的手里,他将受到嘲笑、虐待和唾吐; 33 他们将鞭打他,并杀害了他。但是, 此后的第三天,他会复活。” 34 可是,使徒们对这些事情一样也不明白,这话的含意是向他们隐藏着的,所以,他们不明白他所谈的事情。

耶稣治愈盲人

35 耶稣接近耶利哥的时候,有个盲人坐在路边乞讨。 36 当他听到耶稣他们一行人走过的声音,便问发生了什么事。

37 他们告诉他说:“拿撒勒城的耶稣正从这里路过。” 38 那个盲人便喊道∶“耶稣,大卫的子孙,可怜可怜我吧!”

39 前边走的人斥责他,叫他不要作声,可是他反而喊得更响了∶“大卫的子孙,可怜可怜我吧!”

40 耶稣停下脚步,吩咐人们把那个瞎子带到面前。瞎子来到他面前时,耶稣问他∶“你想要我为你做什么呢?”

41 盲人说∶“主啊,我想重获视力。”

42 耶稣说∶“领受你的视力吧,你的信仰救了你。”

43 他的眼睛立刻复明了,于是,他便跟随了耶稣,一路上对上帝赞不绝口。在场的人看到这个情景,也都赞美起上帝来了。

Footnotes

  1. 路 加 福 音 18:20 引自《出埃及记》20:12-16《申命记》5:16-20。