17 Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Majaribu yanayowafanya watu watende dhambi hayana budi kuwepo. Lakini ole wake mtu yule anayeyasababisha. Ingekuwa nafuu kama mtu huyo angefungiwa jiwe zito shingoni na kuzamishwa baharini kuliko kumfanya mmoja wa hawa wadogo atende dhambi. Kwa hiyo, jihadharini. Ndugu yako akikukosea mwonye; akiomba msamaha, msamehe. Hata kama akikuko sea mara saba kwa siku na kila mara aje kwako akisema, ‘Nisa mehe

Wanafunzi wakamwambia Bwana, “Tuzidishie imani.” Aka waambia, “Kama mngekuwa na imani kiasi cha punje ndogo sana ya haradali, mngeweza kuuambia mti huu, ‘Ng’oka na mizizi yote ukaote baharini,’ nao ungewatii!”

Wajibu Wa Mtumishi

“Tuseme mmoja wenu ana mtumishi aliyekwenda shambani kulima au kuchunga kondoo. Je, mtumishi huyo akirudi utamwambia, ‘Karibu keti ule chakula’? Hata kidogo. Badala yake utamwambia, ‘Nitayarishie chakula na ujiandae kunihudumia ninapokula na kunywa, na baada ya hapo unaweza kula chakula chako.’ Wala hutamshukuru mtumishi huyo kwa kutimiza wajibu wake. 10 Hali kadhalika nanyi, baada ya kufanya mliyoagizwa, semeni, ‘Sisi ni watumishi tusiostahili, tumetimiza wajibu wetu tu.”’

Yesu Atakasa Wakoma Kumi

11 Yesu alipokuwa akienda Yerusalemu alipitia kati ya Samaria na Galilaya. 12 Alipokuwa akikaribia kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma walikutana naye. 13 Wakasimama mbali wakaita kwa nguvu, “Yesu! Bwana! tuonee huruma!” 14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Na walipokuwa wakienda, wakapona ukoma wao. 15 Mmoja wao alipoona kwamba ame pona, akarudi kwa Yesu akimsifu Mungu kwa sauti kuu. 16 Kwa heshima kubwa akajitupa miguuni kwa Yesu akamshukuru. Yeye ali kuwa ni Msamaria .

17 Yesu akauliza, “Hawakuponywa wote kumi? Wako wapi wale tisa wengine? 18 Hakuna hata mmoja aliyekumbuka kurudi kumsifu Mungu isipokuwa huyu mgeni?” 19 Akamwambia, “Inuka, uende; imani yako imekuponya.” Ufalme Wa Mungu Utakavyokuja

20 Siku moja, Mafarisayo walipomwuliza Yesu Ufalme wa Mungu utakuja lini, aliwajibu hivi: “Ufalme wa Mungu hauji kwa kuone kana, 21 wala watu hawatasema, ‘Huu hapa’ au ‘Ule kule’ kwa maana Ufalme wa Mungu umo ndani yenu.”

22 Kisha akawaambia wanafunzi wake, “Wakati utafika ambapo mtatamani kuiona siku yangu moja, mimi Mwana wa Adamu lakini ham taiona. 23 Watu watawaambia, ‘Yule pale’ au, ‘Huyu hapa!’ Msiwa kimbilie. 24 Kwa maana kama umeme unavyomulika mbingu kutoka upande mmoja hadi mwingine, ndivyo itakavyokuwa siku ya kuja kwangu, mimi Mwana wa Adamu. 25 Lakini kwanza itanipasa nite seke sana na kukataliwa na watu wa kizazi hiki. 26 Kama ilivy okuwa nyakati za Nuhu, ndivyo itakavyokuwa siku ya kurudi kwangu, mimi Mwana wa Adamu. 27 Wakati wa Nuhu watu walikuwa wakila, wakinywa, wakioa na kuolewa mpaka siku ile Nuhu alipoingia katika safina. Ndipo mafuriko yakaja yakawaangamiza wote. 28 Hata nyakati za Lutu ilikuwa hivyo hivyo. Watu walikuwa wakila, waki nywa, wakifanya biashara, wakilima na kujenga. 29 Lakini siku ile Lutu alipoondoka Sodoma, moto ulishuka kutoka mbinguni uka waangamiza wote. 30 Ndivyo itakavyokuwa siku ambapo mimi Mwana wa Adamu nitakapotokea kwa utukufu.

31 “Siku hiyo, mtu akiwa darini na vitu vyake vikiwa ndani, asiteremke kuvichukua. Hali kadhalika atakayekuwa shambani asi rudi nyumbani kuchukua cho chote. 32 Kumbukeni yaliyompata mke wa Lutu! 33 Mtu ye yote anayejaribu kusalimisha maisha yake atayapoteza; na ye yote atakayekuwa tayari kuyapoteza maisha yake atayaokoa. 34 Nawaambia, usiku huo watu wawili watakuwa wamelala kitanda kimoja; mmoja atachukuliwa, mwingine ataachwa. 35 Wana wake wawili watakuwa wanatwanga pamoja; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.” [ 36 Wanaume wawili watakuwa wanafanya kazi pamoja shambani; mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.] 37 Wakamwuliza, “Haya yatatokea wapi Bwana?” Akawaambia, “Pale ulipo mzoga, ndipo tai wanapokutanika.” Mfano Wa Hakimu Dhalimu

论罪、信心和本分

17 耶稣教导门徒说:“引人犯罪的事是免不了的,但引人犯罪的人有祸了。 谁使一个卑微的弟兄失足犯罪,他的下场比把大磨石拴在他脖子上扔到海里还要惨。 你们要小心谨慎!你的弟兄若犯了罪,要责备他。他若悔改,要饶恕他。 就算他一天得罪你七次,每次都对你说,‘我悔改’,你都要饶恕他。”

使徒对主说:“请你加添我们的信心。”

主说:“如果你们的信心像一粒芥菜种那么大,便可对这棵桑树说,‘连根拔起,栽在大海里!’它必服从你们。

“你们谁会对种田或放羊回来的奴仆说,‘请赶快坐下来吃饭’? 不都是吩咐他‘给我准备晚饭,束上腰带伺候我用餐,等我吃完,你才可以吃’吗? 奴仆照着吩咐去做,主人会谢他吗? 10 同样,你们照着吩咐把事情办妥后,也该这样说,‘我们是无用的奴仆,所做的不过是分内的事。’”

十个麻风病人

11 耶稣继续前往耶路撒冷,途经撒玛利亚和加利利的交界处。 12 祂进入一个村庄时,十个麻风病人迎面而来。他们远远地站着, 13 高声呼喊道:“耶稣,老师啊,求你可怜我们吧!”

14 耶稣看见他们,就说:“去让祭司察看你们的身体。”

他们去的时候,就洁净了。 15 其中一个发现自己痊愈了,就跑回来,高声赞美上帝, 16 又俯伏在耶稣的脚前连连称谢。这人是撒玛利亚人。

17 耶稣说:“被医好的不是有十个人吗?其他九个呢? 18 回来赞美称颂上帝的只有这个外族人吗?” 19 于是祂对那人说:“起来回去吧!你的信心救了你。”

上帝国的降临

20 法利赛人问耶稣:“上帝的国什么时候降临?”

耶稣回答说:“上帝国的降临并没有看得见的征兆。 21 所以没有人能说,‘上帝的国在这里’,或说,‘在那里’,因为上帝的国就在你们心里[a]。”

22 祂又对门徒说:“时候将到,你们将渴望见到人子降临的日子,可是你们却见不到。 23 有人将对你们说,‘看啊,祂在这里!’或说,‘看啊,祂在那里!’你们不要出去,也不要追随他们。 24 因为人子降临的时候必如划过长空的闪电,从天这边一直照亮到天那边。 25 但祂必须先受苦,被这个世代弃绝。

26 “人子降临时的情形将像挪亚的时代, 27 人们吃喝嫁娶,一直到挪亚进入方舟那天,洪水来了,毁灭了他们; 28 又像罗得的时代,人们吃喝、做买卖、耕地、盖房。 29 在罗得离开所多玛那天,烈火和硫磺从天而降,把他们全毁灭了。

30 “人子显现之日的情形也是如此。 31 那天,在自己屋顶上的,不要下来收拾行李;在田里工作的,也不要回家。 32 你们要记住罗得妻子的事。 33 想保全生命的,必丧失生命;丧失生命的,必保全生命。 34 我告诉你们,那天晚上,两个人睡在一张床上,一个将被接去,一个将被撇下; 35 两个女人一起推磨,一个将被接去,一个将被撇下; 36 两个人在田间,一个将被接去,一个将被撇下。[b]

37 门徒问:“主啊,在哪里有这事呢?”

耶稣回答说:“尸体在哪里,秃鹰就会聚集在哪里。”

Footnotes

  1. 17:21 在你们心里”或作“在你们当中”。
  2. 17:36 有古卷无36节。