1-2 提阿非罗大人,已经有很多人根据最初的目击者和传道者给我们的口述,把我们中间发生的事记载下来。 我把一切事情从头至尾仔细查考之后,决定按次序写出来, 使你知道自己所学的道都是有真凭实据的。

天使预告施洗者约翰出生

犹太王希律执政期间,亚比雅的班里有位祭司名叫撒迦利亚,他妻子伊丽莎白是亚伦的后裔。 夫妻二人遵行主的一切诫命和条例,无可指责,在上帝眼中是义人。 但他们没有孩子,因为伊丽莎白不能生育,二人又年纪老迈。

有一天,轮到撒迦利亚他们那一班祭司当值, 他们按照祭司的规矩抽签,抽中撒迦利亚到主的殿里去烧香。 10 众百姓都在外面祷告。 11 那时,主的天使在香坛的右边向撒迦利亚显现, 12 撒迦利亚见了,惊慌害怕起来。

13 天使对他说:“撒迦利亚,不要害怕,你的祷告已蒙垂听。你的妻子伊丽莎白要为你生一个儿子,你要给他取名叫约翰。 14 你必欢喜快乐,许多人也会因为他的诞生而欣喜雀跃, 15 因为他将成为主伟大的仆人。他必滴酒不沾,并且在母腹里就被圣灵充满。 16 他将劝导许多以色列人回心转意,归顺主——他们的上帝。 17 他将以先知以利亚的心志和能力做主的先锋,使父亲的心转向儿女,使叛逆的人回转、顺从义人的智慧,为主预备合用的子民。”

18 撒迦利亚对天使说:“我已经老了,我的妻子也上了年纪,我如何知道这是真的呢?” 19 天使回答说:“我是侍立在上帝面前的加百列,奉命来向你报这喜讯。 20 我说的这些话到时候必定应验。但因为你不肯相信我的话,所以这事成就以前,你将变成哑巴,不能说话。”

21 人们在等候撒迦利亚,见他在圣殿里迟迟不出来,都感到奇怪。 22 后来他出来了,却成了哑巴,不能说话,只能打手势,大家意识到他在圣殿里看见了异象。 23 撒迦利亚供职期满,就回家去了。 24 不久,伊丽莎白果然怀了孕,她有五个月闭门不出。 25 她说:“主真是眷顾我,除掉了我不生育的羞耻。”

天使预告耶稣降生

26 伊丽莎白怀孕六个月的时候,天使加百列又奉上帝的命令到加利利的拿撒勒, 27 去见一位童贞女,她叫玛丽亚。玛丽亚已经和大卫的后裔约瑟订了婚。

28 天使到了玛丽亚那里,说:“恭喜你,蒙大恩的女子,主与你同在!”

29 玛丽亚听了觉得十分困惑,反复思想这话的意思。

30 天使对她说:“玛丽亚,不要害怕,你在上帝面前已经蒙恩了。 31 你要怀孕生子,并给祂取名叫耶稣。 32 祂伟大无比,将被称为至高者的儿子,主上帝要把祂祖先大卫的王位赐给祂。 33 祂要永远统治以色列[a],祂的国度永无穷尽。”

34 玛丽亚对天使说:“这怎么可能呢?我还是童贞女。”

35 天使回答说:“圣灵要临到你身上,至高者的能力要荫庇你,所以你要生的那圣婴必称为上帝的儿子。 36 看啊,你的亲戚伊丽莎白年纪老迈,一向不能生育,现在已经怀男胎六个月了。 37 因为上帝无所不能。”

38 玛丽亚说:“我是主的婢女,愿你所说的话在我身上成就。”于是天使离开了她。

玛丽亚看望伊丽莎白

39 不久,玛丽亚便动身赶到犹太山区的一座城, 40 进了撒迦利亚的家,向伊丽莎白请安。 41 伊丽莎白一听见玛丽亚的问安,腹中的胎儿便跳动起来,伊丽莎白被圣灵充满, 42 高声喊着说:“在妇女中你是最蒙福的!你腹中的孩子也是蒙福的! 43 我主的母亲来探望我,我怎么敢当呢? 44 我一听到你问安的声音,腹中的孩子就欢喜跳动。 45 相信主所说的话必实现的女子有福了!”

46 玛丽亚说:
“我的心尊主为大,
47 我的灵因我的救主上帝而欢喜,
48 因祂眷顾我这卑微的婢女,
从今以后,
世世代代都要称我是有福的。
49 全能者在我身上行了奇事,
祂的名是神圣的。
50 祂怜悯敬畏祂的人,
直到世世代代。
51 祂伸出臂膀,施展大能,
驱散心骄气傲的人。
52 祂使当权者失势,
叫谦卑的人升高。
53 祂使饥饿的得饱足,
叫富足的空手而去。
54 祂扶助了自己的仆人以色列,
55 祂要施怜悯给亚伯拉罕和他的子孙,
直到永远,
正如祂对我们祖先的应许。”

56 玛丽亚和伊丽莎白同住了约三个月,便回家去了。

施洗者约翰出生

57 伊丽莎白的产期到了,生下一个儿子。 58 亲戚和邻居听见主向她大施怜悯,都和她一同欢乐。 59 到了第八天,他们来给孩子行割礼,想照他父亲的名字给他取名叫撒迦利亚。

60 但伊丽莎白说:“不!要叫他约翰。”

61 他们说:“你们家族中没有人用这个名字啊!” 62 他们便向他父亲打手势,问他要给孩子起什么名字。 63 撒迦利亚就要了一块写字板,写上:“他的名字叫约翰。”大家看了都很惊奇。 64 就在那时,撒迦利亚恢复了说话的能力,便开口赞美上帝。 65 住在周围的人都很惧怕,这消息很快就传遍了整个犹太山区。 66 听见的人都在想:“这孩子将来会怎样呢?因为主与他同在。”

撒迦利亚的预言

67 孩子的父亲撒迦利亚被圣灵充满,便预言说:

68 “主——以色列的上帝当受称颂,
因祂眷顾、救赎了自己的子民,
69 在祂仆人大卫的家族中为我们兴起了一位大能的拯救者[b]
70 正如祂从亘古借着祂圣先知们的口所说的。
71 祂要从仇敌和一切恨我们之人手中拯救我们。
72 祂怜悯我们的祖先,
持守自己的圣约,
73 就是祂对我们的先祖亚伯拉罕所起的誓,
74 要把我们从仇敌手中拯救出来,
75 使我们一生一世在圣洁和公义中坦然无惧地事奉祂。
76 至于你,我的儿子啊!
你将要被称为至高者的先知,
因为你要走在主的前面,
为祂预备道路,
77 使百姓因罪得赦免而明白救恩的真谛。
78 由于上帝的怜悯,
清晨的曙光必从高天普照我们,
79 照亮那些生活在黑暗中和死亡阴影下的人,
带领我们走平安的道路。”

80 那孩子渐渐长大,心灵强健,在向以色列人公开露面之前,一直住在旷野。

Footnotes

  1. 1:33 以色列”希腊文是“雅各的家”。
  2. 1:69 拯救者”希腊文是“拯救的角”。

Luka Aandika Kuhusu Maisha ya Yesu

Mheshimiwa Theofilo:[a]

Watu wengine wengi wamejaribu kuandika juu ya mambo yaliyotokea katikati yetu ili kuukamilisha mpango wa Mungu. Mambo hayo waliyoyaandika yanalingana na yale tuliyosikia kutoka kwa watu walioyaona tangu mwanzo. Na walimtumikia Mungu kwa kuwaambia wengine ujumbe wake. Nimechunguza kila kitu kwa makini tangu mwanzo. Na nimeona kuwa ni vyema nikuandikie kwa mpangilio mzuri. Nimefanya hivi ili uwe na uhakika kuwa yale uliyofundishwa ni ya kweli.

Malaika Amjulisha Zakaria Kuhusu Kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji

Herode alipokuwa mfalme wa Uyahudi, alikuwepo kuhani mmoja aliyeitwa Zakaria, aliyekuwa mmoja wa makuhani wa kikundi[b] cha Abiya. Mkewe alikuwa mzaliwa wa ukoo wa Haruni, na jina lake alikuwa Elizabeti. Wote wawili Zakaria na Elizabeti walikuwa wema waliompendeza Mungu na daima walifanya yote yaliyoamriwa na Bwana na kila mara walifuata maagizo yake kwa ukamilifu. Lakini hawakuwa na watoto kwa sababu Elizabeti alikuwa tasa, na wote wawili walikuwa wazee sana.

Ilipofika zamu ya kundi la Zakaria kuhudumu Hekaluni, yeye mwenyewe alikuwepo ili kuhudumu kama kuhani mbele za Mungu kwa ajili kundi. Makuhani walikuwa wanapiga kura kumchagua mmoja wao atakayeingia katika Hekalu la Bwana ili kufukiza uvumba. Na Zakaria alichaguliwa wakati huu. 10 Wakati wa kufukiza uvumba ulipofika watu wote walikusanyika nje ya Hekalu wakiomba.

11 Zakaria akiwa ndani ya Hekalu alitokewa na malaika wa Bwana akiwa amesimama mbele yake upande wa kulia wa madhabahu ya uvumba. 12 Zakaria alipomwona malaika aliogopa, na akaingiwa na hofu. 13 Lakini Malaika akamwambia, “Usiogope, Zakaria. Mungu amelisikia ombi lako. Mkeo Elizabeti atakuzalia mtoto wa kiume, nawe utamwita jina lake Yohana. 14 Utafurahi sana, na watu wengine wengi watamfurahia pamoja nawe. 15 Atakuwa mkuu kwa ajili ya Bwana. Kamwe asinywe mvinyo wala kitu chochote kile kitakachomlewesha. Atajazwa Roho Mtakatifu tangu akiwa tumboni mwa mama yake.

16 Naye atawafanya Waisraeli wengi wamrudie Bwana Mungu wao. 17 Atamtangulia Bwana ili kuwaandaa watu kuupokea ujio wake. Atakuwa na nguvu na roho kama Eliya. Atawapatanisha wazazi na watoto wao na kuwafanya wale wasiomtii Mungu kubadilika na kuanza kumtii Mungu.”

18 Zakaria akamwambia malaika, “Nitajuaje kuwa haya unayosema ni ya kweli? Maana mimi ni mzee na mke wangu ana umri mkubwa pia.”

19 Malaika akamjibu, “Mimi ni Gabrieli, ambaye daima husimama mbele za Mungu nikiwa tayari. Amenituma kuzungumza nawe na kukujulisha habari hizi njema. 20 Sasa sikiliza! Hautaweza kuzungumza mpaka siku ambayo mambo haya yatatokea kwa sababu hukuyaamini yale niliyokwambia. Lakini nilichosema hakika kitatokea.”

21 Watu waliokuwa nje ya Hekalu wakimngojea Zakaria walishangaa kwa sababu alikaa kwa muda mrefu ndani ya Hekalu. 22 Zakaria alipotoka nje hakuweza kuzungumza nao. Aliwafanyia watu ishara kwa mikono yake. Hivyo watu walitambua kuwa alikuwa ameona maono alipokuwa Hekaluni. 23 Zamu ya utumishi wake ilipokwisha alirudi nyumbani.

24 Wakati fulani baadaye, Elizabeti, mke wa Zakaria akawa mjamzito. Alikaa katika nyumba yake na hakutoka nje kwa miezi mitano. Alisema, 25 “Na sasa, hatimaye Bwana amenisaidia kwa kuniondolea aibu yangu.”

Malaika Atangaza Kuzaliwa kwa Yesu

26-27 Mwezi wa sita wa ujauzito wa Elizabeti, Mungu alimtuma malaika Gabrieli kwa msichana mmoja bikira aliyeishi Nazareti, mji wa Galilaya. Msichana huyo alikuwa amechumbiwa na Yusufu mzaliwa katika ukoo wa Daudi. Jina la bikira huyo lilikuwa Mariamu. 28 Malaika alimwendea na kusema “Salamu! Bwana yu pamoja nawe; Kwa kuwa neema yake iko juu yako.”

29 Lakini, Mariamu alichanganyikiwa kutokana na yale aliyosema malaika. Akajiuliza, “Salamu hii ina maana gani?”

30 Malaika akamwambia, “Usiogope Mariamu, kwa kuwa neema ya Mungu iko juu yako. 31 Sikiliza! Utapata mimba na kuzaa mtoto mwanamume, nawe utamwita jina lake Yesu. 32 Mtoto huyo atakuwa Mkuu na watu watamwita Mwana wa Mungu Aliye Mkuu Sana na Bwana Mungu atamfanya kuwa mfalme kama Daudi baba yake. 33 Naye ataitawala nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”

34 Mariamu akamwambia malaika, “Jambo hili litatokeaje? Kwa maana mimi bado ni bikira.”

35 Malaika akamwambia Mariamu, “Roho Mtakatifu atakujia, na nguvu zake Mungu Mkuu zitakufunika. Na hivyo mtoto atakayezaliwa atakuwa mtakatifu na ataitwa Mwana wa Mungu. 36 Pia sikiliza hili: Jamaa yako Elizabeti ni mjamzito. Ijapokuwa ni mzee sana, atazaa mtoto wa kiume. Kila mtu alidhani hataweza kuzaa, lakini sasa huu ni mwezi wa sita wa ujauzito wake. 37 Mungu anaweza kufanya jambo lolote!”

38 Mariamu akasema, “Mimi ni mtumishi wa Bwana, basi jambo hili litokee kwangu kama ulivyosema.” Kisha malaika akaondoka.

Mariamu Amtembelea Elizabeti

39 Mariamu akajiandaa na kwenda haraka katika mji mmoja ulio vilimani katika jimbo la Yuda. 40 Alikwenda nyumbani kwa Zakaria, alipofika akamsalimu Elizabeti. 41 Elizabeti aliposikia salamu ya Mariamu, mtoto aliyekuwa tumboni mwake akirukaruka, na Elizabeti akajazwa Roho Mtakatifu.

42 Kisha akapaza sauti na kumwambia Mariamu, “Umebarikiwa kuliko wanawake wote, na mtoto utakayemzaa amebarikiwa. 43 Lakini jambo hili kuu limetokeaje kwangu, hata mama wa Bwana wangu aje kwangu? 44 Kwa maana sauti ya salamu yako ilipofika masikioni mwangu, mtoto aliye ndani yangu amerukaruka kwa furaha. 45 Umebarikiwa wewe uliyeamini kuwa mambo aliyokuambia Bwana yatatokea.”

Mariamu Amsifu Mungu

46 Mariamu akasema,

“Moyo wangu unamwadhimisha Bwana,
47     kwa maana, Yeye, Mungu na Mwokozi
    wangu amenipa furaha kuu!
48 Kwa maana ameonesha kunijali,
    mimi mtumishi wake, nisiye kitu.
Na kuanzia sasa watu wote
    wataniita mbarikiwa.
49 Kwa kuwa Mwenye Nguvu amenitendea mambo makuu.
    Jina lake ni takatifu.
50 Na huwapa rehema zake wale wamchao,
    kutoka kizazi hadi kizazi.
51 Ameonesha nguvu ya mkono wake;
    Amewatawanya wanaojikweza.
52 Amewaangusha watawala kutoka katika viti vyao vya enzi,
    na kuwakweza wanyenyekevu.
53 Amewashibisha wenye njaa kwa mambo mema,
    na amewatawanya matajiri bila ya kuwapa kitu.
54 Amemsaidia Israeli, watu aliowachagua ili wamtumikie.
    Amekumbuka kuonesha rehema;
55 Maana ndivyo alivyowaahidi baba zetu,
    Ibrahimu na wazaliwa wake.”

56 Mariamu alikaa na Elizabeti kwa muda wa kama miezi mitatu, kisha alirudi nyumbani kwake.

Kuzaliwa kwa Yohana Mbatizaji

57 Wakati ulipotimia kwa Elizabeti kujifungua, alizaa mtoto wa kiume. 58 Majirani na jamaa zake waliposikia jinsi Bwana alivyokuwa mwema kwake, walifurahi pamoja naye.

59 Mtoto alipofikisha umri wa siku nane, walikuja kumtahiri.[c] Walipotaka kumwita mtoto Zakaria kutokana na jina la baba yake. 60 Mama yake akasema, “Hapana, mtoto ataitwa Yohana.”

61 Lakini wao wakamwambia, “Hakuna jamaa yako hata mmoja mwenye jina hilo.” 62 Ndipo wakamfanyia ishara baba yake wakimwuliza jina alilotaka kumpa mtoto.

63 Zakaria akataka ubao wa kuandikia,[d] Kisha akaandika, “Jina lake ni Yohana.” Wote wakashangaa. 64 Mara hiyo hiyo mdomo wake ulifunguliwa na ulimi wake ukaachia, akaanza kuzungumza na kumsifu Mungu. 65 Majirani zao wakajawa hofu na watu katika sehemu zote za vilima katika jimbo la Yuda wakawa wanazungumza kuhusu jambo hili. 66 Watu wote waliosikia kuhusu mambo haya walijiuliza, wakisema, “Mtoto huyu atakuwa wa namna gani?” Kwa kuwa nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye.

Zakaria Amsifu Mungu

67 Kisha Zakaria, baba yake Yohana, akajaa Roho Mtakatifu, akatabiri, akisema:

68 “Asifiwe Bwana, Mungu wa Israeli,
    kwa kuwa amekuja kuwasaidia
    watu wake na kuwaweka huru.
69 Na ametuletea sisi Mwokozi Mwenye Nguvu,
    kutoka katika ukoo wa mtumishi wake Daudi.
70 Hivi ndivyo alivyoahidi
    kupitia manabii wake watakatifu tangu zamani.
71 Aliahidi kwa Agano kuwa atatuokoa na adui zetu
    na milki za wote wanaotuchukia.
72 Ili kuonesha rehema kwa baba zetu,
    na kulikumbuka agano lake takatifu aliloagana nao.
73 Agano hili ni kiapo alichomwapia
    baba yetu Ibrahimu.
74 Alipoahidi kutuokoa kutoka katika nguvu za adui zetu,
    ili tuweze kumwabudu Yeye bila hofu.
75 Katika namna iliyo takatifu na yenye haki
    mbele zake siku zote za maisha yetu.

76 Sasa wewe, mtoto mdogo,
    utaitwa nabii wa Mungu Aliye Juu Sana,
kwa sababu utamtangulia Bwana
    kuandaa njia yake.
77 Utawaambia watu wake kwamba wataokolewa
    kwa kusamehewa dhambi zao.

78 Kwa rehema ya upendo wa Mungu wetu,
    siku mpya[e] itachomoza juu yetu kutoka mbinguni.
79 Kuwaangazia wale wanaoishi katika giza,
    kwa hofu ya mauti,
na kuongoza hatua zetu
    katika njia ya amani.”

80 Na hivyo mtoto Yohana akakua na kuwa na nguvu katika roho. Kisha akaishi maeneo yasiyo na watu mpaka wakati alipotokea hadharani akihubiri ujumbe wa Mungu kwa watu wa Israeli.

Footnotes

  1. 1:1 Theofilo Theofilo ndiye aliyemdhamini Luka katika mradi wa utafiti na uandishi wa kitabu hiki na kingine (Matendo ya Mitume). Ijapokuwa ni kama aliandikiwa yeye, makusudi ya mwandishi na Roho Mtakatifu ni kuwa watu wote wakisome. Theofilo maana yake ni “Mpendwa wa Mungu”.
  2. 1:5 makuhani wa kikundi Makuhani wa Kiyahudi waligawanywa katika vikundi 24. Tazama 1 Mambo ya Nyakati sura ya 24. Vikundi hivi 24 vya Makuhani vilihudumu katika Hekalu mjini Yerusalemu kwa zamu (mzunguko). Kila kikundi kilikuwa na zamu kwa wiki nzima, aghalabu wiki mbili kwa mwaka.
  3. 1:59 kumtahiri Yaani, kumfanyia tohara kama ilivyokuwa katika sheria ya Musa.
  4. 1:63 ubao wa kuandikia Ni ubao uliokuwa umepakwa nta au mpira ili usiloe.
  5. 1:78 siku mpya Kwa maana ya kawaida, “Alfajiri”, imetumika hapa kama ishara ikimaanisha Masihi, Bwana.

序言(参(A)

尊敬的提阿非罗先生,因为有许多人,已经把在我们中间成就了的事, 按照起初亲眼看见的传道人所传给我们的,编着成书; 我已经把这些事从头考查过,认为也应该按着次序写给你, 让你晓得所学到的道理,都是确实的。

天使预言施洗约翰出生

犹太王希律在位的日子,亚比雅班里有一个祭司,名叫撒迦利亚,他妻子是亚伦的后代,名叫以利沙伯。 他们在 神面前都是义人,遵行主的一切诫命规条,无可指摘, 只是没有孩子,因为以利沙伯不生育,二人又都上了年纪。

有一次,撒迦利亚在 神面前按着班次执行祭司的职务, 照祭司的惯例抽中了签,进入主的圣殿烧香。 10 烧香的时候,众人都在外面祈祷。 11 有主的使者站在香坛右边,向他显现。 12 撒迦利亚一见就惊慌起来,十分害怕。 13 天使说:“撒迦利亚,不要怕,因为你的祈求已蒙垂听,你妻子以利沙伯要给你生一个儿子,你要给他起名叫约翰。 14 你必欢喜快乐,许多人因他出生,也必喜乐。 15 他在主面前要被尊为大,淡酒浓酒都不喝,未出母腹就被圣灵充满。 16 他要使许多以色列人转向主他们的 神。 17 他必有以利亚的灵和能力,行在主的前面,叫父亲的心转向儿女,叫悖逆的转向义人的意念,为主安排那预备好了的人民。” 18 撒迦利亚对天使说:“我怎么能知道这事呢?我已经老了,我妻子也上了年纪。” 19 天使回答:“我是站在 神面前的加百列,奉差遣向你说话,报给你这好消息。 20 看吧!到了时候我的话必要应验;因为你不信我的话,你必成为哑巴,直到这些事成就的那一天,才能说话。”

21 众人等候撒迦利亚;因他在圣殿里迟迟不出来,觉得奇怪。 22 等到他出来,却不能讲话,竟成了哑巴,不断地向他们打手式,他们就知道他在圣殿里见了异象。 23 供职的日子满了,他就回家去。 24 过了几天,他妻子以利沙伯怀了孕,隐藏了五个月,说: 25 “主在眷顾的日子,这样看待我,要把我在人间的羞耻除掉。”

天使预言耶稣降生

26 到了第六个月,天使加百列奉 神差遣,往加利利的拿撒勒城去, 27 到了一个童贞女那里,她已经和大卫家一个名叫约瑟的人订了婚,童贞女的名字是马利亚。 28 天使进去,对她说:“恭喜!蒙大恩的女子,主与你同在!” 29 她却因这话惊慌起来,反复思想这样祝贺是甚么意思。 30 天使说:“马利亚,不要怕!因你已从 神那里蒙了恩。 31 你将怀孕生子,要给他起名叫耶稣。 32 他将要被尊为大,称为至高者的儿子,主 神要把他祖大卫的王位赐给他, 33 他要作王统治雅各家,直到永远,他的国没有穷尽。” 34 马利亚对天使说:“我还没有出嫁(“我还没有出嫁”原文作“我不认识男人”),怎能有这事呢?” 35 天使回答:“圣灵要临到你,至高者的能力要覆庇你,因此那将要出生的圣者,必称为 神的儿子。 36 你看,你亲戚以利沙伯,被称为不生育的,在老年也怀了男胎,现在已是第六个月了, 37 因为在 神没有一件事是不可能的。” 38 马利亚说:“我是主的婢女,愿照你的话成就在我身上!”天使就离开她去了。

马利亚往见以利沙伯

39 后来,马利亚就起身,急忙向山地去,来到犹大的一座城, 40 进了撒迦利亚的家,向以利沙伯问安。 41 以利沙伯一听见马利亚的问安,腹中的胎儿就跳动,以利沙伯也被圣灵充满, 42 就高声说:“你在女子中是有福的!你腹中的胎儿也是有福的! 43 我主的母亲竟然到我这里来。这事怎会临到我呢? 44 你看,你问安的声音一进我的耳朵,我腹中的胎儿就欢喜跳跃。 45 这相信主传给她的话必要成就的女子是有福的。”

马利亚尊主为大(参(B)

46 马利亚说:

“我心尊主为大,

47 我灵以 神我的救主为乐,

48 因为他垂顾他婢女的卑微,

看哪!今后万代都要称我为有福。

49 全能者为我行了大事,他的名为圣;

50 他的怜悯世世代代归与敬畏他的人。

51 他用膀臂施展大能,

驱散心里妄想的狂傲人。

52 他使有权能的失位,

叫卑微的升高,

53 让饥饿的得饱美食,

使富足的空手回去。

54 他扶助了他的仆人以色列,

为要记念他的怜悯,

55 正如他向我们列祖所说的,

恩待亚伯拉罕和他的后裔,直到永远。”

56 马利亚和以利沙伯同住约有三个月,就回家去了。

施洗约翰出生

57 以利沙伯的产期到了,生了一个儿子。 58 邻里亲戚,听见主向她大施怜悯,都和她一同欢乐。 59 到了第八天,他们来给孩子行割礼,要照他父亲的名字,叫他撒迦利亚。 60 但他母亲说:“不可,要叫他约翰。” 61 他们说:“你亲族里没有叫这名字的。” 62 他们就向孩子的父亲打手式,看他要叫他甚么。 63 他要了一块写字版,写上说:“他的名字是约翰。”众人都希奇。 64 撒迦利亚的口舌立刻开了,就出声称颂 神。 65 住在周围的人都害怕,这一切事传遍了整个犹太山地, 66 凡听见的就把这些事放在心里,说:“这孩子将会成为怎样的人呢?因为主的手与他同在。”

撒迦利亚的预言

67 他的父亲撒迦利亚被圣灵充满,预言说:

68 “主,以色列的 神,是应当称颂的,

因他眷顾自己的子民,施行救赎,

69 在他仆人大卫家中,

为我们兴起救恩的角,

70 正如主自古以来藉圣先知口中所说的,

71 救我们脱离仇敌,和恨我们的人的手;

72 向我们列祖施怜悯,记念他的圣约,

73 就是他对我们祖先亚伯拉罕所起的誓,

74 把我们从仇敌手中救拔出来,

叫我们可以坦然无惧,用圣洁公义,

75 在他面前一生一世敬拜他。

76 孩子啊,你要称为至高者的先知,

因为你要行在主的面前,预备他的路,

77 使他的子民,因罪得赦,就知道救恩。

78 因我们 神的怜悯,

使清晨的阳光从高天临到我们,

79 光照那坐在黑暗中死荫里的人,

引导我们的脚,走上平安的路。”

80 这孩子渐渐长大,心灵健壮,住在旷野,直到他在以色列人中公开露面的日子。

路加记述耶稣的生平

尊敬的提阿非罗大人,在我之前,曾有很多人尝试过要报道发生在我们中间的事。 这些事与人们告诉我们的情形是一致的,告诉我们这些事的人们,从一开始就亲眼目睹了这些事,他们也曾做过向人们传播上帝信息的工作。 我也认为这个意图很好,所以我对每件事都从头进行了仔细的调查,然后按次序写成了报告,呈献给您。 我这么做是为了让您知道报告给您的事情都是真实的。

天使宣告约翰的出生

在希律统治犹太的时候,亚比雅分支 [a]有个祭司,名字叫撒迦利亚。撒迦利亚的妻子,叫伊利莎白,是亚伦家族的后代。 他们俩人在上帝的眼里都是正直的人,他们总是全心全意地执行着主的一切诫命和指示,从无过失。 但是他们没有孩子,因为伊利莎白不能生育,并且他们已经很老了。

当轮到撒迦利亚分支在主的殿堂里供职时,撒迦利亚在上帝面前担任祭司的职务, 按照祭司们遵循的规矩,以抽签的方式,他被选中去主的大殿烧香。 10 当撒迦利亚烧香的时候,所有的人都聚集在外面祈祷着。 11 这时,主的一个天使出现在撒迦利亚面前,伫立在香坛的右侧。 12 当撒迦利亚看见这个天使时,非常不安,恐惧极了, 13 天使却对他说∶“撒迦利亚,不要害怕,主听到了你的祈祷,所以你的妻子伊利莎白将给你生一个儿子,你要给他起名叫约翰, 14 他将给你们带来幸福和快乐。他出生时,将会有很多人欢喜, 15 因为他在主的眼里将是伟大的。他必须滴酒不沾,从他一出生,就充满了圣灵。

16 约翰将使众多的以色列人重归主—他们的上帝。 17 他将具有以利亚一样的灵和力量,他将走在主的面前,使父子和平相处,使叛逆者回到被人们认为是正确的道路上来,使人们为主的到来做好准备。”

18 撒迦利亚对天使说∶“我怎么知道你所说的话是真的呢?我和我的妻子都是上年纪的人了。” 19 天使回答说∶“我是侍立在上帝面前的天使加百列,受上帝的派遣来告诉你这个喜讯的, 20 但是,你要记住,因为你不相信我的话,你将变成哑巴,直到这一切发生的那天,你才能重新讲话。”

21 此时,人们都在外面等待着撒迦利亚,他们都不明白为什么撒迦利亚在大殿里面呆了这么久。 22 当撒迦利亚出来时,竟不能对人们讲话了,人们意识到他在大殿里看到了异象,既然撒迦利亚说不出话来,他只好向大家打手势示意。 23 等到在大殿里供职的日期一到,他便回家去了。

24 过了一段时间,他的妻子伊利莎白怀孕了。她隐居在家,五个月没出门,她说: 25 “主终于在这方面帮助了我,他对我的垂爱洗刷了我在众人面前的耻辱 [b]。”

天使宣告耶稣的降生

在伊利莎白怀孕的第六个月,上帝派天使加百列到加利利的一个叫拿撒勒的城镇去见一位处女。这个处女名叫马利亚,她与大卫家族的一个叫约瑟的男子订了婚。 28 加百列来到马利亚面前,向她问候说∶“祝贺你,蒙主恩宠的姑娘,主与你同在。”

29 但是,马利亚因为天使的话而感到惶恐不安,不明白这问候到底意味着什么。

30 天使又对他说∶“别害怕,马利亚,你受到了上帝的恩宠。 31 听着,你就要怀孕生子,你要给他取名叫耶稣。 32 他将是个伟大的人,他将被称为至高无上的上帝之子。主上帝将把他的祖先-大卫 [c]的宝座赐给他, 33 他将永远统治雅各的臣民,他的王国将永不终止。”

34 马利亚对天使说,“可是,怎么可能发生这样的事情呢?我还是个处女呢!”

35 天使回答道∶“圣灵就要降临到你的身上,至高无上的上帝的力量将庇荫着你,因此,那降生的圣婴将被称为上帝之子。 36 听着,你的亲戚伊利莎白虽然已到高龄,而且人们又都说她不能生育,可是,现在她已经怀孕六个月了。 37 上帝是无所不能的。”

38 马利亚说∶“我是主的仆人,愿你的话在我身上应验。”然后天使便离开了。

马利亚看望撒迦利亚和伊利莎白

39 马利亚起身,急匆匆去了山区,到了犹太地区的一座小镇。 40 她走进撒迦利亚的家,问候伊利莎白。 41 当伊利莎白听到马利亚的问候时,腹中的胎儿便动了起来,此时伊利莎白充满了圣灵。

42 她高声说道∶“你是所有女人中最受恩赐的人,那将要出生的孩子也是有福的。 43 可是,为什么我主的母亲前来探望我呢?为什么这样伟大的事情会发生在我的身上呢? 44 我刚才一听到你的问候,我腹中的胎儿就动了起来。 45 你是有福的,因为你相信主对你说的事情会发生。”

马利亚赞美上帝

46 这时,马利亚说:

47 “我的灵赞美我主,
我的心因为上帝—我的救世主而喜悦,
48 因为他对他卑微的仆人表示了关怀,
从今以后,所有的人都将说我受到了祝福,
49 因为强大的主成全了我的大事。
他的名字是神圣的。
50 他将赐怜悯给世世代代敬畏他的人们,
51 他显示了他臂膀的力量,
他驱逐了自以为了不起的骄傲之人;
52 他把君王们拉下了宝座,
他扶起了卑微的人;
53 他让挨饿的人饱餐美食,
他使富足的人们两手空空地离去。
54 他来扶助他的仆人以色列,
55 他信守对我们的祖先许下的诺言,
不忘施怜悯于亚伯拉罕和他的子孙,直到永远。”

56 马利亚在伊利莎白那里住了三个月左右,然后回家去了。

约翰的出生

57 伊利莎白的产期到了,她生下一个男孩。 58 当她的亲友和邻居们听说主赐给了她这么大的怜悯时,都来分享她的欢乐。

59 孩子出生的第八天,他们就给婴儿行了割礼,并要随他父亲的名字给他取名叫撒迦利亚, 60 但是,他的母亲却说∶“不,要叫他约翰。”

61 亲友们对她说∶“你的亲戚里面没有一个人叫这个名字的。” 62 然后,他们又向孩子的父亲打手势,问他想给孩子取个什么名字。

63 撒迦利亚要来一块写字板,在上面写道∶“他的名字叫约翰。”人们看后十分惊讶, 64 就在这时,撒迦利亚的嘴张开了,舌头也舒展了,他开口讲话,并开始赞美上帝。 65 邻居们却充满敬畏,整个犹太地区的人们都对此事议论纷纷。 66 所有听到这件事情的人都禁不住猜想∶“这个孩子将来会成为什么样的人呢?”因为,显然主的力量与他同在。

撒迦利亚赞美上帝

67 此时,孩子的父亲撒迦利亚被圣灵充满,他预言说:

68 “赞美归于主,以色列的上帝!
因为他来帮助他的子民,赐给他们自由;
69 主从他的仆人大卫家里,为我们选派了强有力的拯救者。
70 按照他借生活在很久以前神圣的先知之口做出的许诺,
71 把我们从敌人和仇视我们的人的手中拯救出来,
72 并对我们的祖先施以怜悯,牢记他的圣约,
73 那是他对我们的祖先,亚伯拉罕发的誓言:
74 让我们脱离敌人之手,使我们坦然无惧地侍奉他;
75 并使我们在他面前终身神圣和正义。
76 那么,你,我的孩子,将被称为至尊上帝的先知,
因为你将走在主的前面,
为他准备道路;
77 让他们知道他们通过宽恕而得救,
他们将因此得救,
78 由于我们的上帝的仁慈,
79 新的一天将从天堂降临到我们身上,
普照生活在死亡的阴影里的人们;
并引导我们的步伐走向和平的道路。”

80 就这样,孩子渐渐地成长着,身体和心灵越来越强壮。在向以色列人公开传道前,他一直居住在人烟稀少的地方。

Footnotes

  1. 路 加 福 音 1:5 阿比雅分支: 犹太祭司分为40个分支。见《历代志上》24。
  2. 路 加 福 音 1:25 耻辱: 犹太人当时认为女人不生育是一件可耻的事情。
  3. 路 加 福 音 1:32 大卫: 在耶稣之前一千年的以色列王。