腓立比书 3
Chinese New Version (Simplified)
以认识基督为至宝
3 最后,我的弟兄们,你们要靠着主喜乐。我写这些话给你们,在我并不困难,对你们却是妥当的。
2 你们要提防那些“狗”,提防作恶的,提防行割礼的。 3 其实我们这些靠 神的灵来敬拜,在基督耶稣里夸口而不倚靠肉体的人,才是受割礼的, 4 虽然我有理由可以倚靠肉体。如果别人认为可以倚靠肉体,我就更加可以了; 5 我第八天受割礼,属于以色列民族便雅悯支派,是希伯来人所生的希伯来人。按着律法来说,我是个法利赛人; 6 按着热诚来说,我是迫害教会的;按着律法上的义来说,我是无可指摘的。 7 然而以前对我有益的,现在因着基督的缘故,我都当作是有损的。 8 不但这样,我也把万事当作是有损的,因为我以认识我主基督耶稣为至宝。为了他,我把万事都拋弃了,看作废物,为了要得着基督。 9 并且得以在他里面,不是有自己因律法而得的义,而是有因信基督而得的义,就是基于信心,从 神而来的义, 10 使我认识基督和他复活的大能,并且在他所受的苦上有分,受他所受的死; 11 这样,我也许可以从死人中复活。
向着目标竭力追求
12 这并不是说我已经得着了,已经完全了,而是竭力追求,好使我可以得着基督耶稣所以得着我的(“所以得着我的”或译:“要我得着的”)。 13 弟兄们,我不以为自己已经得着了,我只有一件事,就是忘记背后,努力前面的事, 14 向着目标竭力追求,为要得着 神在基督耶稣里召我往上去得的奖赏。 15 所以,我们中间凡是成熟的人,都应当这样思想。即使你们不是这样思想, 神也会把这事指示你们。 16 不过,我们到了甚么程度,就要照着甚么程度去行。
切望救主再临
17 弟兄们,你们要一同效法我,也要留意那些照着我们给你们的榜样而行的人。 18 我常常告诉你们,现在又流着泪说,有许多人行事为人,是基督十字架的仇敌, 19 他们的结局是灭亡,他们的神是自己的肚腹,他们以自己的羞辱为荣耀,所思想的都是地上的事。 20 但我们是天上的公民,切望救主,就是主耶稣基督,从天上降临; 21 他要运用那使万有归服自己的大能,改变我们这卑贱的身体,和他荣耀的身体相似。
Wafilipi 3
Neno: Bibilia Takatifu
Njia Ya Kweli Ya Wokovu
3 Hatimaye ndugu zangu, furahini katika Bwana. Mimi sichoki kuwaandikieni mambo yale yale niliyokwisha waandikia kwa maana najua kwamba yatakuwa ni kinga kwenu. 2 Jihadharini na watenda maovu, hao mbwa, na wale wanaokaza mafundisho ya kutahiriwa. 3 Sisi tumepokea tohara ya kweli, kwa maana tunamwabudu Mungu katika Roho. Sisi tunaona fahari kwa ajili ya maisha yetu ndani ya Kristo Yesu. Hatuweki matumaini yetu katika mambo ya mwili, 4 ijapokuwa mimi mwenyewe ninazo sababu za kuweka matumaini katika mambo hayo. Kama mtu mwingine ye yote anadhani kuwa anazo sababu za kuweka matumaini yake katika mambo ya mwili, basi mimi ninazo sababu zaidi. 5 Nilitahiriwa siku ya nane, mimi ni Mwis raeli wa kabila la Benjamini; Mwebrania halisi. Kuhusu mambo ya kushika sheria, mimi nilikuwa Mfarisayo; 6 na kwa upande wa juhudi, mimi nilikuwa na bidii katika kutesa kanisa; na kuhusu haki ipatikanayo kwa kutii sheria, mimi nilikuwa sina hatia.
7 Lakini mambo hayo niliyoyaona mwanzo kuwa ni faida kwangu, sasa nayaona kuwa ni hasara kwa ajili ya Kristo. 8 Zaidi ya hayo, nahesabu mambo yote kuwa hasara tupu yakilinganishwa na faida kubwa ninayopata kwa kumjua Kristo Yesu aliye Bwana wangu. Kwa ajili yake nilikubali kupoteza kila kitu na kuona mambo hayo yote kuwa ni takataka ili nipate faida ya kuwa na Kristo; 9 na nikiwa kwake nisionekane kama mtu mwenye haki yake mwenyewe, inayotokana na kushika sheria, bali niwe na ile haki inayotokana na kumwamini Kristo, ambaye yeye ni haki itokayo kwa Mungu inayopatikana kwa imani. 10 Nataka nimjue Kristo na nguvu ya ufufuo wake na nishi riki mateso yake, niwe kama yeye katika kifo chake; 11 na hivyo, kama ikiwezekana, niufikie ufufuo kutoka kwa wafu.
12 Sisemi kwamba nimekwisha kupokea haya yote, au kwamba nimekwisha kuwa mkamilifu, la hasha; bali nazidi kukaza mwendo ili nipate kile ambacho, kwa ajili yake, Kristo amenifanya niwe wake. 13 Ndugu zangu, bado sijihesabu kuwa nimekwisha pata ile zawadi. Lakini jambo moja ninalofanya ni kusahau mambo yote yali yopita, na kukaza mwendo kufikia yaliyo mbele yangu. 14 Nakaza na nifikie ushindi, ili nipate zawadi ambayo Mungu ameniitia mbinguni, nikiwa ndani ya Kristo Yesu.
15 Sisi tuliokomaa kiroho tuwe na msimamo kama huu. Lakini kama kuna mawazo tofauti kuhusu jambo lo lote, Mungu atawafunu lia. 16 Ila tushike sana yale tuliyokwisha kupokea.
17 Ndugu zangu, nawasihi mfuate mfano wangu, na muwatazame wale wanaofuata mfano tuliowapa. 18 Kwa maana, kama nilivyok wisha waambia kabla, na sasa nasema tena kwa machozi, wako watu wengi miongoni mwenu ambao maisha yao yanaonyesha kuwa wao ni adui wa msalaba wa Kristo. 19 Mwisho wa watu hao ni kuangamia, na Mungu wao ni tumbo; kwa sababu wao huyaonea fahari mambo ya aibu na mawazo yao yametawaliwa na mambo ya dunia. 20 Lakini uraia wetu uko mbinguni. Nasi tunangoja kwa hamu Mwokozi kutoka huko, yaani Bwana wetu Yesu Kristo, 21 ambaye, kwa uwezo unaomwezesha kutawala kila kitu, atabadilisha miili yetu midhaifu ili iwe na utukufu kama alionao yeye.
Chinese New Version (CNV). Copyright © 1976, 1992, 1999, 2001, 2005 by Worldwide Bible Society.
Copyright © 1989 by Biblica