身为上帝的同工,我们劝你们不要辜负祂的恩典。 因为祂说:

“在悦纳的时候,
我应允了你;
在拯救的日子,
我帮助了你。”

看啊,现在正是悦纳的时候!看啊,现在正是拯救的日子!

上帝仆人的品格

为了避免有人毁谤我们的职分,我们凡事尽量不妨碍别人, 反倒在任何事上都显明自己是上帝的仆人。不论遭遇什么患难、艰苦、贫穷、 鞭打、囚禁、暴乱、辛劳、无眠或饥饿,我们都坚忍到底, 靠着纯洁、知识、忍耐、仁慈、圣灵的感动、无伪的爱心、 真理之道、上帝的大能、左右手中的公义兵器, 无论是得荣耀还是受羞辱,遭毁谤还是得称赞,都显明自己是上帝的仆人。我们被视为骗子,却是诚实无伪; 似乎默默无闻,却是家喻户晓;似乎快死了,看啊!我们却仍然活着;受严刑拷打,却没有丧命; 10 似乎郁郁寡欢,却常常喜乐;似乎一贫如洗,却使多人富足;似乎一无所有,却样样都有!

11 哥林多人啊!我们对你们推心置腹,开诚布公, 12 毫无保留,只是你们自己心胸太窄。 13 现在请你们也向我们敞开心怀。我这样说,是把你们当成自己的儿女。

永活上帝的殿

14 不要和非信徒同负一轭,因为公义和不法怎能合作呢?光明和黑暗怎能共存呢? 15 基督与魔鬼[a]怎能相容呢?信徒与非信徒有什么相干呢? 16 上帝的殿与偶像怎能相提并论呢?因为我们就是永活上帝的殿,正如上帝说:

“我要住在他们中间,
在他们当中往来;
我要做他们的上帝,
他们要做我的子民。”

17 又说:

“所以,你们要从他们中间出来,
离开他们,不要沾染污秽之物,
我就接纳你们。
18 我要做你们的父亲,
你们要做我的儿女。
这是全能的主说的。”

Footnotes

  1. 6:15 魔鬼”希腊文是“彼列”。

Kama wafanyakazi pamoja na Mungu, tunawasihi msipokee neema ya Mungu bure . Kwa maana Mungu anasema: “Wakati ufaao niliku sikiliza, na siku ya wokovu nilikusaidia. Tazameni, huu ndio wakati ufaao; leo ndio siku ya wokovu.”

Matatizo Ya Paulo

Hatutaki kumwekea mtu ye yote kikwazo ili huduma yetu isionekane kuwa na kasoro. Badala yake, kwa kila njia tunaon yesha ya kuwa sisi ni watumishi wa Mungu kwa kuvumilia: katika taabu, katika misiba, katika shida katika kupigwa, kufungwa gerezani na katika fujo; katika kazi ngumu, kukosa usingizi usiku na katika njaa; katika usafi wa moyo, katika ufahamu, subira na wema; katika Roho Mtakatifu na upendo wa kweli; katika maneno ya kweli na katika uwezo wa Mungu; kwa silaha za haki mkono wa kulia na mkono wa kushoto; katika utukufu na katika aibu, katika sifa na katika lawama; tukiwa wa kweli lakini tukionekana kuwa walaghai; tukiwa maarufu lakini tukihesabiwa kama tusioju likana; tukiwa kama wanaokufa lakini tunaishi; tukiadhibiwa lakini hatuuawi; 10 tukiwa wenye huzuni lakini siku zote tukish angilia; tukionekana maskini lakini tukiwafanya wengi kuwa mata jiri; tukiwa kama wasio na kitu lakini tukiwa na vitu vyote.

11 Tumesema wazi nanyi, ninyi ndugu wa Korintho, na kuweka mioyo yetu wazi kabisa kwenu. 12 Sisi hatujizuii kuwapenda, bali ninyi mmeuzuia upendo wenu usitufikie . 13 Na sasa nasema kama na watoto wangu: ninyi pia fungueni mioyo yenu kabisa kwetu.

Msiambatane Na Wasioamini

14 Msiambatane pamoja na watu wasioamini. Kwa maana kuna uhusiano gani kati ya haki na uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na giza? 15 Kuna kuelewana gani kati ya Kristo na shetani? Mwamini ana uhusiano gani na asiyeamini? 16 Kuna uelewano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi ni hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu alivyosema, “Nitaishi ndani yao na kutembea kati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 17 Kwa hiyo, tokeni kati yao, mkajitenge nao, asema Bwana. Msiguse cho chote kisicho safi; ndipo nitawakaribisha kwangu. 18 Nami nitakuwa baba kwenu, nanyi mtakuwa vijana wangu na binti zangu, asema Bwana Mwenyezi.”