Add parallel Print Page Options

Иисус Христос – образец за живот

И тъй, ако имате насърчение чрез Христос, утеха от любовта, общение с Духа, ако имате милосърдие и състрадание – (A)направете радостта ми пълна: имайте едни мисли, една и съща любов, бъдете единодушни и единомислени. (B)Не правете нищо от съперничество или от тщеславие, но нека всеки смирено да смята другия за по-горен от себе си. Не се грижете всеки само за себе си, но и за другите.

Вие трябва да имате същите мисли, каквито е имал Иисус Христос.

(C)Той, Който беше Бог по природа[a], не се възползва от равенството си с Бога, (D)но унизи Себе Си, като стана служител и се уподоби на човек. А когато се яви като човек, Той смири Себе Си и стана послушен дори до смърт – до смъртта на кръста. (E)Затова Бог Го извиси и Му даде име, което е над всяко име, 10 (F)тъй че в името на Иисус да преклони колене всичко, което е на небето, на земята и под земята, 11 и всяка уста да изповяда за слава на Бог Отец: „Иисус Христос е Господ.“

Усърдие в доброто

12 Затова, възлюбени мои, както винаги сте послушни – не само в мое присъствие, но много повече сега, когато отсъствам, – постигайте спасението си със страх и трепет, 13 защото Бог е, Който подтиква и да искате, и да действате според благата Му воля. 14 Всичко вършете без ропот и съмнение, 15 (G)за да бъдете безукорни и чисти, непорочни Божии деца посред опак и развратен род, посред който сияете като светила във вселената, 16 (H)отстоявайки словото на живота за моя похвала в Христовия ден, че не съм тичал напразно и не съм се трудил напразно, 17 (I)но макар да се принасям като жертвено възлияние в служба на вярата ви, аз се радвам и споделям радостта на всички вас. 18 Така също и вие се радвайте и споделяйте моята радост.

Тимотей и Епафродит – апостолски сътрудници

19 Изразявам надежда чрез Господ Иисус скоро да изпратя при вас Тимотей, тъй че, като узная как сте, да се утеша духом. 20 Защото нямам никой друг, който като мене[b] така искрено да се грижи за вас, 21 (J)докато всички търсят своето, а не онова, което е на Иисус Христос. 22 А неговата изпитана вярност вие знаете – както син с баща си, така и той заедно с мене служи на благовестието. 23 И тъй, надявам се да го изпратя веднага, щом узная какво ще стане с мене, 24 (K)а съм убеден чрез Господ, че и сам скоро ще дойда при вас.

25 Намерих обаче за нужно да изпратя при вас брат Епафродит, мой сътрудник и съратник, изпратен от вас, за да ми помага в моите нужди. 26 Той копнееше за всички ви и дълбоко скърбеше, че бяхте чули за неговото заболяване. 27 Да, той беше смъртно болен, но Бог му оказа милост, и то не само на него, но и на мене, за да не ми се трупа скръб върху скръб. 28 Затова го изпратих по-скоро, та като го видите пак, да се зарадвате и аз да бъда по-малко наскърбен. 29 И така, приемете го в името на Господа с пълна радост и към такива братя се отнасяйте с почит, 30 понеже за Христовото дело той изложи на опасност живота си дори до смърт, за да ви замести в служението поради вашето отсъствие.

Footnotes

  1. 2:6 Букв. Божий в образ.
  2. 2:20 Букв. по дух.

Iweni katika Umoja na Msaidiane

Fikirini kuhusu kile ambacho tulichonacho kwa sababu tunamilikiwa na Kristo: hamasa aliyotuletea, faraja ya upendo wake, ushirika katika Roho wake, huruma na wema aliotuonyesha. Ikiwa mnazifurahia baraka hizi, basi fanyeni yale yatakayoikamilisha furaha yangu: iweni na nia moja na mpendane ninyi kwa ninyi. Iweni na umoja katika malengo yenu na katika kufikiri kwenu. Msiruhusu ubinafsi au kiburi viwe dira yenu. Badala yake muwe wanyenyekevu mkiwathamini wengine kuliko ninyi wenyewe. Kila mmoja wenu asijishugulishe kwa mema yake yeye mwenyewe bali kwa mema ya wengine.

Hivi ndivyo mnapaswa kufikiri, kuhisi na kutenda katika maisha yenu kwa pamoja, kama vile Kristo Yesu alivyofikiri:

Alikuwa sawa na Mungu katika namna zote,
    lakini hakufikiri kwamba kuwa sawa na Mungu
    kilikuwa kitu cha manufaa kwake.
Badala yake, aliacha kila kitu,
    hata sehemu yake pamoja na Mungu.
Akakubali kuwa kama mtumwa,
    akiwa katika umbo la binadamu.
Wakati wa maisha yake kama mtu,
    Alijinyenyekeza na akawa mtiifu kabisa kwa Mungu,
    hata jambo hilo liliposababisha kifo chake msalabani.
Hivyo ndiyo sababu Mungu alimpa mahali pa heshima sana,
    na akampa jina lililo kuu kuliko majina yote.
10 Hivyo kila mtu atasujudu kumheshimu Yesu.
    Kila mmoja aliye mbinguni, duniani na wale walio chini ya dunia.
11 Wote watakiri kwamba, “Yesu Kristo ni Bwana,”
    na hili litamtukuza Mungu Baba.

Iweni Kama Mungu Anavyotaka

12 Rafiki zangu wapendwa, daima mnatii yale mliyofundishwa. Kama mlivyotii nilipokuwa pamoja nanyi, ni muhimu zaidi na zaidi kwamba mtii wakati huu ambapo sipo pamoja nanyi. Hivyo ni lazima mwendelee kuishi katika namna inayoleta maana kwa wokovu wenu. Fanyeni hivi kwa wingi wa heshima na utii kwa Mungu. 13 Ndiyo, Mungu ndiye anayetenda kazi ndani na miongoni mwenu. Anawasaidia ninyi kutaka kutenda yanayomfurahisha, naye anawapa nguvu ya kuyatenda.

14 Fanyeni mambo yote pasipo kulalamika wala kubishana. 15 Nanyi mtakuwa watoto wa Mungu wasiolaumiwa na wasio na hatia. Ijapokuwa mnaishi mkiwa mmezungukwa na watu wasio waaminifu wasiojali thamani haki. Katikati ya watu hao mnang'ara kama mianga katika ulimwengu wenye giza, 16 nanyi mnawapa mafundisho yanayotoa uhai. Hivyo nitaona fahari juu yenu wakati Kristo atakapokuja tena. Ninyi ndiyo mtakaothibitisha kuwa kazi niliyoifanya haikukosa matokeo, ya kwamba nilishindana mbio na nikashinda.

17 Imani yenu inayatoa maisha yenu kama sadaka katika kumtumikia Mungu. Hata kama ni kweli kwamba sasa ninajimimina mimi mwenyewe kama sadaka ya kinywaji pamoja na sadaka yenu, ninayo furaha, na nitawashirikisha ninyi nyote furaha yangu. 18 Ninyi pia mnapaswa kufurahi na kunishirikisha furaha yenu.

Habari Kuhusu Timotheo na Epafrodito

19 Kwa baraka za Bwana Yesu, ninategemea kuwa nitamtuma Timotheo kwenu hivi karibuni. Naye atarejesha kwangu taarifa kuhusu ninyi ili nifurahi. 20 Sina mtu mwingine yeyote kama Timotheo, ambaye kwa dhati kabisa anayajali mambo yanayowahusu. 21 Wengine wote wanajishughulisha na maisha yao wenyewe. Hawajali kazi ya Yesu Kristo. 22 Mnafahamu Timotheo amejithibitisha kuwa ni mtu wa aina gani. Ametumika pamoja nami katika kuhubiri Habari Njema kwa njia ambavyo mwana angemtumikia baba yake. 23 Ninategemea kumtuma aje kwenu haraka baada ya kujua yatakayonipata. 24 Bwana hunifanya niwe jasiri ili niweze pia kuja kwenu haraka.

25 Kwa sasa, nadhani ni lazima nimrudishe Epafrodito kwenu. Ni mtumishi na mtenda kazi pamoja nami na askari mwenzangu katika jeshi la Bwana. Nilipotaka msaada, mlimtuma kwangu. Kama mjumbe wenu, alinihudumia mahitaji yangu. 26 Lakini sasa anataka kuwaona ninyi nyote tena. Ana wasiwasi sana kwa sababu mlisikia kuwa alikuwa mgonjwa. 27 Alikuwa mgonjwa karibu ya kufa. Lakini Mungu alimsaidia yeye na mimi ili nisiwe na huzuni zaidi. 28 Hivyo ninataka sana kumtuma kwenu. Ili mtakapomwona, mfurahi. Nami nitaacha kuwa na wasiwasi juu yenu. 29 Mkaribisheni kwa furaha nyingi katika Bwana. Waheshimuni watu kama Epafrodito. 30 Anapaswa kuheshimiwa kwa sababu alikaribia kufa akifanya kazi kwa ajili ya Kristo. Aliyaweka maisha yake katika hatari ili aweze kunisaidia. Ni msaada ambao msingeweza kunisaidia.