Font Size
Ufunua wa Yohana 20:6
Neno: Bibilia Takatifu
Ufunua wa Yohana 20:6
Neno: Bibilia Takatifu
6 Wamebarikiwa na ni watakatifu wale watakaoshiriki huo ufufuo wa kwanza. Mauti ya pili haina nguvu kwa hawa bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala naye kwa muda wa miaka elfu moja.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica