Font Size
Matayo 23:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 23:17-19
Neno: Bibilia Takatifu
17 Ninyi vipofu wajinga! Ni kipi kilicho bora zaidi, ni ile dhahabu au ni Hekalu ambalo ndilo linafanya dhahabu hiyo kuwa takatifu? 18 Pia mnasema, ‘Mtu akiapa kwa madhabahu, si kitu, lakini mtu akiapa kwa sadaka iliyoko madhabahuni itambidi atimize kiapo hicho.’ 19 Ninyi vipofu! Ni kipi bora zaidi, sadaka, au madhabahu ambayo ndio inafanya sadaka hiyo kuwa takatifu?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica