Font Size
Yohana 9:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 9:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Kukiwa bado ni mchana, tunapaswa kuendelea kuzifanya kazi zake Yeye aliyenituma. Usiku unakuja, na hakuna mtu atakayeweza kufanya kazi wakati wa usiku. 5 Nikiwa bado nipo ulimwenguni, mimi ndiye nuru ya ulimwengu.”
6 Yesu aliposema haya, akatema mate chini kwenye udongo, akatengeneza tope na kumpaka yule asiyeona katika macho yake.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International