Font Size
Yohana 4:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 4:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
33 Basi wanafunzi wakaanza kuulizana, “Kuna mtu ambaye amemletea chakula?” 34 Lakini Yesu akawajibu, “Chakula changu ni kufanya mapenzi ya Mungu ambaye amenituma, na kuikamilisha kazi yake. 35 Si mnao msemo kwamba, ‘Bado miezi minne tutavuna’? Hebu yaangalieni mashamba, jinsi mazao yalivyoiva tayari kuvunwa!
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica