Font Size
Yohana 4:32-34
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 4:32-34
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
32 Lakini Yesu akawajibu, “Mimi ninacho chakula ambacho ninyi hamkijui.”
33 Hapo wafuasi wake wakaulizana, “Kwani kuna mtu yeyote hapa aliyemletea chakula mapema?”
34 Yesu akasema, “Chakula changu ni kuimaliza kazi ile ambayo aliyenituma amenipa niifanye.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International