Font Size
Yohana 4:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
Yohana 4:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
29 “Njooni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote nili yowahi kufanya! Je, yawezekana huyu ndiye Masihi?”
30 Basi wakamiminika watu kutoka mjini wakamwendea Yesu.
31 Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wakimsihi, “Rabi, kula angalau cho chote.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica