Font Size
Yohana 4:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 4:28-30
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
28 Yule mwanamke akauacha mtungi wake wa maji na kurudi mjini. Akawaambia watu kule, 29 “Mwanaume mmoja amenieleza mambo yote niliyowahi kuyafanya. Njooni mkamwone. Inawezekana yeye ndiye Masihi.” 30 Hivyo wale watu wakatoka mjini wakaenda kumwona Yesu!
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International