Add parallel Print Page Options

24 Mungu ni roho. Hivyo wote wanaomwabudu wanapaswa kumwabudu katika roho na kweli.”

25 Mwanamke akasema, “Naelewa kwamba Masihi anakuja.” (Ndiye anayeitwa Kristo.)

“Atakapokuja, atatufafanulia kila kitu.”

26 Kisha Yesu akasema, “Mimi ninayezungumza nawe sasa, ndiye Masihi.”

Read full chapter