Font Size
Yohana 4:24-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 4:24-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
24 Mungu ni roho. Hivyo wote wanaomwabudu wanapaswa kumwabudu katika roho na kweli.”
25 Mwanamke akasema, “Naelewa kwamba Masihi anakuja.” (Ndiye anayeitwa Kristo.)
“Atakapokuja, atatufafanulia kila kitu.”
26 Kisha Yesu akasema, “Mimi ninayezungumza nawe sasa, ndiye Masihi.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International