Font Size
Warumi 8:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 8:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
30 Na wale ambao Mungu aliwateua tangu awali pia ali waita; na wale aliowaita pia aliwahesabia haki; na wale aliowahesabia haki aliwapa utukufu wake.
Upendo Wa Mungu
31 Tuseme nini basi kuhusu haya yote? Ikiwa Mungu yuko upande wetu ni nani atakayetupinga? 32 Ikiwa Mungu hakumwacha Mwanae bali alimtoa kwa ajili yetu sote, hatatupatia pamoja na Mwanae, vitu vyote?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica