Font Size
Warumi 7:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
Warumi 7:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
Mkristo Hafungwi Na Sheria
7 Ndugu zangu, kwa kuwa sasa ninasema na wale wanaoifahamu sheria, bila shaka mnaelewa kwamba mtu akifa hafungwi tena na sheria. 2 Kwa mfano, mwanamke aliyeolewa hufungwa kisheria kwa mumewe wakati wote mumewe akiwa hai. Lakini mumewe akifa mwanamke huyo hafungwi tena na sheria ya ndoa.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica