Font Size
Waebrania 9:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Waebrania 9:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 akasema, “Hii ndio damu ya agano ambalo Mungu amewaamuru kulitii.” 21 Vivyo hivyo akanyunyizia damu hiyo kwe nye lile hema na vifaa vyote vilivyotumika kwa ibada. 22 Hakika katika sheria, karibu kila kitu hutakaswa kwa damu; na pasipo kumwaga damu, hakuna msamaha wa dhambi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica