Add parallel Print Page Options

Yesu Afundisha na Kuponya Watu

(Lk 6:17-19)

23 Yesu alikwenda sehemu zote za Galilaya, akifundisha na akihubiri Habari Njema katika masinagogi kuhusu Ufalme wa Mungu. Aliponya magonjwa yote na madhaifu mengi ya watu. 24 Habari kuhusu Yesu zilienea katika nchi yote ya Shamu, na watu waliwaleta wale wote wenye kuteswa na magonjwa na maumivu mbalimbali. Baadhi yao walikuwa na mashetani, wengine walikuwa na kifafa na wengine walikuwa wamepooza. Yesu akawaponya wote. 25 Makundi makubwa ya watu walimfuata; watu kutoka Galilaya, na jimbo lililoitwa Miji Kumi,[a] Yerusalemu, Yuda na maeneo ng'ambo ya Mto Yordani.

Read full chapter

Footnotes

  1. 4:25 Miji Kumi Jimbo hili lilikuwa mashariki ya Ziwa la Galilaya na wakazi wake hawakuwa Wayahudi. Miji Kumi imejulikana pia kama Dekapoli.

Jesus Heals the Sick

23 Jesus went throughout Galilee,(A) teaching in their synagogues,(B) proclaiming the good news(C) of the kingdom,(D) and healing every disease and sickness among the people.(E) 24 News about him spread all over Syria,(F) and people brought to him all who were ill with various diseases, those suffering severe pain, the demon-possessed,(G) those having seizures,(H) and the paralyzed;(I) and he healed them. 25 Large crowds from Galilee, the Decapolis,[a] Jerusalem, Judea and the region across the Jordan followed him.(J)

Read full chapter

Footnotes

  1. Matthew 4:25 That is, the Ten Cities