Font Size
Mathayo 20:17-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 20:17-19
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Azungumza Tena Kuhusu Kifo Chake
(Mk 10:32-34; Lk 18:31-34)
17 Yesu alikuwa anakwenda Yerusalemu akiwa na wafuasi wake kumi na wawili. Walipokuwa wakitembea, aliwakusanya pamoja wafuasi hao na kuzungumza nao kwa faragha. Akawaambia, 18 “Tunakwenda Yerusalemu. Mwana wa Adamu atatolewa kwa viongozi wa makuhani na walimu wa sheria, nao watasema ni lazima auawe. 19 Watamkabidhi wa wageni, watakaomcheka na kumpiga kwa mijeledi, kisha watamwua kwenye msalaba. Lakini siku ya tatu baada ya kifo chake, atafufuliwa kutoka kwa wafu.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International