Font Size
Mathayo 7:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 7:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
10 Au akimwomba samaki, atampa nyoka? Bila shaka hakuna! 11 Ijapokuwa ninyi watu ni waovu, lakini bado mnajua kuwapa vitu vyema watoto wenu. Hakika Baba yenu wa mbinguni atawapa vitu vyema wale wamwombao.
Kanuni ya Muhimu Sana
12 Watendee wengine kama ambavyo wewe ungetaka wao wakutendee. Hii ndiyo tafsiri ya torati[a] na mafundisho ya manabii.
Read full chapterFootnotes
- 7:12 torati Au “Sheria ya Musa”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International