Font Size
Mathayo 6:25-27
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 6:25-27
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Utangulizeni Kwanza Ufalme wa Mungu
(Lk 12:22-34)
25 Kwa hiyo ninawaambia, msiyahangaikie mahitaji ya mwili; mtakula nini, mtakunywa nini au mtavaa nini. Uhai ni zaidi ya chakula na mavazi. 26 Waangalieni ndege wa angani. Hawapandi, hawavuni wala kutunza chakula ghalani, lakini Baba yenu wa mbinguni huwalisha. Je, hamjui kuwa ninyi mna thamani zaidi ya ndege? 27 Hamwezi kujiongezea muda wa kuishi kwa kujisumbua.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International