Font Size
Matendo Ya Mitume 8:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 8:34-36
Neno: Bibilia Takatifu
34 Yule towashi akam wuliza Filipo, “Tafadhali niambie, Isaya alikuwa akisema haya juu yake mwenyewe au juu ya mtu mwingine?” 35 Ndipo Filipo akaanza kusema naye, akitumia Maandiko haya akamweleza Habari Njema za Yesu. 36 Walipokuwa wakiendelea na safari wakafika mahali palipokuwa na maji, na yule towashi akamwambia Filipo, “ Tazama, hapa kuna maji! Kuna kitu gani cha kunizuia mimi nisiba tizwe? [
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica