Font Size
Matendo Ya Mitume 24:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 24:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 La sivyo, watu hawa waseme ni kosa gani walilogundua nimefanya niliposhtakiwa mbele ya Baraza, 21 isipo kuwa lile jambo nililotangaza wazi wazi nilipojitetea mbele yao, kwamba, ‘Mimi nimeshtakiwa mbele yenu leo kuhusu ufufuo wa wafu.’
22 Ndipo Feliksi ambaye alikuwa anafahamu vizuri habari za Njia, akaamua kuahirishwa kwa kesi, akasema, “Mara jemadari Lisia atakapofika nitatoa hukumu yangu juu ya kesi hii.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica