Font Size
Matendo Ya Mitume 16:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 16:1-2
Neno: Bibilia Takatifu
Paulo Amchagua Timotheo
16 Paulo alisafiri mpaka Derbe na Listra ambako mwanafunzi mmoja aitwaye Timotheo aliishi. Mama yake Timotheo alikuwa Myahudi naye alikuwa mwamini; baba yake alikuwa Mgiriki. 2 Timotheo alikuwa mtu mwenye sifa nzuri kwa ndugu wote wa huko Listra na Ikonio.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica