Font Size
Marko 1:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 1:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Amponya Mama Mkwe Wa Simoni
29 Yesu na wanafunzi wake walipoondoka katika sinagogi, walikwenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea. Wanafunzi wengine waliokuwepo ni Yakobo na Yohana. 30 Mama mkwe wake Simoni alikuwa kitandani, ana homa. Na mara Yesu alipofika wakamweleza. 31 Yesu akaenda karibu na kitanda, akamshika yule mama mkono, akamwinua; homa ikamtoka, akawahudumia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica