Font Size
Marko 15:1
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 15:1
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Gavana Pilato Amhoji Yesu
(Mt 27:1-2,11-14; Lk 23:1-5; Yh 18:28-38)
15 Asubuhi na mapema, Mara tu ilipofika asubuhi viongozi wa makuhani, viongozi wazee wa Kiyahudi, walimu wa sheria, na baraza kuu lote la Wayahudi liliamua jambo la kufanya kwa Yesu. Walimfunga Yesu, wakamwondoa pale, na wakamkabidhi kwa Pilato.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International