Font Size
Luka 8:9-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Luka 8:9-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
9 Wafuasi wake wakamwuliza, “Fumbo hili linamaanisha nini?”
10 Akasema, “Mmechaguliwa kujua kweli za siri kuhusu ufalme wa Mungu. Lakini ninatumia mafumbo kuzungungumza na watu wengine. Ninafanya hivi ili,
‘Watazame,
lakini wasiweze kuona.
Wasikia,
lakini wasielewe.’(A)
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International