Font Size
Yohana 5:26-27
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana 5:26-27
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
26 Uzima huja kutoka kwa Baba mwenyewe. Na pia Baba amemruhusu Mwana kutoa uzima. 27 Na Baba amempa Mwana mamlaka ya kuwahukumu watu wote kwa sababu yeye ndiye Mwana wa Adamu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International