Font Size
2 Wakorintho 6:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wakorintho 6:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
13 Na sasa nasema kama na watoto wangu: ninyi pia fungueni mioyo yenu kabisa kwetu.
Msiambatane Na Wasioamini
14 Msiambatane pamoja na watu wasioamini. Kwa maana kuna uhusiano gani kati ya haki na uovu? Au kuna ushirika gani kati ya nuru na giza? 15 Kuna kuelewana gani kati ya Kristo na shetani? Mwamini ana uhusiano gani na asiyeamini?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica