Font Size
2 Wakorintho 6:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
2 Wakorintho 6:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 tukiwa wenye huzuni lakini siku zote tukish angilia; tukionekana maskini lakini tukiwafanya wengi kuwa mata jiri; tukiwa kama wasio na kitu lakini tukiwa na vitu vyote.
11 Tumesema wazi nanyi, ninyi ndugu wa Korintho, na kuweka mioyo yetu wazi kabisa kwenu. 12 Sisi hatujizuii kuwapenda, bali ninyi mmeuzuia upendo wenu usitufikie .
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica