2 Timotheo 2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Askari Mwaminifu wa Kristo Yesu
2 Kwako wewe mwanangu, uwe hodari kwa njia ya neema inayopatikana kwa Kristo Yesu. 2 Yachukue mambo uliyoyasikia kwangu mbele za mashahidi wengi, na yakabidhi kwa watu waaminifu ambao watakuwa na uwezo wa kuwafundisha wengine pia. 3 Kama askari mwaminifu wa Kristo Yesu, jiunge nami katika mateso. 4 Hakuna hata mmoja anayefanya kazi kama askari kisha akajishughulisha pia na mambo ya kiraia. Hii ni wa sababu anataka kumfurahisha kamanda wake. 5 Na kama kuna mtu anayeshiriki katika mashindano ya riadha, hawezi kushinda taji endapo hatashindana kwa kufuata sheria. 6 Mkulima mwenye juhudi anastahili kuwa wa kwanza kufurahia sehemu ya mavuno yake. 7 Nakutaka wewe kuyafikiri ninayokuambia na Bwana atakupa uwezo wa kuyaelewa mambo haya yote.
8 Endelea kumkumbuka Yesu Kristo, aliyefufuka kutoka kwa wafu, na ni kutoka ukoo wa Daudi. Na huu ndiyo Habari Njema ninayoihubiri. 9 Kwa sababu ya Habari Njema ninateseka, hadi hatua ya kufungwa kwa minyororo kama mhalifu. Lakini ujumbe wa Mungu haujafungwa. 10 Kwa hiyo nayavumilia yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, ili na wao waweze kuufikia wokovu unaopatikana katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele.
11 Na hapa kuna usemi wa kuaminiwa:
Kama tumekufa pamoja naye,
tutaweza kuishi naye pia.
12 Kama tutastahimili, tutaweza pia kumiliki pamoja naye.
Kama tutamkana yeye, naye atatukana sisi.
13 Kama hatutakuwa waaminifu,
yeye anabaki kuwa mwaminifu,
kwa sababu hawezi kujikana mwenyewe.
Mtendakazi Ampendezaye Mungu
14 Endelea kuwakumbusha watu juu ya mambo haya. Waonye kwa mamlaka mbele za Mungu wasipigane juu ya maneno. Mapigano hayo hayana mambo mazuri, bali huwaharibu wanaoyasikiliza. 15 Jitahidi kujionesha mwenyewe kuwa umekubaliwa na Mungu, kama mtumishi asiye na kitu cho chote cha kumfadhaisha na anayeufanyia kazi ujumbe wa kweli ya Mungu katika njia sahihi.
16 Bali uyaepuke majadiliano ya kijinga ya kidunia, ambayo huwapeleka watu mbali na Mungu, 17 na mafundisho ya wale wanaoyachukua mafundisho hayo wanaenea kama saratani mwilini. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto, 18 aliyeiasi na kuikosa kweli. Wanasema kuwa ufufuo kutoka kwa wafu kwa watu wote umekwisha kutokea, na wanageuza imani za watu wengine.
19 Hata hivyo, msingi ulio imara ambao Mungu aliuweka unasimama imara, na maneno haya yameandikwa juu yake: “Bwana anawajua wale walio wake,”(A) na “Kila anayesema kuwa ni wa Bwana aweze kuuacha ubaya.”
20 Ndani ya nyumba kubwa hakuna vyombo vya dhahabu na fedha pekee, bali hata vya udongo na mbao. Na vingine ni vya kutumika kwa matukio maalumu, na vingine ni kwa matumizi ya kawaida. 21 Hivyo mtu akitakaswa kutoka maovu yote, atakuwa mtakatifu na chombo maalumu cha kutumiwa na Bwana kilicho tayari kwa kila kazi njema.
22 Bali uzikimbie tamaa za ujana na kuyatafuta maisha ya haki, imani, upendo na amani, pamoja na wote wanaomwita Bwana kwa mioyo safi. 23 Nyakati zote ujiepushe na mabishano ya kijinga, kwa sababu unajua kuwa huleta mabishano makubwa. 24 Kwani mtumwa wa Bwana hapaswi kubishana, bali kuwa mkarimu kwa watu wote, mwenye ujuzi katika kufundisha na asiye mtukanaji. 25 Anapaswa kuwaelekeza wapinzani wake kwa upole katika tumaini kwamba Mungu anaweza kuwasaidia hao kutubu na kuujua ukweli, 26 na ili waweze kurudi katika fahamu zao na kuuepuka mtego wa adui, ambako wameshikiliwa kama mateka na Ibilisi na wamelazimishwa kuyafanya mapenzi yake.
2 Timothy 2
New International Version
The Appeal Renewed
2 You then, my son,(A) be strong(B) in the grace that is in Christ Jesus. 2 And the things you have heard me say(C) in the presence of many witnesses(D) entrust to reliable people who will also be qualified to teach others. 3 Join with me in suffering,(E) like a good soldier(F) of Christ Jesus. 4 No one serving as a soldier gets entangled in civilian affairs, but rather tries to please his commanding officer. 5 Similarly, anyone who competes as an athlete does not receive the victor’s crown(G) except by competing according to the rules. 6 The hardworking farmer should be the first to receive a share of the crops.(H) 7 Reflect on what I am saying, for the Lord will give you insight into all this.
8 Remember Jesus Christ, raised from the dead,(I) descended from David.(J) This is my gospel,(K) 9 for which I am suffering(L) even to the point of being chained(M) like a criminal. But God’s word(N) is not chained. 10 Therefore I endure everything(O) for the sake of the elect,(P) that they too may obtain the salvation(Q) that is in Christ Jesus, with eternal glory.(R)
11 Here is a trustworthy saying:(S)
If we died with him,
we will also live with him;(T)
12 if we endure,
we will also reign with him.(U)
If we disown him,
he will also disown us;(V)
13 if we are faithless,
he remains faithful,(W)
for he cannot disown himself.
Dealing With False Teachers
14 Keep reminding God’s people of these things. Warn them before God against quarreling about words;(X) it is of no value, and only ruins those who listen. 15 Do your best to present yourself to God as one approved, a worker who does not need to be ashamed and who correctly handles the word of truth.(Y) 16 Avoid godless chatter,(Z) because those who indulge in it will become more and more ungodly. 17 Their teaching will spread like gangrene. Among them are Hymenaeus(AA) and Philetus, 18 who have departed from the truth. They say that the resurrection has already taken place,(AB) and they destroy the faith of some.(AC) 19 Nevertheless, God’s solid foundation stands firm,(AD) sealed with this inscription: “The Lord knows those who are his,”(AE) and, “Everyone who confesses the name of the Lord(AF) must turn away from wickedness.”
20 In a large house there are articles not only of gold and silver, but also of wood and clay; some are for special purposes and some for common use.(AG) 21 Those who cleanse themselves from the latter will be instruments for special purposes, made holy, useful to the Master and prepared to do any good work.(AH)
22 Flee the evil desires of youth and pursue righteousness, faith, love(AI) and peace, along with those who call on the Lord(AJ) out of a pure heart.(AK) 23 Don’t have anything to do with foolish and stupid arguments, because you know they produce quarrels.(AL) 24 And the Lord’s servant must not be quarrelsome but must be kind to everyone, able to teach, not resentful.(AM) 25 Opponents must be gently instructed, in the hope that God will grant them repentance leading them to a knowledge of the truth,(AN) 26 and that they will come to their senses and escape from the trap of the devil,(AO) who has taken them captive to do his will.
2 Timothy 2
Expanded Bible
A Loyal Soldier of Christ Jesus
2 You then, Timothy, my child, be strong in the grace we have in Christ Jesus. 2 You should ·teach [entrust to; or pass on to] people ·whom you can trust [who are faithful/reliable] the things you have heard me say ·in the presence of [or confirmed by] many witnesses. Then they will be able to teach others. 3 ·Share in the troubles we have [or Join me in suffering] like a good soldier of Christ Jesus. 4 A soldier wants to please the ·enlisting [or commanding] officer, so no one serving in the army ·wastes time with [gets involved/entangled with] ·everyday matters [civilian affairs]. 5 Also an athlete who takes part in a contest must ·obey all [play by] the rules in order to ·win [L be crowned; C with the victor’s wreath]. 6 The farmer who works hard should be the first person to get some of the food that was grown. 7 Think about what I am saying, because the Lord will give you the ability to understand everything.
8 Remember Jesus Christ, who was raised from the dead, who is from the ·family [L seed] of David [2 Sam. 7:12–16]. ·This is the Good News I preach [L …according to my Gospel], 9 and I am suffering because of it to the point of being bound with chains like a criminal. But God’s ·teaching [message; word] is not in chains. 10 So I ·patiently accept [endure] all these troubles so that those whom God has chosen can ·have [receive; obtain] the salvation that is in Christ Jesus. With that salvation comes ·glory that never ends [eternal glory].
11 This ·teaching is true [saying/word is trustworthy; 1 Tim. 1:15; 3:1; 4:9; Titus 3:8; C what follows may be an early Christian hymn]:
If we died with him, we will also live with him.
12 If we ·accept suffering [endure; persevere], we will also ·rule [reign] with him.
If we ·say we don’t know [deny; disown; renounce] him, he will ·say he doesn’t know [deny; disown; renounce] us.
13 If we are not faithful, he will still be faithful,
because he ·must be true to who he is [L cannot deny/disown himself].
A Worker Pleasing to God
14 ·Continue teaching [L Remind them of] these things, ·warning people [L solemnly testifying/declaring] in God’s presence not to ·argue [quarrel] about words. It ·does not help anyone [is good for nothing], and it ruins those who listen. 15 ·Make every effort [Do your best; Be diligent] to ·give [present] yourself to God as the kind of person he will approve. Be a worker who ·is not ashamed [or will not be shamed] and who ·uses the true teaching in the right way [correctly handles the true message/word of truth; or holds carefully to the true message/word of truth]. 16 Stay away from ·foolish, useless talk [godless/irreverent chatter; 1 Tim. 1:3–4; 4:7; 6:20], because that will lead people ·further away from God [into even more ungodliness]. 17 Their evil teaching will spread like ·a sickness inside the body [L gangrene]. Hymenaeus [1 Tim. 1:20] and Philetus are like that [C probably false teachers and opponents of Paul from Ephesus]. 18 They have ·left [strayed away from] the ·true teaching [truth], saying that the ·rising from the dead [resurrection] has already taken place, and so they are ·destroying [undermining; overturning] the faith of some people. 19 But God’s strong foundation continues to stand, ·sealed [inscribed; engraved] with these words: “The Lord knows those who belong to him [Num. 16:5],” and “Everyone who ·wants to belong to [L names the name of] the Lord must ·stop doing wrong [L turn away from wickedess/injustice].”
20 In a ·large house [wealthy household] there are not only ·things [vessels; dishes] made of gold and silver, but also ·things [vessels; dishes] made of wood and clay. Some things are used for ·special [honorable; noble] purposes, and others are made for ·ordinary [dishonorable; ignoble] jobs [C such as garbage or excrement]. 21 All who make themselves clean from ·evil [L these things; C the false teaching described in vv. 16–18] will be used for ·special [honorable; noble] purposes. They will be made holy, useful to the Master, ready to do any good work.
22 But ·run away from [flee] the ·evil desires [passions; desires] of youth. ·Try hard to live right and to have [L Pursue righteousness,] faith, love, and peace, together with those who ·trust in [L call upon] the Lord from pure hearts. 23 ·Stay away from [Avoid; Having nothing to do with] foolish and ·stupid [ignorant] ·arguments [controversies; speculation], because you know they ·grow into [breed; beget] quarrels. 24 And a ·servant [slave; bondservant] of the Lord must not quarrel but must be kind to everyone, a ·good [qualified; able] teacher, and patient. 25 ·The Lord’s servant must gently teach [L …gently instructing/correcting] those who ·disagree [are opponents]. Then ·maybe [perhaps] God will ·let them change their minds [L grant them repentance] ·so they can accept [L leading to knowledge of] the truth. 26 And they may ·wake up [come to their senses] and escape from the ·trap [snare] of the devil, who catches them to do ·what he wants [his will].
© 2017 Bible League International
Holy Bible, New International Version®, NIV® Copyright ©1973, 1978, 1984, 2011 by Biblica, Inc.® Used by permission. All rights reserved worldwide.
NIV Reverse Interlinear Bible: English to Hebrew and English to Greek. Copyright © 2019 by Zondervan.
The Expanded Bible, Copyright © 2011 Thomas Nelson Inc. All rights reserved.
