Add parallel Print Page Options

Usiseme kwa hasira kwa mtu mzima. Lakini sema naye kama baba yako. Watunze vijana kama kaka zako. Watendee wanawake wazee kama mama zako. Na watendee wanawake vijana kwa heshima zote kama vile ni dada zako.

Kuwatunza Wajane

Watunze wajane ambao hasa wanahitaji msaada. Lakini mjane akiwa na watoto au wajukuu, jambo la kwanza ambalo wanahitaji kujifunza ni hili: kutimiza wajibu waliyonao kwa wanafamilia wao. Kwa kuwapa heshima na kuwahudumia, watakuwa wanawalipa fadhila wazazi wao na pia mababu na nyanya zao. Na haya ndiyo mambo yanaompendeza Mungu. Mjane ambaye hakika anahitaji msaada ni yule ambaye ameachwa pekee yake. Anamuamini Mungu kumtunza katika mahitaji yake. Anayemuomba msaada Mungu wakati wote. Lakini mjane anayetumia maisha yake kujipenda ni hakika amekufa angali hai. Wambie waumini huko kutunza familia zao wenyewe ili kwamba asiwepo yeyote atakayesema wanafanya vibaya. Kila mtu atunze watu wa kwao, muhimu sana watunze familia zao. Kama hawatendi hayo watakuwa hawakubaliani na tunayoamini. Watakuwa wabaya kuliko hata asiyeamini.

Ili kuongezwa kwenye orodha ya wajane, mwanamke ni lazima awe na umri wa miaka 60 au zaidi, awe aliyekuwa mwaminifu kwa mume[a] wake. 10 Ni lazima ajulikane kwa mema aliyoyafanya: kulea watoto, kukaribisha wageni kwenye nyumba yake, kuwasaidia watu wa Mungu wenye uhitaji,[b] wenye shida, na kutumia maisha yake kufanya wema wa aina zote.

11 Lakini usiwaweke wajane wachanga katika orodha. Nguvu zao za mahitaji ya mwili zinawavuta wajiondea kwa Kristo, wanataka kuolewa tena. 12 Kisha watahukumiwa kustahili adhabu kwa kutofanya walichoahidi kutenda hapo kwanza. 13 Pia, wajane hawa vijana wanaanza kupoteza muda wao kwa kujihusisha na mambo ya watu wengine yasiyowahusu. Wanazungumzia mambo ambayo wasingepaswa kuzungumza. 14 Hivyo nataka wajane vijana kuolewa, kuzaa watoto, na kutunza nyumba zao. Kama wakifanya hivi, adui yetu hatakuwa na sababu ya kutupinga kwa sababu yao. 15 Lakini wajane wengine vijana wamegeuka na kumfuata Shetani.

16 Kama yupo mwanamke aliyeamini aliye na wajane katika familia yake, ni lazima awatunze yeye mwenyewe. Ndipo Kanisa halitakuwa na mzigo wa kuwatunza hao bali kuwatunza ambao hawana mtu yeyote wa kuwasaidia.

Mambo mengine zaidi juu ya Wazee na mengineyo

17 Wazee wanaoliongoza Kanisa katika njia nzuri wanapaswa kupokea heshima mara mbili;[c] hasa wale wanaofanya kazi ya kuhubiri na kufundisha. 18 Kama Maandiko yanavyosema, “Mnyama wa kazi akitumika kutenganisha ngano, usimzuie kula nafaka.”(A) Na Maandiko pia yanasema, “Mfanyakazi anatakiwa kupewa ujira wake.”(B)

19 Usimsikilize yeyote anayemshitaki mzee. Unatakiwa kuwasikiliza tu kama wapo wawili au watatu ambao wanaweza kusema alichokosea mzee. 20 Waambie wazee wanaotenda dhambi kwamba wana hatia, ufanye hivi mbele ya kanisa lote ili wengine wapate kuonywa.

21 Mbele ya Mungu na Kristo Yesu na malaika walioteuliwa, nakuambia fanya hukumu hizo bila upendeleo. Mtendee kila mtu sawa sawa.

22 Fikiri kwa makini kabla ya kuweka mikono yako juu ya yeyote kumfanya mzee. Usishiriki dhambi za wengine, na ujitunze uwe safi.

23 Timotheo, acha kunywa maji tu, kunywa na kiasi kidogo cha mvinyo. Hii itakusaidia tumbo lako, na hutaugua mara kwa mara.

24 Dhambi za watu wengine ni rahisi kuziona, hizo zinaonesha kwamba watahukumiwa. Lakini dhambi za wengine zitajulikana tu hapo baadaye. 25 Inafanana na mambo mazuri wanayofanya watu. Zingine ni rahisi kuonekana. Lakini hata kama si dhahiri sasa, hakuna hata moja itakayojificha milele.

Footnotes

  1. 5:9 awe aliyekuwa mwaminifu kwa mume “Mwaminifu kwa mume wake” inamaanisha “mwanamke awe na mtu mmoja.” Au aliyeolewa: Misalaba ya wanawake nyakati za Paulo mara nyingi zilitambulisha kwamba walikuwa wameolewa mara moja tu katika maisha yao. Hili lilitafsiriwa kuwa maisha safi ya heshima ya mwanamke au kuheshimika. Maana ya wazi, “mke wa mume mmoja”, inayoweza pia kutafsiriwa, “mke wa mume mmoja” au “aliyeolewa mara moja tu”.
  2. 5:10 kuwasaidia … uhitaji Kwa maana ya kawaida, “kuosha miguu”, mila ya utamaduni wa karne ya kwanza, kwa sababu watu walivaa viatu vya wazi na kutembea kwenye barabara za vumbi nyingi.
  3. 5:17 heshima mara mbili Au “malipo mara mbili”.

Widows, Elders and Slaves

Do not rebuke an older man(A) harshly,(B) but exhort him as if he were your father. Treat younger men(C) as brothers, older women as mothers, and younger women as sisters, with absolute purity.

Give proper recognition to those widows who are really in need.(D) But if a widow has children or grandchildren, these should learn first of all to put their religion into practice by caring for their own family and so repaying their parents and grandparents,(E) for this is pleasing to God.(F) The widow who is really in need(G) and left all alone puts her hope in God(H) and continues night and day to pray(I) and to ask God for help. But the widow who lives for pleasure is dead even while she lives.(J) Give the people these instructions,(K) so that no one may be open to blame. Anyone who does not provide for their relatives, and especially for their own household, has denied(L) the faith and is worse than an unbeliever.

No widow may be put on the list of widows unless she is over sixty, has been faithful to her husband, 10 and is well known for her good deeds,(M) such as bringing up children, showing hospitality,(N) washing the feet(O) of the Lord’s people, helping those in trouble(P) and devoting herself to all kinds of good deeds.

11 As for younger widows, do not put them on such a list. For when their sensual desires overcome their dedication to Christ, they want to marry. 12 Thus they bring judgment on themselves, because they have broken their first pledge. 13 Besides, they get into the habit of being idle and going about from house to house. And not only do they become idlers, but also busybodies(Q) who talk nonsense,(R) saying things they ought not to. 14 So I counsel younger widows to marry,(S) to have children, to manage their homes and to give the enemy no opportunity for slander.(T) 15 Some have in fact already turned away to follow Satan.(U)

16 If any woman who is a believer has widows in her care, she should continue to help them and not let the church be burdened with them, so that the church can help those widows who are really in need.(V)

17 The elders(W) who direct the affairs of the church well are worthy of double honor,(X) especially those whose work is preaching and teaching. 18 For Scripture says, “Do not muzzle an ox while it is treading out the grain,”[a](Y) and “The worker deserves his wages.”[b](Z) 19 Do not entertain an accusation against an elder(AA) unless it is brought by two or three witnesses.(AB) 20 But those elders who are sinning you are to reprove(AC) before everyone, so that the others may take warning.(AD) 21 I charge you, in the sight of God and Christ Jesus(AE) and the elect angels, to keep these instructions without partiality, and to do nothing out of favoritism.

22 Do not be hasty in the laying on of hands,(AF) and do not share in the sins of others.(AG) Keep yourself pure.(AH)

23 Stop drinking only water, and use a little wine(AI) because of your stomach and your frequent illnesses.

24 The sins of some are obvious, reaching the place of judgment ahead of them; the sins of others trail behind them. 25 In the same way, good deeds are obvious, and even those that are not obvious cannot remain hidden forever.

Footnotes

  1. 1 Timothy 5:18 Deut. 25:4
  2. 1 Timothy 5:18 Luke 10:7