耶稣使四千人吃饱

那时,又有一大群人聚在一起,他们没有东西吃。耶稣就叫来门徒,说: “我怜悯这些人,他们跟我在一起已经三天,没有任何吃的了。 如果让他们饿着肚子回家,他们在路上会体力不支,因为有些人是远道而来的。”

门徒说:“在这荒野,如何找到足够的食物给这些人吃呢?”

耶稣问:“你们有多少饼?”

门徒答道:“七个。”

耶稣便吩咐大家坐在地上,然后拿着那七个饼祝谢了,掰开,递给门徒,让门徒分给大家,门徒就把饼分给大家。 他们还有几条小鱼。耶稣祝谢了,叫门徒分给众人。 大家都吃了,并且吃饱了,剩下的零碎装满了七个筐子。 吃的人约有四千。耶稣让众人回家后, 10 随即和门徒上船,来到大玛努他地区。

11 法利赛人出来盘问耶稣,要求祂从天上显一个神迹给他们看看,借此试探祂。 12 耶稣深深叹息道:“这世代的人为什么总是要看神迹呢?我实在告诉你们,没有神迹给这世代的人看。” 13 然后,耶稣离开他们,乘船回对岸去了。

防备法利赛人和希律的酵

14 门徒忘了带饼,船上只有一个饼。 15 耶稣警告他们:“你们要谨慎,要提防法利赛人和希律的酵!”

16 他们彼此议论说:“老师这样说,是不是因为我们没有带饼呢?”

17 耶稣知道他们的心思,就说:“你们为什么议论没有带饼的事呢?难道你们还不明白、不领悟吗?你们的心还是愚顽吗? 18 你们有眼不会看,有耳不会听吗?你们不记得吗? 19 我掰开五个饼分给五千人吃的时候,你们捡了多少篮的零碎呢?”

门徒答道:“十二篮。”

20 耶稣又说:“我用七个饼喂饱四千人的时候,你们捡了多少筐零碎呢?”

门徒答道:“七筐。”

21 耶稣接着说:“你们还不明白吗?”

治好伯赛大的瞎子

22 他们到了伯赛大,有人带来一个瞎子,求耶稣摸他。 23 耶稣拉着瞎子的手带他走到村外,吐唾沫在他的眼睛上,并把手按在他身上,问他:“你看见什么了?”

24 他抬头看了看,说:“我看见人们好像一棵棵的树,走来走去。”

25 耶稣把手按在他的眼睛上,他定睛一看,便恢复了视力,什么都看得清清楚楚。 26 耶稣叫他回家,并对他说:“不要再进这个村子了。”

彼得宣告耶稣是基督

27 耶稣和门徒前往凯撒利亚·腓立比境内的村庄。在路上,祂问门徒:“别人说我是谁?”

28 他们说:“有人说你是施洗者约翰,有人说你是以利亚,有人说你是众先知中的一位。”

29 耶稣又问他们:“那么,你们说我是谁?”

彼得回答说:“你是基督!”

30 耶稣吩咐他们不要泄露祂的身份。

耶稣预言自己的受难和复活

31 从此,耶稣便告诉他们,人子必须受许多苦,被长老、祭司长和律法教师弃绝,杀害,但必在三天之后复活。 32 耶稣清楚地把这些事告诉了他们,彼得就把祂拉到一边,劝阻祂。 33 耶稣转身看了看门徒,斥责彼得说:“撒旦,退到我后面去!因为你不考虑上帝的意思,只考虑人的意思。”

34 祂叫众人和门徒一起过来,对他们说:“如果有人要跟从我,就应当舍己,背起他的十字架跟从我。 35 因为想救自己生命的,必失去生命;但为了我和福音而失去生命的,必得到生命。 36 人就是赚得全世界,却丧失自己的生命,又有什么益处呢? 37 他还能用什么换回生命呢?

38 “在这淫乱、罪恶的世代,如果有人以我和我的道为耻,人子在父的荣耀中与圣天使再来的时候,也要以他为耻。”

Yesu Awalisha Watu Zaidi ya 4,000

(Mt 15:32-39)

Wakati mwingine katika siku zile kundi kubwa la watu lilikusanyika na halikuwa na chakula. Yesu akawaita wanafunzi wake na kuwaambia, “Nawahurumia watu hawa, kwa sababu hata sasa wamekuwa nami kwa siku tatu, na hawana kitu cha kula.”

Nikiwaacha waende majumbani mwao wakiwa na njaa, wataanguka njiani; na baadhi yao wametoka mbali.

Wanafunzi wake wakamjibu, “Wapi mtu yeyote atapata chakula cha kutosha mahali hapa jangwani cha kuwalisha watu hawa?”

Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi?” Wakajibu, “Saba.”

Kisha Yesu akaliagiza kundi la watu kuketi chini ardhini Akachukua mikate ile saba, akashukuru, akaimega na kuwapa wanafunzi wake waigawe. Nao wakaigawa kwenye kundi. Kulikuwapo pia samaki wadogo wachache. Yesu akawabariki wale samaki na kuwaambia waigawe nayo pia.

Watu walikula na kushiba. Wakakusanya vikapu saba vilivyojaa mabaki. Ilikuwa kama watu 4,000. Kisha Yesu akawaacha waende. 10 Mara Yesu akapanda katika mashua na wanafunzi wake, na akafika katika wilaya ya Dalmanutha.

Baadhi ya Watu Wawa na Mashaka na Mamlaka ya Yesu

(Mt 16:1-4; Lk 11:16,29)

11 Mafarisayo wakamwendea Yesu na kuanza kubishana naye. Ili kumjaribu wakamwomba ishara kutoka mbinguni. 12 Yesu alihema kwa nguvu na kusema, “Kwa nini kizazi kinataka ishara? Ninawaambia ukweli: hakuna ishara itakayooneshwa kwa kizazi hiki.” 13 Kisha Yesu akawaacha, akapanda tena katika mashua, na akaondoka kwenda upande wa pili wa ziwa.

Wafuasi Washindwa Kumwelewa Yesu

(Mt 16:5-12)

14 Wakati huo huo wanafunzi walikuwa wamesahau kuleta mikate yo yote, na hawakuwa na kitu kingine isipokuwa mkate mmoja. 15 Yesu akawaonya, akasema, “Mwe mwangalifu! Jilindeni na chachu ya Mafarisayo na ile ya Herode.”

16 Nao wakaanza kujadiliana haya miongoni mwao: “Labda alisema hivi kwa sababu hatukuwa na mkate wowote.”

17 Akijua walichokuwa wakikisema, akawaambia, “Kwa nini mnajadiliana juu ya kutopata mkate? Je! Bado hamwoni na kuelewa? Je! Mmezifunga akili zenu. 18 Mnayo macho; Je! Hamwoni? Mnayo masikio; Je! Hamwezi kusikia? Mnakumbuka? 19 Nilipomega na kugawa mikate mitano kwa watu 5,000, mlikusanya vikapu vingapi vilivyojaa masalia ya mikate?”

Wakasema “Kumi na viwili”.

20 “Nilipomega na kugawa mikate saba kwa watu 4,000, mlikusanya vikapu vingapi vilivyojaa masalia ya mikate?”

Wakasema “Saba”.

21 Kisha akawaambia, “Bado hamwelewi?”

Yesu Amponya Kipofu katika Kijiji cha Bethsaida

22 Walipofika katika kijiji cha Bethsaida, baadhi ya watu walimleta asiyeona kwa Yesu, na kumsihi Yesu amguse. 23 Yesu alimshika mkono yule asiyeona na kumtoa nje ya kijiji. Kisha Yesu alimtemea mate yule asiyeona kwenye macho yake, akaweka mkono wake juu ya asiyeona, na kumwuliza, “Je! Unaona kitu chochote?”

24 Kipofu akatazama juu na kusema, “Ninaona watu; wanaonekana kama miti inayotembea.”

25 Kisha Yesu akaweka mikono yake tena kwenye macho ya yule asiyeona. Naye akafumbua wazi macho yake yote. Kwani alipona kutokuona kwake na kuona kila kitu kwa uwazi. 26 Kisha Yesu akamwambia arudi nyumbani, na pia akamwambia, “Usiingie kijijini.”

Petro Atambua Yesu ni Nani

(Mt 16:13-20; Lk 9:18-21)

27 Yesu na wanafunzi wake walikwenda kwenye vijiji vinavyozunguka Kaisaria Filipi. Wakiwa njiani aliwauliza wanafunzi wake, “Watu wanasema mimi ni nani?”

28 Nao wakamjibu, “Yohana Mbatizaji. Wengine husema wewe ni Eliya. Na wengine husema wewe ni mmoja wa manabii.”

29 Kisha akawauliza wao, “Na ninyi; Je! Mnasema mimi ni nani?”

Petro akamjibu, “Wewe ni masihi.”

30 Kisha Yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote kuhusu yeye.

Yesu Asema ni Lazima Afe

(Mt 16:21-28; Lk 9:22-27)

31 Ndipo alianza kuwafundisha akisema: “Mwana wa Adamu lazima apate mateso mengi, na kukatataliwa na wazee, wakuu wa makuhani na walimu wa Sheria, na ni lazima atauawa na Kufufufuka baada ya siku ya tatu.” 32 Yesu aliwaambia haya kwa uwazi bila kuwaficha.

Baada ya mafundisho haya Petro alimchukua Yesu pembeni na kuanza kumkemea. 33 Lakini Yesu aligeuka nyuma na kuwaangalia wanafunzi wake, na kumkemea Petro kwa kumwambia, “Shetani,[a] toka mbele yangu! Huyajali yale anayoyajali Mungu bali yale wanayoyaona wanadamu kuwa ni muhimu.”

34 Kisha Yesu akaliita kundi lote pamoja na wanafunzi wake kwake, akawaambia, “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane yeye mwenyewe, na ni lazima auchukue msalaba wake mwenyewe kisha anifuate. 35 Kwa kuwa kila anayetaka kuusalimisha uhai wake, ataupoteza, na yeyote atakayeupoteza uhai wake kwa ajili yangu na kwa ajili ya injili atausalimisha. 36 Itampa mtu manufaa gani akiupata ulimwengu wote kisha akaupoteza uhai wake? 37 Mtu anaweza kuubadilisha uhai wake na kitu gani? 38 Hiki ni kizazi chenye dhambi na kisichokuwa na uaminifu. Hivyo, mtu yeyote atakayenionea haya mimi na mafundisho yangu, Mwana wa Adamu naye atamwonea haya mtu huyo siku ile atakaporudi katika utukufu wa Baba yake akiwa na malaika wake watakatifu.”

Footnotes

  1. 8:33 Shetani Jina la Mwovu lenye maana “Adui”. Maana ya Yesu ni kuwa Petro alikuwa akiongea kama Shetani.

耶稣供给四千多人食物

还有一次,很多人和耶稣在一起,他们没有任何可吃的东西。耶稣就把门徒们叫到身边,对他们说: “我很同情这些人,他们和我在一起已经三天了,也没有吃的东西。 如果我让他们饿着肚子回家,他们就会昏倒在路上,何况有些人是从很远的地方来的。”

耶稣的门徒们答道∶“在这荒郊野外,我们到哪儿去找足够的食物给这么多人吃呀?”

耶稣问门徒们∶“你们有多少块面包?”

“七块面包。”他们回答。

耶稣吩咐人群坐在地上,他拿着七块面包,感谢上帝。他掰开面包,递给门徒去分给众人,门徒便分给了众人。 门徒们又拿出几条小鱼。耶稣为众人祝福,然后让门徒们把鱼分给人们。 众人都吃饱了,之后门徒们收拾起剩下的食物,足足装满了七筐。 当时大约有四千个男人吃饭,然后耶稣打发他们走了。 10 随后他和门徒们乘船到大玛努他地区去了。

一些人怀疑耶稣的权威

11 法利赛人来质问耶稣,他们要耶稣显示一个来自天堂的神迹,其目的是在试探他。 12 耶稣深深地叹息,说∶“为什么这代人寻求神迹呢?实话告诉你们,没有神迹会给你们这代人看。” 13 说完,耶稣离开这些人,上船到湖对岸去了。

耶稣的门徒误解他

14 耶稣的门徒们忘了多带些面包,他们只带了一块面包上船。 15 耶稣提醒他们说∶“当心!要提防法利赛人和希律的酵母 [a]。”

16 门徒们私下议论说∶“他这么说是因为我们没有面包了!”

17 耶稣知道他们在讲什么,就对他们说∶“你们为什么议论说没有面包呢?难道你们还不明白吗?你们竟然会这么顽固吗? 18 你们有眼睛-难道看不见吗?你们有耳朵-难道听不见吗? 19 你们难道不记得,我把五块面包分给五千人吃,你们收拾起的残渣剩饭装满了多少筐吗?”

“十二筐。”门徒们回答。

20 耶稣又问∶“那么,我把七块面包分给四千人吃的时候,你们收拾起的残渣剩饭装满了多少筐呢?”

“七筐。”门徒们说。

21 然后,耶稣对他们说∶“你们还不明白吗?”

治好盲人

22 耶稣和门徒们来到伯赛大,有人带着一个盲人来找他,求耶稣摸摸他。 23 耶稣拉起盲人的手,出了村子。耶稣往盲人的眼睛里吐了一点唾沫,把手按在他身上,问道∶“你现在看得见吗?”

24 盲人抬起头说∶“我看见人,他们像树在走。”

25 耶稣又把手按在他的眼睛上,盲人睁大了眼睛,恢复了视力,看清了一切。 26 耶稣让他回家去,对他说∶“不要进这个村子。”

彼得说耶稣是基督

27 耶稣和门徒们动身到该撒利亚腓立比一带的村庄去,路上,耶稣问门徒们∶“人们都说我是谁?”

28 门徒们答道∶“他们说您是施洗者约翰。也有人说您是以利亚。还有人说您是一个先知。”

29 耶稣又问他们∶“那么你们说我是谁?”

彼得回答∶“您是基督。”

30 耶稣嘱咐他们不要告诉别人他是谁。

耶稣说他必死

31 他开始教导门徒说∶“人子必须遭受到很多苦难。他必遭到年长的犹太首领、祭司长和律法师的拒弃,并被杀害,三天后他必定复活。” 32 耶稣把将要发生的事情讲得很明白。彼得把耶稣拉到一边,责备他不该那样说。 33 可是耶稣转过身看着门徒们,责备彼得说∶“走开,撒旦!你不关心上帝的事,而只关心凡人认为重要的事。”

34 于是耶稣把众人和门徒叫过来,对他们说∶“如果谁想跟随我,他就必须舍弃自己,背起他的十字架跟随我。 35 凡是想保全生命的人都会丧生;凡是为我和福音牺牲生命的人都会保全生命。 36 如果一个人失去了生命,即使他得到了整个世界,也毫无价值。 37 一个人用什么也无法赎回他的生命, 38 当今这代人充满了罪恶,他们对上帝没有信仰。虽然你们生活在他们之中,但不要以我和我的教导为耻。如果你们以我和我的教导为耻,那么,当我—人子伴随着我父的荣耀和神圣的天使降临时,也会以你们为耻。

Footnotes

  1. 馬 可 福 音 8:15 酵母: 在此被比作坏的影响。