耶稣在彼拉多面前受审

15 清早,祭司长、长老、律法教师和全公会的人商定后,便把耶稣绑起来押送到彼拉多那里。

彼拉多问耶稣:“你是犹太人的王吗?”

耶稣回答说:“如你所言。”

祭司长控告耶稣许多罪。

彼拉多又问道:“你看,他们控告你这么多,你都不回答吗?”

耶稣仍旧一言不发,彼拉多感到惊奇。

每年逾越节的时候,彼拉多都会照惯例按犹太人的要求释放一个囚犯。 那时,有一个囚犯名叫巴拉巴,与其他作乱时杀过人的囚犯关在一起。 百姓聚来,要求彼拉多照惯例释放囚犯。

彼拉多问:“你们要我为你们释放犹太人的王吗?” 10 因为他知道祭司长把耶稣押来是出于妒忌。 11 但祭司长却煽动百姓,叫他们要求彼拉多释放巴拉巴。

12 彼拉多只好问:“那么,这位你们称之为犹太人之王的,我如何处置呢?”

13 他们喊着说:“把祂钉在十字架上!”

14 彼拉多问:“为什么?祂犯了什么罪?”

他们却更大声地喊:“把祂钉在十字架上!”

15 为了取悦众人,彼拉多释放了巴拉巴,命人将耶稣鞭打后带出去钉十字架。

耶稣受辱

16 于是,卫兵把耶稣带进总督府的院子,集合了全营的兵。 17 他们给祂穿上紫袍,用荆棘编成王冠戴在祂头上, 18 向祂行礼,并喊着说:“犹太人的王万岁!” 19 他们用苇秆打祂的头,向祂吐唾沫,跪拜祂。 20 戏弄完了,就脱去祂的紫袍,给祂穿上原来的衣服,押祂出去钉十字架。

钉十字架

21 亚历山大和鲁孚的父亲古利奈人西门从乡下来,途经那地方,卫兵就强迫他背耶稣的十字架。 22 他们把耶稣带到各各他——意思是“髑髅地”, 23 拿没药调和的酒给祂喝,但祂不肯喝。 24 他们把耶稣钉在十字架上,还抽签分祂的衣服。 25 他们钉祂十字架的时间是在上午九点钟。 26 祂的罪状牌上写着“犹太人的王”。

27 他们还把两个强盗钉在十字架上,一个在祂右边,一个在祂左边, 28 这应验了圣经的话:“祂被列在罪犯中。” 29 过路的人都嘲笑祂,摇着头说:“哈,你这要把圣殿拆毁又在三天内重建的人啊, 30 救救你自己,从十字架上下来吧!”

31 祭司长和律法教师也嘲讽说:“祂救了别人,却救不了自己! 32 以色列的王基督,现在从十字架上下来吧!让我们看看,我们就信了!”与祂同钉十字架的强盗也对祂出言不逊。

耶稣之死

33 正午时分,黑暗笼罩着整个大地,一直到下午三点。 34 大约在三点,耶稣大声呼喊:“以罗伊,以罗伊,拉马撒巴各大尼?”意思是:“我的上帝,我的上帝,你为什么离弃我?”

35 有些站在旁边的人听见了,就说:“听,祂在呼叫以利亚。”

36 有人跑去把一块海绵蘸满酸酒,绑在苇秆上送给祂喝,说:“等等,让我们看看以利亚会不会救祂下来。”

37 耶稣大叫一声,就断了气。 38 圣殿的幔子从上到下裂成两半。 39 站在对面的百夫长看见耶稣喊叫[a]断气的情形,便说:“这人真是上帝的儿子!”

40 有些妇女在远处观看,其中有抹大拉的玛丽亚、小雅各和约西的母亲玛丽亚并撒罗米。 41 耶稣在加利利时,她们已经跟随祂、服侍祂了。此外还有好些跟着祂上耶路撒冷的妇女。

安葬耶稣

42 那天是犹太人的预备日,也就是安息日的前一天。傍晚, 43 亚利马太人约瑟鼓起勇气去见彼拉多,要求领取耶稣的遗体。他是一位德高望重的公会议员,一位等候上帝国降临的人。 44 彼拉多听见耶稣已经死了,十分惊讶,便把百夫长召来问个明白, 45 得知耶稣确实已死,便将耶稣的遗体交给约瑟。

46 约瑟把耶稣的遗体取下来,用买来的细麻布裹好,安放在一个在岩壁上凿出的墓穴里,又滚来一块大石头堵住洞口。 47 抹大拉的玛丽亚和约西的母亲玛丽亚都亲眼看到了安葬耶稣的地方。

Footnotes

  1. 15:39 有些古卷无“喊叫”二字。

Gavana Pilato Amhoji Yesu

(Mt 27:1-2,11-14; Lk 23:1-5; Yh 18:28-38)

15 Asubuhi na mapema, Mara tu ilipofika asubuhi viongozi wa makuhani, viongozi wazee wa Kiyahudi, walimu wa sheria, na baraza kuu lote la Wayahudi liliamua jambo la kufanya kwa Yesu. Walimfunga Yesu, wakamwondoa pale, na wakamkabidhi kwa Pilato.

Na Pilato akamwuliza: “Je, wewe ni Mfalme wa Wayahudi?”

Yesu akajibu “Hayo ni maneno yako mwenyewe.”

Na viongozi wa makuhani wakamshitaki Yesu kwa mambo mengi. Kwa hiyo Pilato akamwuliza Yesu swali lingine. Akasema, “Wewe hata kujibu hujibu? Angalia una mashitaka mengi wanayokuletea!”

Lakini Yesu hakujibu kitu chochote, na Pilato akastaajabu.

Pilato Ajaribu Kumwachia Huru Yesu

(Mt 27:15-31; Lk 23:13-25; Yh 18:39-19:16)

Kila mwaka wakati wa Sherehe ya Pasaka Pilato atamweka huru mfungwa mmoja atakayechaguliwa na watu. Mtu mmoja aliyeitwa Baraba alikuwa gerezani amefungwa pamoja na waasi. Watu hawa walifanya mauaji wakati wa fujo.

Watu walikuja Kwa Pilato na kumwomba amweke huru mfungwa kama alivyofanya siku zote. Yeye akawauliza, “Je, mnataka nimwache huru mfalme wa Wayahudi?” 10 Pilato alilisema hili kwa sababu alijua kuwa viongozi wa makuhani walimleta kwake kwa ajili ya wivu tu. 11 Lakini wale viongozi wa makuhani walimchochea amwache Baraba badala ya Yesu.

12 Lakini Pilato akawauliza watu tena, “Kwa hiyo nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”

13 Wakapiga kelele “Muue kwenye msalaba.”

14 Lakini Pilato akawauliza, “Kwa nini? Je, amefanya kosa gani?”

Lakini wote wakapiga kelele zaidi, “Muue kwenye msalaba!”

15 Pilato alitaka kuwaridhisha watu, kwa hiyo alimweka huru Baraba kwa ajili yao. Akaamuru maaskari wampige Yesu viboko na kisha akamtoa kwao ili akauawe kwenye msalaba.

16 Maaskari wakamwongoza Yesu hadi ndani ya baraza la jumba la gavana (lililojulikana kama Praitorio). Huko wakakiita pamoja kikosi cha maaskari. 17 Wakamvalisha Yesu joho la zambarau na wakafuma taji ya miiba na kumvisha kichwani. 18 Kisha wakaanza kumpigia saluti wakisema: “Heshima kwa Mfalme wa Wayahudi!” 19 Wakampiga tena na tena kichwani kwa fimbo na wakamtemea mate. Kisha wakapiga magoti mbele yake na kujifanya wanampa heshima kama mfalme. 20 Walipomaliza kumkejeli walimvua joho lile la kizambarau, na kumvisha mavazi yake mwenyewe. Baada ya hapo wakamtoa nje ili waweze kumsulubisha.

Yesu Awambwa Msalabani

(Mt 27:32-44; Lk 23:26-43; Yh 19:17-19)

21 Wakiwa njiani walikutana na mtu kutoka Kirenio aliyeitwa Simoni, akitoka vijijini kuja mjini. Yeye alikuwa baba yake Iskanda na Rufo. Wale wanajeshi wakamlazimisha kuubeba msalaba wa Yesu. 22 Wakamleta Yesu hadi mahali palipoitwa Golgotha (Yaani Mahali pa Fuvu la Kichwa) 23 Nao wakampa divai iliyochanganywa na siki, lakini yeye alikataa kuinywa. 24 Pale wakampigilia kwa misumari msalabani. Wakagawana mavazi yake miongoni mwao nao wakayapigia kura ili kuona kila mtu atapata nini.

25 Ilikuwa saa tatu asubuhi walipompigilia kwa misumari msalabani. 26 Ilani ya mashtaka dhidi yake ilikuwa na maandishi haya juu yake: “Mfalme wa Wayahudi.” 27 Hapo waliwapigilia msalabani wahalifu wawili pembeni mwa Yesu, mmoja kushoto kwake na mwingine kuume kwake. 28 [a]

29 Watu waliopita mahali pale walimtukana. Walitikisa vichwa vyao na kusema, “Haya! Wewe ndiye yule awezaye kuliharibu hekalu na kulijenga tena kwa siku tatu. 30 Hebu shuka msalabani na uyaokoe maisha yako.”

31 Kwa njia hiyo hiyo, viongozi wa makuhani na walimu wa Sheria walimfanyia dhihaka na wakasema wao kwa wao, “Aliwaokoa wengine lakini hawezi kujiokoa mwenyewe! 32 Ikiwa yeye kweli ni Masihi Mfalme wa Israeli, iinampasa ashuke sasa toka msalabani, tukiliona hilo nasi tutamwamini.” Wale wahalifu waliokuwa katika misalaba ile mingine pembeni waliosulubiwa pamoja naye nao walimtukana.

Yesu Afariki

(Mt 27:45-56; Lk 23:44-49; Yh 19:28-30)

33 Ilipofika saa sita mchana giza ilifunika nchi yote. Giza liliendelea hadi saa tisa. 34 Mnamo saa tisa Yesu alipiga kelele kwa sauti na kusema, “Eloi, Eloi, lema sabakthani?” maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”(A)

35 Na baadhi ya wale waliokuwa wamesimama karibu waliposikia hivi, walisema, “sikilizeni anamwita Eliya.”[b]

36 Mtu mmoja alikimbia na kujaza sifongo kwenye siki, akaliweka kwenye ufito, na akampa Yesu anywe akisema, “Subiri! Tuone ikiwa Eliya atashuka na kumshusha chini.”

37 Yesu akalia kwa sauti kubwa na kisha akafa.

38 Hapo pazia la Hekalu lilipasuka vipande viwili kutoka juu hadi chini. 39 Yule afisa wa jeshi aliyekuwa amesimama pale mbele na kuona jinsi Yesu alivyokufa. Afisa huyu alisema, “mtu huyu hakika alikuwa mwana wa Mungu!”

40 Baadhi ya wanawake walikuwa wakiangalia mambo haya toka mbali. Miongoni mwao alikuwapo Maria Magdalena, Salome, na Maria mama yake Yakobo na Yose. 41 Wanawake hawa ni wale waliomfuata Yesu huko Galilaya na kumhudumia. Wanawake wengi wengine waliofuatana naye kuja Yerusalemu walikuwapo pale pia.

Yesu Azikwa

(Mt 27:57-61; Lk 23:50-56; Yh 19:38-42)

42 Siku hii ilikuwa ni Siku ya Maandalizi ya Sabato. (Maana yake siku kabla ya Siku ya Sabato.) Jua lilikuwa bado halijazama. 43 Yusufu wa Arimathea alifika. Yeye alikuwa mjumbe wa Baraza la Kiyahudi aliyeheshimiwa, ambaye pia alikuwa anautazamia ufalme wa Mungu unaokuja. Kwa ujasiri mkubwa aliingia kwa Pilato na kuuomba mwili wa Yesu.

44 Pilato alishangaa Yesu angekuwa amekufa kwa haraka namna hii, hivyo alimwita yule akida na kumwuliza kama Yesu alikuwa tayari amekufa. 45 Aliposikia taarifa kutoka kwa yule afisa wa jeshi, ndipo alipoutoa mwili wa Yesu na kumpa Yusufu wa Arimathea.

46 Hivyo Yusufu alinunua mavazi kadhaa ya hariri, na akamshusha Yesu toka msalabani, akauzungushia mwili wake na hariri hiyo, na kumweka katika kaburi lililokuwa limechongwa katika mwamba. Kisha alivingirisha jiwe kubwa na kuliweka mlangoni mwa kaburi. 47 Mariamu Magdalena na Maria mama yake Yose aliona pale alipolazwa Yesu.

Footnotes

  1. 15:28 Nakala zingine za Kiyunani zimeongeza mstari wa 28: “Na hili lilionyesha maana kamili ya Maandiko yaliyosema ‘walimweka pamoja wahalifu.’”
  2. 15:35 anamwita Eliya Neno hili “Mungu wangu” (ni Eli kwa Kiebrania ama Eloi kwa Kiaramu) ilisikika kwa watu kama jina la Eliya. Nabii maarufu aliyeishi mikaka kama 850 KK.

彼拉多审问耶稣

15 第二天一大早,祭司长、年长的犹太首领和律法师们以及全议会的人们定好了对付耶稣的计划。他们叫人把耶稣绑起来,押到彼拉多那里去。

彼拉多审问耶稣。他问∶“你是犹太人的王吗?”

耶稣回答说∶“你说的对。”

祭司长们列举了耶稣的许多罪状。 彼拉多又问道∶“难道你什么也不说吗?你看,他们控告你这么多事情!”

但是耶稣仍旧沉默,这让彼拉多感到十分惊讶。

彼拉多想放却放不了耶稣

每逢逾越节期间,按照惯例,总督都会按众人的要求,释放一名囚犯。 有个叫巴拉巴的人正和叛乱的同伙们一起关在牢里,这些人在叛乱中杀过人。 人们来请求彼拉多,请他像以往一样释放囚犯。

彼拉多问他们∶“你们是要我释放犹太人之王吗?” 10 他这样问,是因为他知道祭司长们把耶稣交给他是出于嫉妒。 11 可是祭司长们煽动人们,让他们请求释放巴拉巴。

12 彼拉多又问道∶“但是,我该怎样处置你们称为犹太王的那个人呢?”

13 人们大声喊道∶“把他钉死在十字架上。”

14 彼拉多说∶“为什么呢?他犯了什么罪?”

可是人们叫喊得更响了∶“把他钉死在十字架上!”

15 彼拉多为了取悦众人,释放了巴拉巴。他下令鞭打耶稣,然后叫士兵把他钉死在十字架上。

16 士兵们把耶稣带到总督的府邸,然后集合起全营的士兵。 17 他们给耶稣披了件紫袍子,又用荆棘编了个王冠戴在他头上。 18 然后向耶稣敬礼,嘴里喊着∶“我们向您敬礼,犹太王!” 19 他们不停地用棍子打耶稣的头,朝他吐唾沫,还跪在地上给他磕头,假装把他当王来荣耀他。 20 他们戏弄完了耶稣,就把紫袍子从他身上剥下来,给他穿上他自己的衣服,然后他们才把耶稣带出来,准备将他钉在十字架上。

耶稣被钉在十字架上

21 这些士兵带着耶稣走到半路时,遇见了一个刚从乡下来的古利奈人,他名叫西门,是亚力山大和鲁孚的父亲,士兵们强迫他背着耶稣的十字架。 22 他们把耶稣带到一个叫各各他 [a]的地方。 23 士兵们把掺了没药 [b]的酒拿给耶稣,可耶稣不肯喝。 24 他们把耶稣钉在了十字架上,又用掷骰子的方式瓜分了耶稣的衣服。

25 上午九点钟时,耶稣被钉在十字架上。 26 一个牌子上写着耶稣的罪名,上面有“犹太人之王”几个字。 27 他们还把两个强盗也钉在耶稣旁边的十字架上,一个在左边,另一个在右边。

28  [c] 29 过路的人也辱骂耶稣,摇着头说∶“哈,你就是那个要毁大殿并在三天之内重建的人。 30 救救你自己吧,从十字架上下来吧!”

31 祭司长和律法师们也在那里同样地戏弄耶稣。他们彼此说∶“他拯救了别人,却救不了自己! 32 如果他真正是基督、以色列王,他就该从十字架上下来救救他自己,让我们亲眼看看,也好相信他呀。”和耶稣一起被钉在十字架上的强盗也侮辱他。

耶稣之死

33 从中午一直到下午三点,遍地都陷入了黑暗之中。 34 三点钟时,耶稣大声呼喊∶“以罗伊、以罗伊 [d]、拉马撒巴各大尼。”意思是“我的上帝!我的上帝!您为什么抛弃了我?” [e]

35 站在那里的一些人听见了,便说∶“听啊,他在呼喊以利亚 [f]呢!”

36 在场的一个人跑去找来一块海绵,蘸了些酸酒,然后把它绑在棍子上,伸到耶稣嘴边,让他喝。他说∶“等一等,让咱们看看以利亚会不会来,把他从十字架上解救下来。”

37 耶稣一声大喊,就死去了。

38 与此同时,大殿里的帘幕从上到下一裂两半。 39 那个罗马军官 [g]站在十字架前目睹了所发生的这一切,就说道∶“这人真的是上帝之子啊!”

40 一些女子站在远处观望,她们当中有马利亚抹大拉,雅各和约西的母亲马利亚(雅各是她的小儿子),还有撒罗米。 41 耶稣在加利利的时候,这几个人就都跟着他并且照顾过他。还有其他许多和他一起到耶路撒冷来的女子也站在远处观望。

埋葬耶稣

42 此时是晚上了,这天是预备日(也就是安息日的前一天), 43 亚利马太的约瑟来了。他在犹太议会里是一个很受尊敬的人物,同时也在等待着上帝的王国的降临。约瑟大胆地去找彼拉多,向他要耶稣的尸体。 44 彼拉多听说耶稣这么快就死了,不禁吃了一惊。他把那军官叫来,问他耶稣是不是已死了。 45 彼拉多听了军官的报告,就把耶稣的尸体交给约瑟。 46 约瑟买了些亚麻布,把耶稣从十字架上取下,用亚麻布裹好,放进用岩石凿成的墓穴里,然后滚过一块石头挡住墓门。 47 抹大拉的马利亚和约瑟的母亲马利亚都看清了安放耶稣的地方。

Footnotes

  1. 馬 可 福 音 15:22 各各它: 即“骷髅之地”。
  2. 馬 可 福 音 15:23 没药: 曾被用作镇痛药。
  3. 馬 可 福 音 15:28 有些希腊文版本增有第28节∶“经上写着∶‘他是和犯人们押在一起的!’这话也应验了。”
  4. 馬 可 福 音 15:34 以罗伊: 为我的上帝,人们听起来像是以利亚的名字。
  5. 馬 可 福 音 15:34 参见《诗篇》22:1。
  6. 馬 可 福 音 15:35 以利亚: 公元前850年的一位先知。
  7. 馬 可 福 音 15:39 罗马军官: 古罗马军队中的百人队长。