马可福音 15
Chinese Contemporary Bible (Simplified)
耶稣在彼拉多面前受审
15 清早,祭司长、长老、律法教师和全公会的人商定后,便把耶稣绑起来押送到彼拉多那里。
2 彼拉多问耶稣:“你是犹太人的王吗?”
耶稣回答说:“如你所言。”
3 祭司长控告耶稣许多罪。
4 彼拉多又问道:“你看,他们控告你这么多,你都不回答吗?”
5 耶稣仍旧一言不发,彼拉多感到惊奇。
6 每年逾越节的时候,彼拉多都会照惯例按犹太人的要求释放一个囚犯。 7 那时,有一个囚犯名叫巴拉巴,与其他作乱时杀过人的囚犯关在一起。 8 百姓聚来,要求彼拉多照惯例释放囚犯。
9 彼拉多问:“你们要我为你们释放犹太人的王吗?” 10 因为他知道祭司长把耶稣押来是出于妒忌。 11 但祭司长却煽动百姓,叫他们要求彼拉多释放巴拉巴。
12 彼拉多只好问:“那么,这位你们称之为犹太人之王的,我如何处置呢?”
13 他们喊着说:“把祂钉在十字架上!”
14 彼拉多问:“为什么?祂犯了什么罪?”
他们却更大声地喊:“把祂钉在十字架上!”
15 为了取悦众人,彼拉多释放了巴拉巴,命人将耶稣鞭打后带出去钉十字架。
耶稣受辱
16 于是,卫兵把耶稣带进总督府的院子,集合了全营的兵。 17 他们给祂穿上紫袍,用荆棘编成王冠戴在祂头上, 18 向祂行礼,并喊着说:“犹太人的王万岁!” 19 他们用苇秆打祂的头,向祂吐唾沫,跪拜祂。 20 戏弄完了,就脱去祂的紫袍,给祂穿上原来的衣服,押祂出去钉十字架。
钉十字架
21 亚历山大和鲁孚的父亲古利奈人西门从乡下来,途经那地方,卫兵就强迫他背耶稣的十字架。 22 他们把耶稣带到各各他——意思是“髑髅地”, 23 拿没药调和的酒给祂喝,但祂不肯喝。 24 他们把耶稣钉在十字架上,还抽签分祂的衣服。 25 他们钉祂十字架的时间是在上午九点钟。 26 祂的罪状牌上写着“犹太人的王”。
27 他们还把两个强盗钉在十字架上,一个在祂右边,一个在祂左边, 28 这应验了圣经的话:“祂被列在罪犯中。” 29 过路的人都嘲笑祂,摇着头说:“哈,你这要把圣殿拆毁又在三天内重建的人啊, 30 救救你自己,从十字架上下来吧!”
31 祭司长和律法教师也嘲讽说:“祂救了别人,却救不了自己! 32 以色列的王基督,现在从十字架上下来吧!让我们看看,我们就信了!”与祂同钉十字架的强盗也对祂出言不逊。
耶稣之死
33 正午时分,黑暗笼罩着整个大地,一直到下午三点。 34 大约在三点,耶稣大声呼喊:“以罗伊,以罗伊,拉马撒巴各大尼?”意思是:“我的上帝,我的上帝,你为什么离弃我?”
35 有些站在旁边的人听见了,就说:“听,祂在呼叫以利亚。”
36 有人跑去把一块海绵蘸满酸酒,绑在苇秆上送给祂喝,说:“等等,让我们看看以利亚会不会救祂下来。”
37 耶稣大叫一声,就断了气。 38 圣殿的幔子从上到下裂成两半。 39 站在对面的百夫长看见耶稣喊叫[a]断气的情形,便说:“这人真是上帝的儿子!”
40 有些妇女在远处观看,其中有抹大拉的玛丽亚、小雅各和约西的母亲玛丽亚并撒罗米。 41 耶稣在加利利时,她们已经跟随祂、服侍祂了。此外还有好些跟着祂上耶路撒冷的妇女。
安葬耶稣
42 那天是犹太人的预备日,也就是安息日的前一天。傍晚, 43 亚利马太人约瑟鼓起勇气去见彼拉多,要求领取耶稣的遗体。他是一位德高望重的公会议员,一位等候上帝国降临的人。 44 彼拉多听见耶稣已经死了,十分惊讶,便把百夫长召来问个明白, 45 得知耶稣确实已死,便将耶稣的遗体交给约瑟。
46 约瑟把耶稣的遗体取下来,用买来的细麻布裹好,安放在一个在岩壁上凿出的墓穴里,又滚来一块大石头堵住洞口。 47 抹大拉的玛丽亚和约西的母亲玛丽亚都亲眼看到了安葬耶稣的地方。
Footnotes
- 15:39 有些古卷无“喊叫”二字。
Marko 15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Gavana Pilato Amhoji Yesu
(Mt 27:1-2,11-14; Lk 23:1-5; Yh 18:28-38)
15 Asubuhi na mapema, Mara tu ilipofika asubuhi viongozi wa makuhani, viongozi wazee wa Kiyahudi, walimu wa sheria, na baraza kuu lote la Wayahudi liliamua jambo la kufanya kwa Yesu. Walimfunga Yesu, wakamwondoa pale, na wakamkabidhi kwa Pilato.
2 Na Pilato akamwuliza: “Je, wewe ni Mfalme wa Wayahudi?”
Yesu akajibu “Hayo ni maneno yako mwenyewe.”
3 Na viongozi wa makuhani wakamshitaki Yesu kwa mambo mengi. 4 Kwa hiyo Pilato akamwuliza Yesu swali lingine. Akasema, “Wewe hata kujibu hujibu? Angalia una mashitaka mengi wanayokuletea!”
5 Lakini Yesu hakujibu kitu chochote, na Pilato akastaajabu.
Pilato Ajaribu Kumwachia Huru Yesu
(Mt 27:15-31; Lk 23:13-25; Yh 18:39-19:16)
6 Kila mwaka wakati wa Sherehe ya Pasaka Pilato atamweka huru mfungwa mmoja atakayechaguliwa na watu. 7 Mtu mmoja aliyeitwa Baraba alikuwa gerezani amefungwa pamoja na waasi. Watu hawa walifanya mauaji wakati wa fujo.
8 Watu walikuja Kwa Pilato na kumwomba amweke huru mfungwa kama alivyofanya siku zote. 9 Yeye akawauliza, “Je, mnataka nimwache huru mfalme wa Wayahudi?” 10 Pilato alilisema hili kwa sababu alijua kuwa viongozi wa makuhani walimleta kwake kwa ajili ya wivu tu. 11 Lakini wale viongozi wa makuhani walimchochea amwache Baraba badala ya Yesu.
12 Lakini Pilato akawauliza watu tena, “Kwa hiyo nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”
13 Wakapiga kelele “Muue kwenye msalaba.”
14 Lakini Pilato akawauliza, “Kwa nini? Je, amefanya kosa gani?”
Lakini wote wakapiga kelele zaidi, “Muue kwenye msalaba!”
15 Pilato alitaka kuwaridhisha watu, kwa hiyo alimweka huru Baraba kwa ajili yao. Akaamuru maaskari wampige Yesu viboko na kisha akamtoa kwao ili akauawe kwenye msalaba.
16 Maaskari wakamwongoza Yesu hadi ndani ya baraza la jumba la gavana (lililojulikana kama Praitorio). Huko wakakiita pamoja kikosi cha maaskari. 17 Wakamvalisha Yesu joho la zambarau na wakafuma taji ya miiba na kumvisha kichwani. 18 Kisha wakaanza kumpigia saluti wakisema: “Heshima kwa Mfalme wa Wayahudi!” 19 Wakampiga tena na tena kichwani kwa fimbo na wakamtemea mate. Kisha wakapiga magoti mbele yake na kujifanya wanampa heshima kama mfalme. 20 Walipomaliza kumkejeli walimvua joho lile la kizambarau, na kumvisha mavazi yake mwenyewe. Baada ya hapo wakamtoa nje ili waweze kumsulubisha.
Yesu Awambwa Msalabani
(Mt 27:32-44; Lk 23:26-43; Yh 19:17-19)
21 Wakiwa njiani walikutana na mtu kutoka Kirenio aliyeitwa Simoni, akitoka vijijini kuja mjini. Yeye alikuwa baba yake Iskanda na Rufo. Wale wanajeshi wakamlazimisha kuubeba msalaba wa Yesu. 22 Wakamleta Yesu hadi mahali palipoitwa Golgotha (Yaani Mahali pa Fuvu la Kichwa) 23 Nao wakampa divai iliyochanganywa na siki, lakini yeye alikataa kuinywa. 24 Pale wakampigilia kwa misumari msalabani. Wakagawana mavazi yake miongoni mwao nao wakayapigia kura ili kuona kila mtu atapata nini.
25 Ilikuwa saa tatu asubuhi walipompigilia kwa misumari msalabani. 26 Ilani ya mashtaka dhidi yake ilikuwa na maandishi haya juu yake: “Mfalme wa Wayahudi.” 27 Hapo waliwapigilia msalabani wahalifu wawili pembeni mwa Yesu, mmoja kushoto kwake na mwingine kuume kwake. 28 [a]
29 Watu waliopita mahali pale walimtukana. Walitikisa vichwa vyao na kusema, “Haya! Wewe ndiye yule awezaye kuliharibu hekalu na kulijenga tena kwa siku tatu. 30 Hebu shuka msalabani na uyaokoe maisha yako.”
31 Kwa njia hiyo hiyo, viongozi wa makuhani na walimu wa Sheria walimfanyia dhihaka na wakasema wao kwa wao, “Aliwaokoa wengine lakini hawezi kujiokoa mwenyewe! 32 Ikiwa yeye kweli ni Masihi Mfalme wa Israeli, iinampasa ashuke sasa toka msalabani, tukiliona hilo nasi tutamwamini.” Wale wahalifu waliokuwa katika misalaba ile mingine pembeni waliosulubiwa pamoja naye nao walimtukana.
Yesu Afariki
(Mt 27:45-56; Lk 23:44-49; Yh 19:28-30)
33 Ilipofika saa sita mchana giza ilifunika nchi yote. Giza liliendelea hadi saa tisa. 34 Mnamo saa tisa Yesu alipiga kelele kwa sauti na kusema, “Eloi, Eloi, lema sabakthani?” maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?”(A)
35 Na baadhi ya wale waliokuwa wamesimama karibu waliposikia hivi, walisema, “sikilizeni anamwita Eliya.”[b]
36 Mtu mmoja alikimbia na kujaza sifongo kwenye siki, akaliweka kwenye ufito, na akampa Yesu anywe akisema, “Subiri! Tuone ikiwa Eliya atashuka na kumshusha chini.”
37 Yesu akalia kwa sauti kubwa na kisha akafa.
38 Hapo pazia la Hekalu lilipasuka vipande viwili kutoka juu hadi chini. 39 Yule afisa wa jeshi aliyekuwa amesimama pale mbele na kuona jinsi Yesu alivyokufa. Afisa huyu alisema, “mtu huyu hakika alikuwa mwana wa Mungu!”
40 Baadhi ya wanawake walikuwa wakiangalia mambo haya toka mbali. Miongoni mwao alikuwapo Maria Magdalena, Salome, na Maria mama yake Yakobo na Yose. 41 Wanawake hawa ni wale waliomfuata Yesu huko Galilaya na kumhudumia. Wanawake wengi wengine waliofuatana naye kuja Yerusalemu walikuwapo pale pia.
Yesu Azikwa
(Mt 27:57-61; Lk 23:50-56; Yh 19:38-42)
42 Siku hii ilikuwa ni Siku ya Maandalizi ya Sabato. (Maana yake siku kabla ya Siku ya Sabato.) Jua lilikuwa bado halijazama. 43 Yusufu wa Arimathea alifika. Yeye alikuwa mjumbe wa Baraza la Kiyahudi aliyeheshimiwa, ambaye pia alikuwa anautazamia ufalme wa Mungu unaokuja. Kwa ujasiri mkubwa aliingia kwa Pilato na kuuomba mwili wa Yesu.
44 Pilato alishangaa Yesu angekuwa amekufa kwa haraka namna hii, hivyo alimwita yule akida na kumwuliza kama Yesu alikuwa tayari amekufa. 45 Aliposikia taarifa kutoka kwa yule afisa wa jeshi, ndipo alipoutoa mwili wa Yesu na kumpa Yusufu wa Arimathea.
46 Hivyo Yusufu alinunua mavazi kadhaa ya hariri, na akamshusha Yesu toka msalabani, akauzungushia mwili wake na hariri hiyo, na kumweka katika kaburi lililokuwa limechongwa katika mwamba. Kisha alivingirisha jiwe kubwa na kuliweka mlangoni mwa kaburi. 47 Mariamu Magdalena na Maria mama yake Yose aliona pale alipolazwa Yesu.
Footnotes
- 15:28 Nakala zingine za Kiyunani zimeongeza mstari wa 28: “Na hili lilionyesha maana kamili ya Maandiko yaliyosema ‘walimweka pamoja wahalifu.’”
- 15:35 anamwita Eliya Neno hili “Mungu wangu” (ni Eli kwa Kiebrania ama Eloi kwa Kiaramu) ilisikika kwa watu kama jina la Eliya. Nabii maarufu aliyeishi mikaka kama 850 KK.
马可福音 15
Chinese New Version (Simplified)
耶稣被押交彼拉多(A)
15 一到清晨,祭司长和长老、经学家以及公议会全体一致议决,把耶稣绑起来,押去交给彼拉多。 2 彼拉多问他:“你是犹太人的王吗?”耶稣回答:“你已经说了(“你已经说了”或译:“这是你说的”)。” 3 祭司长控告了他许多事。 4 彼拉多又问他:“你看,他们控告你这么多的事!你甚么都不回答吗?” 5 耶稣还是一言不答,使彼拉多非常惊奇。
彼拉多判耶稣钉十字架(27:15~26;(B)
6 每逢这节期,彼拉多按着众人所要求的,照例给他们释放一个囚犯。 7 有一个人名叫巴拉巴,和作乱的人囚禁在一起,他们作乱的时候,曾杀过人。 8 群众上去,要求彼拉多援例给他们办理。 9 彼拉多回答他们:“你们要我给你们释放这个犹太人的王吗?” 10 他知道祭司长是因为嫉妒才把耶稣交了来。 11 祭司长却煽动群众,宁可要总督释放巴拉巴给他们。 12 彼拉多又对他们说:“那么,你们称为犹太人的王的,你们要我怎样处置他呢?” 13 他们就喊着说:“把他钉十字架!” 14 彼拉多说:“他作了甚么恶事呢?”众人却更加大声喊叫:“把他钉十字架!” 15 彼拉多有意讨好群众,就释放了巴拉巴给他们,把耶稣鞭打了,交给他们钉十字架。
士兵戏弄耶稣(C)
16 士兵把耶稣带进总督府的院子里,召集了全队士兵。 17 他们给他披上紫色的外袍,又用荆棘编成冠冕给他戴上; 18 就向他祝贺说:“犹太人的王万岁!” 19 又用一根芦苇打他的头,向他吐唾沫,并且跪下来拜他。 20 他们戏弄完了,就把他的紫色的外袍脱下,给他穿回自己的衣服,带他出去,要钉十字架。
耶稣被钉十字架(D)
21 有一个古利奈人西门,就是亚历山大和鲁孚的父亲,从乡下来到,经过那里,士兵就强迫他背着耶稣的十字架。 22 他们把耶稣带到各各他地方(这地名译出来就是“髑髅地”), 23 拿没药调和的酒给他,他却不接受。 24 他们就把他钉了十字架;又抽签分他的衣服,看谁得着甚么。 25 他们钉他十字架的时候,是在上午九点钟。 26 耶稣的罪状牌上写着“犹太人的王”。 27 他们又把两个强盗和他一同钉十字架,一个在右,一个在左。(有些抄本有第28节:“这就应验了经上所说的:‘他和不法者同列。’”) 29 过路的人讥笑他,摇着头说:“哼,你这个要拆毁圣所,三日之内又把它建造起来的, 30 从十字架上把自己救下来吧!” 31 祭司长和经学家也同样讥笑他,彼此说:“他救了别人,却不能救自己; 32 以色列的王基督啊,现在可以从十字架上下来,让我们看见就信吧。”那和他同钉十字架的人也侮辱他。
耶稣死时的情形(E)
33 从正午到下午三点钟,遍地都黑暗了。 34 下午三点的时候,耶稣大声呼号:“以罗伊,以罗伊,拉马撒巴各大尼?”这句话译出来就是:“我的 神,我的 神,你为甚么离弃我?” 35 有些站在旁边的人听见了就说:“看,他呼叫以利亚呢。” 36 有一个人跑去拿海绵浸满了酸酒,绑在芦苇上,递给他喝,说:“等一等,我们看看以利亚来不来救他。” 37 耶稣大叫一声,气就断了。 38 圣所里的幔子,从上到下裂成两半。 39 站在他对面的百夫长,看见他这样断气,就说:“这人真是 神的儿子!” 40 也有些妇女远远地观看,她们之中有抹大拉的马利亚,小雅各和约西的母亲马利亚,以及撒罗米。 41 这些妇女,当耶稣在加利利的时候,就一直跟随他、服事他。此外,还有许多和他一同上耶路撒冷的妇女。
耶稣葬在坟墓里(F)
42 到了晚上,因为是预备日,就是安息日的前一日, 43 一个一向等候 神国度的尊贵的议员,亚利马太的约瑟来了,就放胆地进去见彼拉多,求领耶稣的身体。 44 彼拉多惊讶耶稣已经死了,就叫百夫长前来,问他耶稣是不是死了很久。 45 他从百夫长知道了实情以后,就把尸体给了约瑟。 46 约瑟买了细麻布,把耶稣取下,用细麻布裹好,安放在一个从盘石凿出来的坟墓里,又辊过一块石头来挡住墓门。 47 抹大拉的马利亚和约西的母亲马利亚都看见安放他的地方。
Chinese Contemporary Bible Copyright © 1979, 2005, 2007, 2011 by Biblica® Used by permission. All rights reserved worldwide.
© 2017 Bible League International
Chinese New Version (CNV). Copyright © 1976, 1992, 1999, 2001, 2005 by Worldwide Bible Society.