预言圣殿被毁

13 耶稣走出圣殿的时候,有一个门徒对祂说:“老师,你看!这是多么大的石头,多么宏伟的建筑啊!”

耶稣说:“你看见这宏伟的建筑了吗?将来它要被完全拆毁,找不到两块叠在一起的石头。”

耶稣面向圣殿坐在橄榄山上,彼得、雅各、约翰和安得烈私下来问祂: “请告诉我们,这些事什么时候会发生?有什么预兆?”

耶稣对他们说:“你们要小心,免得被人迷惑。 将有很多人冒我的名来,说,‘我是基督’,欺骗许多人。

“你们听见战争爆发、战讯频传时,不要惊慌,因为这些事必然发生,只是末日还没有到。

“民族将与民族互斗,国家将与国家相争,各处将有地震和饥荒。这些只是灾难[a]的开始。

“你们要小心,因为你们将被送上法庭,将在会堂里受鞭打,又将为了我的缘故在官长和君王面前做见证。 10 不过,福音一定要先传遍天下。 11 你们被拘捕,受审讯的时候,不用预先考虑怎样辩解,到时候赐给你们什么话,你们就说什么话,因为那时候说话的不是你们自己,而是圣灵。

12 “那时,人必把自己的弟兄置于死地,父亲必把儿子置于死地,儿女必反叛父母,置他们于死地。 13 你们将为我的名而被众人憎恨,但坚忍到底的必定得救。

大灾难

14 “当你们看见‘那带来毁灭的可憎之物’站在不当站的地方时(读者须会意),住在犹太地区的人要逃到山上去; 15 在屋顶上的人不要下来,不要进房屋收拾行李; 16 在田间的人不要回家取外衣。 17 那时,孕妇和哺育婴儿的母亲们可就遭殃了! 18 你们要祈求上帝使这些事不要在冬天发生, 19 因为那是上帝创造天地以来空前绝后的大灾难。 20 如果主不缩短灾期,恐怕没有人能活命,但为了祂所拣选的子民,祂已经缩短灾期。 21 那时,如果有人对你们说,‘看啊!基督在这里’,或说,‘基督在那里’,你们不要相信。 22 因为假基督和假先知将出现,行各种神迹奇事,如果可能,甚至会迷惑上帝拣选的子民。 23 你们要小心,我已经把一切预先告诉你们了。

人子降临

24 “大灾难过后,
太阳昏暗,
月亮无光,
25 星宿陨落,
天体震动。

26 那时,世人必看到人子驾着云、带着极大的能力和荣耀降临。 27 祂必差遣天使从四面八方、天涯海角招聚祂拣选的人。

28 “你们可以从无花果树学个道理。当无花果树发芽长叶的时候,你们就知道夏天快来了。 29 同样,当你们看见这些事情发生时,就知道人子快来了,就在门口。 30 我实在告诉你们,这个世代还没有过去,这一切都要发生。 31 天地都要过去,我的话却永远长存。

32 “但没有人知道那日子和时辰何时来到,连天上的天使和人子都不知道,只有天父知道。 33 你们要小心,警醒祷告,因为你们不知道那日子何时来到。

34 “这就好像一个人在出远门之前,把家中的事交给仆人,让他们各做各的工作,又吩咐守门的人要警醒。 35 所以你们要警醒,因为你们不知道主人什么时候回来,可能是黄昏,可能是夜半,也可能是黎明或早上。 36 别让他突然回来时看到你们在睡觉。 37 我劝你们也劝所有的人,要警醒!”

Footnotes

  1. 13:8 灾难”希腊文是“生产之痛”。

Yesu Aonya Kuhusu Wakati Ujao

(Mt 24:1-25; Lk 21:5-24)

13 Yesu alikuwa akiondoka katika eneo la Hekalu na moja ya wanafunzi wake akamwambia, “Mwalimu, tazama mawe haya yanavyopendeza na jinsi majengo haya yanavyopendeza!”

Yesu akamjibu, “Je, mnayaona majengo haya makubwa? Yote yatabomolewa. Kila jiwe litaporomoshwa hata chini. Hakuna jiwe lolote kati ya haya litakaloachwa mahali pake.”

Naye alipokuwa ameketi juu ya Mlima wa Mizeituni upande wa pili kuvuka Hekalu, Petro, Yakobo, Yohana na Andrea walimwuliza wakiwa faragha, “Haya tuambie, ni lini mambo haya yatakapotokea? Ni ishara gani itakayoonesha ya kwamba yote yanakaribia kutimizwa?”

Yesu akaanza kuwaeleza, “Muwe waangalifu mtu asije akawadanganya. Wengi watakuja huku wakilitumia Jina langu na kusema, ‘Mimi ndiye Masihi,’[a] nao watawadanganya wengi. Mtasikia juu ya vita vinavyopiganiwa na mtasikia habari juu ya vita vingine vinavyoanza. Hata hivyo msishtushwe. Mambo hayo lazima yatokee, kabla ule mwisho wenyewe kufika. Kwani taifa moja litapigana dhidi ya taifa lingine na ufalme mmoja utapigana dhidi ya ufalme mwingine. Yatatokea matetemeko mengi mahali pengi na kutakuwepo na njaa kali sehemu nyingi. Mambo haya yatakuwa ni mwanzo tu wa uchungu wa mama mzazi kabla ya mtoto kuzaliwa.

Hivyo mjihadhari! Wapo watu watakaowakamata na kuwapeleka mkahukumiwe kwa kuwa ninyi ni wanafunzi wangu. Watawapiga katika masinagogi yao. Mtalazimishwa kusimama mbele ya wafalme na watawala. Nanyi mtawaeleza habari zangu. 10 Kabla ya mwisho kufika, ni lazima kwanza habari Njema itangazwe kwa mataifa yote. 11 Wakati wowote watakapowakamata na kuwashitaki, msiwe na wasiwasi kujiandaa kwa yale mtakayoyasema, lakini myaseme yale mtakayopewa saa ile ile, kwa kuwa si ninyi mnaozungumza; bali, ni Roho Mtakatifu anayezungumza.

12 Na ndugu atamsaliti nduguye hata kuuawa, na baba atamsaliti mwanawe. Watoto nao watawaasi wazazi wao na hata kuwatoa wauawe. 13 Nanyi mtachukiwa na wote kwa sababu yangu. Lakini yeyote atakayevumilia hadi mwisho ataokoka.

14 Wakati mtakapoliona chukizo la uharibifu[b] likisimama mahali pasipotakiwa lisimame.” (Msomaji aelewe hii ina maana gani?[c]) “Kisha wale waliopo katika Uyahudi wakimbilie milimani. 15 Ikiwa mtu yupo katika paa la nyumba yake, asishuke chini na kuingia nyumbani mwake kuchukua kitu chochote. 16 Ikiwa mtu yupo shambani asirudi kuchukua vazi lake.

17 Wakati huo itakuwa hatari kwa wanawake walio waja wazito na wale wenye watoto wachanga. 18 Ombeni kwamba haya yasitokee wakati wa majira ya baridi. 19 Kwa kuwa taabu itakayotokea katika siku hizo itakuwa ile ambayo haijawahi kutokea tangu mwanzo pale Mungu alipoumba dunia hadi sasa. Na hakitatokea tena kitu kama hicho. 20 Kama Bwana asingelifupisha muda huo, hakuna ambaye angenusurika. Lakini yeye amefupisha siku hizo kwa ajili ya watu wale aliowateuwa.

21 Ikiwa mtu atawaambia, ‘Tazama, Kristo ni huyu hapa!’ ama ‘Ni yule pale!’ Usiliamini hilo. 22 Kwani Makristo wa uongo na manabii wa uongo watatokea, nao watafanya ishara na miujiza kuwadanganya watu ikiwezekana hata wale ambao Mungu amewachagua. 23 Kwa hiyo mjihadhari nimewaonya juu ya mambo haya kabla hayajatokea.

Yesu Atakaporudi Tena

(Mt 24:29-51; Lk 21:25-36; 19:12-13,40)

24 Lakini katika siku hizo, baada ya kipindi cha dhiki,

‘Jua litatiwa giza,
    mwezi hautatoa mwanga,
25 nyota zitaanguka kutoka angani,
    na mbingu yote itatikisika.’[d]

26 Ndipo watu watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni pamoja na nguvu kubwa na utukufu. 27 Baada ya hapo Mwana wa Adamu atawatuma malaika, na atawakusanya wateule wake kutoka kila upande wa dunia.

28 Jifunzeni somo hili kutoka katika mti wa mtini: Matawi yake yanaponyauka na kubeba majani, unajua kwamba kiangazi kimekaribia. 29 Vivyo hivyo, unapoona mambo haya yanaanza kutokea unajua kwamba muda umekaribia na umeshafika mlangoni. 30 Ninawaambieni ukweli: Kizazi hiki hakitapita kabla ya mambo haya yote hayajatokea. 31 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

32 Hakuna anayejua wakiwemo malaika wa mbinguni ama Mwana bali baba peke yake lini siku au saa ile itakapowadia. 33 Mjihadhari; Kesheni! Kwani hamjui lini muda huo utafika.

34 Ni kama mtu anayeenda safarini na kabla ya kuondoka huiacha nyumba yake mikononi mwa watumishi wake. Kabla ya kuiacha nyumba yake anawaweka watumishi wake kusimamia kila mmoja akiwa na kazi yake maalumu. Kisha atamwamuru mlinzi mlangoni awe macho. 35 Vivyo hivyo ni lazima mjihadhari, kwa sababu hamjui ni muda gani mkuu wa nyumba atakuja; hamjui kama atakuja jioni, usiku wa manane, wakati jogoo anawika, au alfajiri. 36 Ikiwa atakuja ghafula, basi asiwakute mmelala. 37 Ninachowaambia, namwambia kila mmoja: ‘muwe tayari.’”

Footnotes

  1. 13:6 Masihi Kwa maana ya kawaida, “Yule ambaye”, kwa maana ya Mfalme Mteule wa Mungu aliyetumwa na Mungu. Tazama Mt 24:5 na Masihi katika Orodha ya Maneno.
  2. 13:14 chukizo la uharibifu Ni maneno yanayoashiria kitu ambacho Mungu hapendezwi nacho. Tazama Dan 9:27; 11:31 na 12:11.
  3. 13:14 Msomaji aelewe hii ina maana gani Mwandishi anamtaka msomaji azingatie kwamba anazungumzia Jeshi la Rumi ambalo litaharibu Yerusalemu, ingawa hataki kulielezea hili kwa wazi. Tazama Lk 21:20-24.
  4. 13:24-25 Tazama Isa 13:10; 34:4.

预言圣殿被毁(A)

13 耶稣从殿里出来的时候,有一个门徒对他说:“老师,请看,这是多么美好的石头!多么美好的建筑!” 耶稣对他说:“你看见这些伟大的建筑吗?将来必没有一块石头留在另一块石头上面,每一块都要拆下来。”

这世代终结的预兆(B)

耶稣在橄榄山上,面对圣殿坐着,彼得、雅各、约翰和安得烈私下问他: “请告诉我们,甚么时候会有这些事呢?这一切事将要成就的时候有甚么预兆呢?” 耶稣就告诉他们说:“你们要小心,不要被人迷惑。 有许多人要来,假冒我的名说‘我就是基督’,并且要迷惑许多的人。 你们听见战争和战争的风声,也不要惊慌,这是免不了的,不过,结局还没有到。 一个民族要起来攻打另一个民族,一个国家要起来攻打另一个国家,到处要有地震,有饥荒,这些不过是痛苦的开始。 但你们要小心!因为人要把你们交给公议会,你们要在会堂里被鞭打,又要为我的缘故站在总督和君王面前,向他们作见证。 10 然而福音必须先传给万民。 11 人把你们捉去送官的时候,用不着预先思虑要说甚么,到那时候赐给你们甚么话,你们就说甚么,因为说话的不是你们,而是圣灵。 12 弟兄要出卖弟兄,父亲要出卖儿子,甚至把他们置于死地;儿女要悖逆父母,害死他们。 13 你们为我的名,要被众人恨恶,然而坚忍到底的必然得救。

大灾难的日子(C)

14 “当你们看见‘那造成荒凉的可憎者’,站在不该站的地方(读者必须领悟),那时,住在犹太的应当逃到山上; 15 在房顶的不要下来,也不要进到屋子里拿甚么东西; 16 在田里的也不要回去取衣服。 17 当那些日子,怀孕的和乳养孩子的有祸了! 18 你们应当祈求,不要让这些事在冬天发生。 19 因为那些日子必有灾难,这是从 神创世的开始到现在未曾有过的,以后也必不会再有。 20 如果不是主减少那些日子,没有一个人可以存活;但是为了自己的选民,他必使那些日子减少。 21 那时,如果有人对你们说:‘看哪,基督在这里!看哪,他在那里!’你们不要信。 22 因为必有假基督和假先知出现,行神迹和奇事,如果可以的话,连选民也要迷惑了。 23 所以你们应当小心!我已经事先把一切都告诉你们了。

人子必驾云降临(D)

24 “当那些日子,在那灾难以后,

太阳就变黑了,

月亮也不发光,

25 众星从天坠落,

天上的万象震动。

26 那时,他们要看见人子,满有能力和荣耀,驾着云降临; 27 他要差派天使,把他的选民从四方,从地极直到天边,都招聚来。

28 “你们应该从无花果树学个功课:树枝发出嫩芽长出叶子的时候,你们就知道夏天近了。 29 同样,你们甚么时候看见这些事发生,就知道他已经近在门口了。 30 我实在告诉你们,这一切都必会发生,然后这世代才会过去。 31 天地都要过去,但我的话决不会废去。

警醒准备(E)

32 “至于那日子和时间,没有人知道,连天上的天使和子也不知道,只有父知道。 33 你们要小心,要警醒,因为你们不知道那日期甚么时候来到。 34 这就像一个人出外远行,把责任(“责任”原文作“权柄”)一一地交给他的仆人,又吩咐看门的要警醒。 35 所以你们要警醒,因为你们不知道家主甚么时候来到,也许在黄昏,也许在半夜,也许在鸡叫时,也许在清晨。 36 恐怕他忽然来到,发现你们正在睡觉。 37 我对你们所说的话,也是对众人说的,‘你们要警醒’。”