论婚姻

10 耶稣离开那里,来到犹太地区和约旦河东岸,人群又聚集到祂那里。耶稣像往常一样教导他们。 一些法利赛人想试探耶稣,就来问祂:“男人可以休妻吗?” 耶稣反问道:“摩西怎么吩咐你们的?”

他们说:“摩西准许人写休书休妻。”

耶稣说:“摩西因为你们心硬,才给你们写了这条诫命。 太初创造时,‘上帝造了男人和女人。’ ‘因此,人要离开父母,与妻子结合, 二人成为一体。’这样,夫妻不再是两个人,而是一体了。 因此,上帝配合的,人不可分开。”

10 回到屋里后,门徒追问耶稣这件事。 11 耶稣说:“任何人休妻另娶,就是对妻子不忠,是犯通奸罪。 12 同样,妻子若离弃丈夫另嫁,也是犯通奸罪。”

祝福孩童

13 有人带着小孩子来要让耶稣摸一摸,门徒却责备他们。 14 耶稣看见后很生气,对门徒说:“让小孩子到我这里来,不要阻止他们,因为上帝的国属于这样的人。 15 我实在告诉你们,人若不像小孩子一样接受上帝的国,绝不能进去。” 16 于是,耶稣抱起小孩子,把手按在他们身上,为他们祝福。

永生的代价

17 耶稣正要上路,有一个人跑来跪在祂跟前,问祂:“良善的老师,我该做什么才能承受永生?”

18 耶稣说:“你为什么称呼我‘良善的老师’呢?只有上帝是良善的。 19 你知道‘不可杀人,不可通奸,不可偷盗,不可作伪证,不可欺诈,要孝敬父母’这些诫命。”

20 那人说:“老师,我从小就遵行这些诫命。”

21 耶稣望着他,心中爱他,便说:“你还有一件事没有做,就是变卖你所有的产业,送给穷人,你必有财宝存在天上,然后你还要来跟从我。”

22 那人听了,脸色骤变,便沮丧地走了,因为他有许多产业。 23 耶稣看看周围的人,对门徒说:“有钱人进上帝的国真难啊!”

24 门徒听了感到惊奇,耶稣便再次对他们说:“孩子们,[a]进上帝的国多么难啊! 25 骆驼穿过针眼比有钱人进上帝的国还容易呢!”

26 门徒更加惊奇,便议论说:“这样,谁能得救呢?”

27 耶稣看着他们说:“对人而言,这不可能,但对上帝而言,凡事都可能。”

28 彼得说:“你看,我们已经撇下一切来跟从你了。”

29 耶稣说:“我实在告诉你们,任何人为了我和福音而撇下房屋、弟兄、姊妹、父母、儿女或田地, 30 今世必在房屋、弟兄、姊妹、父母、儿女或田地方面获得百倍的回报,来世必得永生。当然他也会受到迫害。 31 然而,许多为首的将要殿后,殿后的将要为首。”

耶稣第三次预言自己的受难

32 在前往耶路撒冷的路上,耶稣走在众人前面,门徒感到惊奇,其他跟随的人也很害怕。

耶稣把十二个门徒叫到一旁,再把自己将要遭遇的事告诉他们,说: 33 “听着,我们现在前往耶路撒冷,人子将被交在祭司长和律法教师的手中,他们要判祂死刑,把祂交给外族人。 34 他们会嘲弄祂,向祂吐唾沫,鞭打祂,杀害祂。但是,三天之后祂必复活!”

雅各与约翰的请求

35 西庇太的两个儿子雅各和约翰上前对耶稣说:“老师,请你答应我们一个要求。”

36 耶稣问:“什么要求?”

37 他们说:“在你的荣耀中,求你让我们一个坐在你右边,一个坐在你左边。”

38 耶稣说:“你们不知道自己在求什么。我要喝的那杯,你们能喝吗?我要受的洗,你们能受吗?”

39 他们说:“我们能。”

耶稣说:“我要喝的那杯,你们也要喝;我所受的洗,你们也要受。 40 不过谁坐在我的左右不是我来定,而是为谁预备的,就让谁坐。”

41 其他十个门徒听见这事后,很生雅各和约翰的气。 42 于是,耶稣把他们叫来,对他们说:“你们知道,外族人有君王统治他们,有大臣管理他们, 43 但你们不可这样。你们中间谁要当首领,谁就要做大家的仆人; 44 谁要居首位,谁就要做大家的奴仆。 45 因为就连人子也不是来受人服侍,而是来服侍人,并且牺牲性命,作许多人的赎价。”

治好瞎子巴底买

46 耶稣和门徒来到耶利哥。当耶稣和门徒及众人出城的时候,遇见一个瞎眼的乞丐坐在路旁乞讨,他的名字叫巴底买,是底买的儿子。 47 巴底买一听到经过的是拿撒勒人耶稣,就喊道:“大卫的后裔耶稣啊,可怜我吧!”

48 许多人都责备他,叫他不要吵,但他却更加大声喊道:“大卫的后裔啊,可怜我吧!”

49 耶稣停下脚步,叫人带他过来。

他们就对瞎子巴底买说:“好了,起来吧,祂叫你呢。”

50 巴底买丢下外衣,跳了起来,走到耶稣面前。

51 耶稣问他:“你要我为你做什么?”

瞎子说:“老师,我想能够看见。”

52 耶稣说:“回去吧!你的信心救[b]了你。”那人立刻得见光明,在路上跟从了耶稣。

Footnotes

  1. 10:24 有古卷此处有“依靠钱财的人”。
  2. 10:52 ”或译“医治”。

关于离婚的教导

10 耶稣和门徒们离开那里,来到犹太地区和约旦河对岸的地区。又有很多人来到他那里,耶稣就像往常一样教导他们。

一些法利赛人来试探耶稣耶稣,他们说∶“男人和妻子离婚对吗?”

耶稣回答说∶“摩西是怎么告诫你们的?”

法利赛人说∶“摩西准许男人写份休书,就可以与妻子离婚了。”

耶稣对他们说∶“因为你们这些人不接受上帝的教导,所以摩西才为你们写下这条诫命。 可是,当上帝创世的时,‘他创造了男人和女人。’ [a] ‘因此,男人要离开父母,与妻子结合。 两人变为一体。 [b]’ 他们不再是两个人,而成为一体了。 因为上帝使他们结合在一起,所以人不应该分开他们。”

10 进屋之后,门徒们问耶稣他刚才那番话的含义。 11 耶稣对他们说∶“任何男人与妻子离了婚,又另娶别的女子,他就犯了通奸罪,辜负了自己的妻子。 12 如果妻子与丈夫离婚另嫁别人,那么她也犯了通奸罪。”

耶稣欢迎孩子们

13 人们带着自己的孩子来见耶稣,以便耶稣能把手放在孩子们身上,为他们祝福,但是门徒却责备这些人。 14 耶稣看见这个情景,非常生气,对门徒们说∶“让那些孩子到我这儿来,不许阻拦他们。上帝的王国属于像他们一样的人。 15 我实话告诉你们,如果谁不能像孩子一样地接受上帝的王国,谁就进不了上帝的王国。” 16 耶稣把孩子们搂在怀里,把手按在他们身上,为他们祝福。

富人不肯跟随耶稣

17 正当耶稣要启程上路的时候,有个人跑过来跪在他面前,求他说∶“好老师,我该做什么才能得到永生呢?”

18 耶稣对他说∶“你为什么说我是‘好’的呢?只有上帝才是好的。除了上帝,没有人是好的。 19 你知道上帝的诫命:‘不可杀人,不可通奸,不可偷盗,不可作伪证,不可欺诈,要孝敬父母。’ [c]

20 那人对耶稣说∶“老师,我从小就遵守所有这些诫命。”

21 耶稣看了看那个人,心里挺喜欢他,就说∶“还有一件事你需要做,回家卖掉你的全部家产,把钱分给穷人,这样你在天堂就会有财富了。然后你来跟随我。”

22 那人听了这话,感到很失望,因为他很富有,就心怀悲伤地走了。

23 耶稣环顾周围的门徒们说∶“富人要进上帝的王国真是太难了!”

24 门徒们听了这话都很惊讶。耶稣接着说∶“孩子们,上帝的王国是很难进的! 25 骆驼钻过针眼都要比富人进上帝的王国还容易呢。”

26 门徒们更为惊讶,互相议论说∶“那么谁能得救呢?”

27 耶稣看着他们说∶“人不可能做到的事, 上帝却能做到,因为上帝是无所不能的。”

28 彼得对耶稣说∶“您瞧,我们撇下了一切来跟随了您!”

29 耶稣说∶“我实话告诉你们:凡是为了我和福音撇下房屋、 土地、父母、兄弟、姐妹和孩子的人, 30 必将在世上得到百倍的报答,他们将得到更多的房屋、母亲、兄弟、姐妹、孩子和土地。以此同时,他们也会受到迫害,但在来世他们将得到永生。 31 但是,很多现在居先的人,将来会落在最后;很多现在居后的人,将来却要领先。”

再谈死亡

32 在去耶路撒冷的路上,耶稣走在他们前面。门徒们都感到惶惶不安,那些跟随他们的人也提心吊胆。耶稣把十二使徒叫到一旁,告诉他们将要发生的事情。 33 他说∶“听着!我们要到耶路撒冷去。有人将要出卖人子,把他交给祭司长和律法师们。他们会判他死罪,并把他交给外族人。 34 他们会嘲弄他,唾吐他,用鞭子抽他,并杀害他。但是此后的第三天,人子将会复活。”

雅各和约翰的请求

35 西庇太的儿子雅各和约翰走过来对耶稣说∶“老师,我们请求您为我们做一些事情。”

36 耶稣问道∶“你们想要我做什么?”

37 两人回答说∶“在您的荣耀中,请准许我们俩一个坐在您右边,一个坐在您左边。”

38 耶稣对他们说∶“你们不知道自己在要求什么。你们能喝下我必须喝的这杯苦酒吗?你们能经受住我必须经受的洗礼吗?”

39 两人回答说∶“我们能。”

于是耶稣说∶“即使你们真的要喝下我的这杯苦酒,你们会经受住我必须经受的洗礼。 40 可是谁能坐在我的左右,不是由我赐予的,上帝已为他选中的人预备了这些位置。”

41 其他十名门徒听到这些,对雅各和约翰俩人非常生气。 42 耶稣把他们叫过来,对他们说∶“非犹太人让人们称他们为统治者。你们知道,那些统治者热衷于炫耀他们统治人民的权力,他们的首领们还热衷于对人民滥用权力。 43 但是,在你们中间,不该这样。谁想在你们当中出人头地,谁就必须甘做你们的仆人。 44 谁想在你们中间居先,谁就必须做众人的奴仆。 45 人子降世,人子来不是让人伺候他的,他来是为了服侍他人的,而且,为了拯救众人,他还牺牲了自己的生命。”

耶稣治愈盲人

46 然后,他们来到了耶利哥。当耶稣与门徒们和一大群人离开的时候,要饭瞎子底买的儿子巴底买正坐在路边。 47 当他听说拿撒勒的耶稣路过,就喊起来∶“大卫的子孙耶稣啊,可怜可怜我吧!”

48 有很多人斥责他,叫他不要作声,可是他反而喊得更响了∶“大卫的子孙,可怜可怜我吧!”

49 耶稣停下脚步说∶“叫他过来。”

他们去叫那瞎子,对他说∶“鼓起勇气,站起来,耶稣叫你呢。” 50 瞎子把衣服扔在一边,一跃而起,来到耶稣面前。

51 耶稣问他∶“你要我为你做什么呢?”

瞎子说∶“老师 [d],我想重获视力。”

52 耶稣说∶“你去吧。你的信仰治愈了你。”瞎子的眼睛立刻复明了,在路上就跟随了耶稣。

Footnotes

  1. 馬 可 福 音 10:6 引自旧约《创世纪》1:27。
  2. 馬 可 福 音 10:8 引自旧约《创世纪》2:24。
  3. 馬 可 福 音 10:19 引自旧约《出埃及记》20:12-16;《申命记》5:16-20。
  4. 馬 可 福 音 10:51 老师: 拉比,或先生。

Yesu Afundisha Kuhusu Talaka

(Mt 19:1-12)

10 Naye aliondoka mahali pale, na kufika katika nchi ya Uyahudi ng'ambo ya Mto Yordani. Na makundi ya watu wakamjia tena na kama alivyofanya daima aliwafundisha.

Kisha baadhi ya Mafarisayo walimwendea na kumwuliza “Je, ni sahihi mtu kumtaliki mkewe?” Nao walimwuliza hivyo ili kumjaribu.

Yesu akawajibu, “Musa aliwapa amri mfanye nini?”

Wakasema, “Musa alimpa ruhusa mume kuandika hati ya kutangua ndoa[a] na kisha kumtaliki mke wake.”

Yesu akawaambia, “Musa aliwaandikia amri hii kwa sababu ninyi ni wakaidi na hamkutaka kuyapokea mafundisho ya Mungu. Lakini tangu mwanzo wa uumbaji wake Mungu ‘aliwaumba mwanaume na mwanamke’.(A) ‘Basi kwa sababu ya hiyo mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, na kujiunga na mkewe. Na hao wawili wataungana pamoja na kuwa mwili mmoja.’(B) Nao si wawili tena bali ni mwili mmoja. Kwa hiyo, mtu yeyote asitenganishe kile ambacho Mungu amekiunganisha pamoja.”

10 Walipokuwa ndani ya nyumba ile kwa mara nyingine, wanafunzi wake wakamwuliza Yesu juu ya jambo hili. 11 Naye akawaambia, “yeyote atakayemtaliki mke wake na kuoa mwanamke mwingine, anazini kinyume cha mkewe. 12 Na ikiwa mke atamtaliki[b] mumewe na kuolewa na mume mwingine, basi naye anafanya zinaa.”[c]

Yesu Awakaribisha Watoto

(Mt 19:13-15; Lk 18:15-17)

13 Nao watu wakawaleta watoto wadogo kwa Yesu, ili aweze kuwawekea mikono na kuwabariki. Hata hivyo wanafunzi wake waliwakemea. 14 Yesu alipoona hayo, alikasirika, na akawaambia, “Waruhusuni watoto hao waje kwangu. Msiwazuie, kwa kuwa ufalme wa Mungu ni wa watu kama hao. 15 Ninawaambia kweli, Yeyote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo anavyoupokea hataweza kuingia ndani yake.” 16 Naye Yesu akawakumbatia watoto kifuani mwake na akaweka mikono yake juu yao na kuwabariki.

Mtu Tajiri Akataa Kumfuata Yesu

(Mt 19:16-30; Lk 18:18-30)

17 Na alipokuwa ameanza safari, mtu mmoja alimkimbilia, akafika na kupiga magoti mbele yake, akamwuliza, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?

18 Yesu akamwuliza, kwa nini unaniita mimi mwema? Hakuna aliye mwema isipokuwa Mungu peke yake. 19 Je, unazijua amri: Usiue, usizini, usiibe, usitoe ushahidi wa uongo, usidanganye wengine, uwaheshimu baba na mama yako.”(C)

20 Naye akamwambia Yesu, “Mwalimu, nimeyatii hayo tangu ujana wangu.”

21 Yesu akamwangalia. Naye akashikwa na upendo kwa mtu yule, na hivyo akamwambia, “umekosa kitu kimoja: Nenda ukaviuze vyote ulivyo navyo kisha ukawape walio maskini, nawe utakuwa umejitunzia hazina mbinguni. Kisha uje ukanifuate.”

22 Yule mtu alisikitishwa sana na usemi huo, na akaondoka kwa huzuni kwa kuwa alikuwa na mali nyingi.

23 Yesu aligeuka kuwatazama wanafunzi wake na kuwaambia wake, “Angalieni jinsi ilivyo vigumu sana kwa walio na mali nyingi kuingia katika ufalme wa Mungu.”

24 Wanafunzi wake walistaajabishwa na maneno yale. Lakini Yesu akawaambia tena, “Wanangu, ni vigumu[d] sana kuuingia ufalme wa Mungu. 25 Kwani ni rahisi kwa ngamia kupita katika tundu la sindano kuliko tajiri kuuingia ufalme wa Mungu.”

26 Nao walistajaabu zaidi, na wakaambiana wao kwa wao, “Ni nani basi atakayeweza kuokolewa?”

27 Huku akiwatazama, Yesu alisema, “Hili haliwezekani kwa wanadamu, lakini kwa Mungu linawezekana, kwa sababu yote yanawezekana kwake Mungu.”

28 Petro akaanza kumwambia, “Tazama! Tumeacha kila kitu tukakufuata.”

29 Yesu akasema, “Nawaambieni kweli: Hakuna aliyeacha nyumba, kaka, dada, mama, baba, watoto au mashamba kwa ajili yangu na kwa ajili ya Injili 30 ambaye hatapata malipo mara mia zaidi katika nyakati hizi; nyumba, kaka, dada, mama, watoto, na mashamba, pamoja na mateso; na uzima wa milele katika kizazi kinachokuja. 31 Lakini wengi walio wa kwanza sasa watakuwa wa mwisho baadaye na wale walio wa mwisho sasa watakuwa wa kwanza baadaye.”

Yesu Azungumza Tena Kuhusu Kifo Chake

(Mt 20:17-19; Lk 18:31-34)

32 Walikuwa wote njiani wakipanda kuelekea Yerusalemu, na Yesu alikuwa akitembea mbele yao. Nao walisumbuka sana. Na wale waliowafuata walikuwa na hofu pia. Kwa mara nyingine Yesu akawachukua wale wanafunzi kumi na mbili pembeni, na akaanza kuwaeleza yale yatakayomtokea Yerusalemu. 33 “Sikilizeni! Tunaelekea hadi Yerusalemu na Mwana wa Adamu atasalitiwa na kutolewa kwa viongozi wa makuhani na walimu wa Sheria, nao watamtia hatiani na kumpa hukumu kifo, kisha watamtoa kwa wale wasio Wayahudi, 34 Nao watamdhihaki, na watamtemea mate, na watamchapa kwa viboko vya ngozi, nao watamwua. Ndipo atafufuka baada ya siku ya tatu.”

Yakobo na Yohana Waomba Kutawala Pamoja na Yesu

(Mt 20:20-28)

35 Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, walimwendea Yesu, wakamwambia, “Mwalimu tunataka utufanyie kile tunachokuomba.”

36 Yesu akawaambia, “Ni kitu gani mnachotaka niwafanyie?”

37 Nao wakamwambia, “Uturuhusu tuketi pamoja nawe katika utukufu wako, mmoja wetu aketi kulia kwako na mwingine kushoto kwako.”

38 Yesu akawaambia, “Hamjui mnachokiomba. Je, mnaweza kukinywea kikombe ninachokinywea[e] mimi? Au mnaweza kubatizwa ubatizo ninaobatizwa?”

39 Wakamwambia, “Tunaweza.”

Kisha Yesu akawaambia, “Mtakinywa kikombe cha mateso ninachokunywa mimi, na mtabatizwa ubatizo[f] ninaobatizwa mimi. 40 Lakini kuhusu kuketi kulia kwangu ama kushoto kwangu siyo mamlaka yangu kusema. Mungu ameandaa nafasi hizo kwa ajili ya wale aliowateuwa.”

41 Wale wanafunzi kumi wengine walipoyasikia maombi haya, waliwakasirikia Yakobo na Yohana. 42 Na Yesu akawaita wale wanafunzi kumi na kusema, “Mnajua kuwa miongoni mwa mataifa watawala huwa na mamlaka makubwa juu ya watu, na viongozi wenye nguvu huwakandamiza watu wao. 43 Haipaswi kuwa hivyo miongoni mwenu. Kwani yeyote atakaye kuwa mkuu miongoni mwenu basi na awe mtumishi wenu. 44 Yeyote anayetaka kuwa wa kwanza miongoni mwenu lazima akubali kuwa mtumwa wenu wote. 45 Kwani hata Mwana wa Adamu hakuja ili kutumikiwa bali alikuja kuwatumikia wengine na kuyatoa maisha yake ili kuwaweka huru wengi.”

Yesu Amponya Asiyeona

(Mt 20:29-34; Lk 18:35-43)

46 Kisha wakafika Yeriko. Yesu alipokuwa akiondoka mjini na wanafunzi wake pamoja na umati wa watu, Bartimayo mwana wa Timayo, ombaomba asiyeona, alikuwa amekaa kando ya barabara. 47 Aliposikia kwamba huyo alikuwa ni Yesu wa Nazareti, alianza kupiga kelele na kusema, “Yesu Mwana wa Daudi, unihurumie!”

48 Na watu wengi walimkemea na kumwambia anyamaze kimya. Lakini yeye alipiga kelele kwa sauti kubwa zaidi na kusema, “Mwana wa Daudi, unihurumie!”

49 Kwa hiyo Yesu akasimama na kusema, “Hebu mwiteni.”

Nao wakamwita yule mtu asiyeona na kumweleza, “Jipe moyo mkuu! Inuka! Yesu anakuita.” 50 Naye akalitupa joho lake, akaruka juu, na akamwendea Yesu.

51 Naye Yesu akamwambia, “Unataka nikufanyie nini?”

Yule mtu asiyeona akamwambia, “Mwalimu, nataka kuona tena.”

52 Hivyo Yesu akamwambia, “Nenda! Imani yako imekuponya.”[g] Na mara akaweza kuona tena, na akamfuata Yesu barabarani.

Footnotes

  1. 10:4 hati ya kutangua ndoa Ama talaka 24:1.
  2. 10:12 atamtaliki Ama kumwacha yaani kutoa talaka. Pia kutaliki ni kutoa talaka, ambayo ni kuandika hati ya kutangua ndoa (tazama mstari 4 hapo juu).
  3. 10:12 zinaa Zinaa ni Kuvunja ahadi ya ndoa kwa kufanya dhambi ya mtu kulala na mtu mwingine asiye mume ama mkewe wa ndoa.
  4. 10:24 vigumu Baadhi ya nakala za zamani za Kiyunani zina “vigumu kwa wale walioweka matumaini yao kwenye utajiri”.
  5. 10:38 kikombe Kikombe ni ishara ya mateso. Yesu alitumia dhana ya kukinywea kikombe akimaanisha kuyakubali mateso ambayo angeyapata katika matukio ya kutisha ambayo yangetokea muda mfupi ujao.
  6. 10:39 ubatizo Neno hili ubatizo lina maana ya kutumbukiza majini, lakini pia lina maana maalumu hapa, ambayo ni kufunikwa, kuwekwa ndani ya ama kufunikwa au kuzikwa mwili wote.
  7. 10:52 imekuponya Kiyunani kinatumia neno hilo hilo kuwa na maana ya neno kuponya na kumaanisha kuokoa.