路加福音 2
Chinese Contemporary Bible (Simplified)
耶稣降生伯利恒
2 那时,凯撒奥古斯都颁下谕旨,命罗马帝国的人民都办理户口登记。 2 这是第一次户口登记,正值居里纽任叙利亚总督。 3 大家都回到本乡办理户口登记。 4 约瑟因为是大卫家族的人,就从加利利的拿撒勒镇赶到犹太地区大卫的故乡伯利恒, 5 要和已许配给他、怀着身孕的玛丽亚一起登记。 6 他们抵达目的地时,玛丽亚产期到了, 7 便生下第一胎,是个儿子。她用布把孩子裹好,安放在马槽里,因为旅店没有房间了。
牧羊人和天使
8 当晚,伯利恒郊外有一群牧羊人正在看守羊群。 9 忽然,主的天使向他们显现,主的荣光四面照着他们,他们非常害怕。 10 天使对他们说:“不要怕!我告诉你们一个有关万民的大喜讯, 11 今天在大卫的城里有一位救主为你们降生了,祂就是主基督! 12 你们将看见一个婴孩包着布躺在马槽里,这就是给你们的记号。”
13 忽然,有一大队天军出现,与那天使一同赞美上帝说:
14 “在至高之处,
愿荣耀归于上帝!
在地上,
愿平安临到祂所喜悦的人!”
15 众天使离开他们升回天上之后,牧羊人便商议说:“我们现在去伯利恒,察看一下主刚才告诉我们的那件事吧!” 16 他们就连忙进城,找到了玛丽亚和约瑟以及躺在马槽里的婴孩。 17 他们看过之后,就把天使告诉他们有关这婴孩的事传开了。 18 听见的人都对牧羊人的话感到惊讶。
19 但玛丽亚把这些事牢记在心里,反复思想。 20 牧羊人在归途中不断地将荣耀归于上帝,赞美祂,因为他们的所见所闻跟天使告诉他们的一样。
奉献圣婴
21 在第八天,婴孩接受了割礼,祂的名字叫耶稣,是玛丽亚怀孕前天使取的。
22 摩西律法规定的洁净期满后,约瑟和玛丽亚把婴孩带到耶路撒冷去献给主, 23 因为主的律法规定:必须把长子分别出来献给主。 24 他们又按照主的律法献上祭物,即一对斑鸠或两只雏鸽。 25 耶路撒冷有一位公义敬虔、有圣灵同在的人名叫希缅,他一直期待着以色列的安慰者到来。 26 圣灵曾启示他:他去世前必能亲眼看见主所立的基督。
27 一天,他受圣灵感动进入圣殿,看见约瑟和玛丽亚抱着婴孩耶稣进来,要依照律法的规定为祂行奉献礼, 28 就把祂抱过来,称颂上帝说:
29 “主啊,现在你的话已经成就,
可以让你的奴仆安然离世了,
30 因为我已亲眼看到你的救恩,
31 就是你为万民所预备的救恩。
32 这救恩是启示外族人的光,
也是你以色列子民的荣耀。”
33 约瑟和玛丽亚听见这番话,感到惊奇。 34 希缅给他们祝福后,就对孩子的母亲玛丽亚说:“看啊,这孩子必使以色列许多人跌倒、许多人兴起。祂将成为众人攻击的对象, 35 好叫许多人的心思意念暴露出来,你自己则会心如刀割。”
36-37 亚设支派中有一位八十四岁高龄的女先知名叫亚拿,是法内利的女儿,婚后七年便开始守寡,之后一直住在圣殿里,禁食祷告,日夜事奉上帝。 38 正在那时,她也前来感谢上帝,并把耶稣的事报告给所有盼望耶路撒冷蒙救赎的人。
39 约瑟和玛丽亚办完了主的律法规定的一切事之后,就回到他们的家乡——加利利的拿撒勒。 40 耶稣渐渐长大,身心强健,充满智慧,上帝的恩典与祂同在。
少年耶稣圣殿论道
41 约瑟和玛丽亚每年都上耶路撒冷去过逾越节。 42 耶稣十二岁那年,跟父母照例上去过节。 43 节期完了,约瑟和玛丽亚便启程回家,他们并不知道少年耶稣仍然留在耶路撒冷, 44 还以为祂跟在同行的人中间。他们走了一天的路后,才开始在亲戚朋友中找祂, 45 结果没有找到,只好回到耶路撒冷。 46 三天后,他们才在圣殿里找到耶稣,祂正和教师们坐在一起,一边听一边问问题。 47 祂的知识和对答令听见的人感到惊奇。 48 约瑟和玛丽亚看见耶稣在那里,大为惊奇。
玛丽亚对祂说:“儿子,你为什么这样对我们呢?你父亲和我急得到处找你!”
49 耶稣对他们说:“你们为什么找我呢?难道你们不知道我应该在我父的家吗?” 50 但他们不明白祂在讲什么。
51 于是,耶稣随父母回到拿撒勒,并顺从他们。玛丽亚把这一切事牢记在心。 52 耶稣渐渐长大,智慧与日俱增,越来越受上帝和人们的喜爱。
Luka 2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Kuzaliwa kwa Yesu
(Mt 1:18-25)
2 Ulikuwa wakati ambapo amri ilitolewa na Kaisari Augusto kwamba watu wote wanaoishi katika utawala wote wa Rumi[a] wahesabiwe na kuorodheshwa[b] katika kumbukumbu za serikali. 2 Orodha hii ilikuwa ya kwanza tangu Kirenio alipokuwa gavana wa Shamu. 3 Kila mtu alikwenda katika mji aliozaliwa ili akahesabiwe na kuingizwa katika orodha hiyo.
4 Hivyo Yusufu alitoka Nazareti, mji uliokuwa katika jimbo la Galilaya na kwenda katika mji wa Bethlehemu uliokuwa katika jimbo la Uyahudi. Pia, mji huu ulijulikana kama mji wa Daudi. Yusufu alikwenda Bethlehemu kwa sababu alikuwa mzaliwa wa ukoo wa Daudi. 5 Yusufu alijiandikisha akiwa pamoja na Mariamu kwani alikuwa tayari amemchumbia ili amwoe. Na Mariamu alikuwa mjamzito. 6 Yusufu na Mariamu walipokuwa Bethlehemu, wakati wa Mariamu kujifungua ulifika. 7 Akamzaa mwanawe wa kwanza. Akamvingirishia nguo vizuri, kisha akamlaza katika hori la kulishia mifugo.[c] Walimweka humo kwa sababu chumba cha wageni kilikuwa kimejaa.
Wachungaji wa Mifugo Wajulishwa Kuhusu Yesu
8 Usiku ule, baadhi ya wachungaji walikuwa mashambani nje ya mji wa Bethlehemu wakilinda kondoo zao. 9 Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukaangaza kuwazunguka, wakaogopa sana. 10 Malaika akawaambia, “Msiogope, kwa kuwa nimewaletea habari njema zitakazowafurahisha watu wa Mungu wote. 11 Kwa sababu leo katika mji wa Daudi amezaliwa Mwokozi, ndiye Kristo,[d] Bwana. 12 Na hivi ndivyo mtakavyomtambua: Mtamkuta mtoto mchanga amevingirishiwa nguo na amelala katika hori la kulishia mifugo.”
13 Kisha malaika pamoja na jeshi kubwa la mbinguni wakaanza kumsifu Mungu, wakisema:
14 “Atukuzwe Mungu juu mbinguni,
na amani iwepo duniani
kwa watu wote wanaompendeza.”
15 Malaika walipoondoka kurudi mbinguni, wale wachungaji wakaambiana wakisema, “Twendeni Bethlehemu, tukalione jambo hili lililotokea, ambalo Bwana ametujulisha.”
16 Wakaenda haraka, wakamkuta Mariamu na Yusufu, na yule mtoto mchanga amelala katika hori la kulishia mifugo. 17 Wachungaji walipomwona huyo mtoto, walisimulia kile walichoambiwa na malaika kuhusu mtoto. 18 Kila aliyesikia maelezo ya wachungaji, alishangaa. 19 Mariamu aliendelea kuyatafakari mambo haya, na kuyaweka moyoni. 20 Wachungaji waliirudia mifugo yao, wakawa wanamsifu na kumshukuru Mungu kwa mambo yote waliyosikia na kuyaona. Ilikuwa kama walivyoambiwa na malaika.
21 Ilipofika siku ya nane mtoto alitahiriwa, akaitwa Yesu. Hili ndilo jina alilopewa na malaika kabla mama yake hajaibeba mimba yake.
Yesu Atambulishwa Hekaluni
22 Muda wa kutakaswa ulimalizika, kama ilivyotakiwa na Sheria ya Musa baada ya mtoto kuzaliwa.[e] Baada ya hapo walimpeleka Yesu Yerusalemu na kumweka mbele za Bwana. 23 Kama ilivyoandikwa katika sheria ya Bwana: Mzaliwa wa kwanza akiwa mtoto wa kiume, atolewe wakfu kwa ajili ya Bwana.[f] 24 Pia Mariamu na Yusufu walikwenda Yerusalemu kutoa dhabihu kama Sheria ya Bwana inavyosema kuwa, “Ni lazima utoe dhabihu ya jozi moja ya hua[g] au makinda mawili wa njiwa.”
Simeoni Amwona Yesu
25 Alikuwepo mtu mmoja aliyeishi katika mji wa Yerusalemu, mtu huyu aliitwa Simeoni. Alikuwa mtu mwema na mcha Mungu na Roho Mtakatifu alikuwa pamoja naye. Alikuwa akiusubiri wakati ambao Mungu angeisaidia Israeli. 26 Roho Mtakatifu alimwambia kwamba asingekufa kabla ya kumwona Masihi kutoka kwa Bwana. 27 Roho Mtakatifu alimwongoza mpaka Hekaluni. Hivyo, alikuwemo Hekaluni wakati Mariamu na Yusufu walipomleta mtoto Yesu ili wamfanyie kama ilivyotakiwa katika Sheria ya Kiyahudi. 28 Simeoni alimbeba mtoto Yesu mikononi mwake, akamshukuru Mungu na kusema,
29 “Sasa, Bwana, niruhusu mimi mtumishi wako nife kwa amani
kwa kuwa umeitimiza ahadi yako kwangu.
30 Nimeona kwa macho yangu namna utakavyowaokoa watu wako.
31 Sasa watu wote wanaweza kuuona mpango wako.
32 Yeye ni mwanga wa kuionesha njia yako kwa mataifa mengine,
na atawaletea heshima watu wako Israeli.”
33 Mariamu na Yusufu walishangazwa sana na maneno aliyosema Simeoni kuhusu Yesu. 34 Kisha Simeoni akawabariki, akamwambia Mariamu; “Wayahudi wengi wataanguka na wengi watainuka kwa sababu ya mtoto huyu. Atakuwa ishara kutoka kwa Mungu, lakini baadhi ya watu watamkataa. 35 Mawazo ya siri ya watu wengi yatajulikana. Na mambo yatakayotokea yatakuumiza, kama upanga unaokuchoma moyoni.”
Ana Amwona Yesu
36 Alikuwapo nabii aliyeitwa Ana binti Fanueli, kutoka katika kabila la Asheri. Alikuwa mwanamke mzee sana. Aliishi na mume wake kwa miaka saba, 37 kabla ya mume wake kufa na kumwacha peke yake. Na sasa alikuwa na umri wa miaka themanini na nne. Ana alikuwa Hekaluni daima, hakutoka. Alimwabudu Mungu kwa kufunga na kuomba usiku na mchana.
38 Simeoni alipokuwa anazungumza na Yusufu na Mariamu, Ana alikwenda walipokuwa na akaanza kumsifu Mungu na kuwaambia kuhusu Yesu watu wote waliokuwa wanasubiri Mungu kuikomboa Yerusalemu.
Yusufu, Mariamu na Yesu Warudi Nyumbani
39 Yusufu na Mariamu walipotimiza mambo yote yanayotakiwa katika sheria ya Bwana, walirudi Galilaya, katika mji wao wa Nazareti. 40 Mtoto Yesu aliendelea kukua na kuwa kijana mwenye nguvu na aliyejaa hekima nyingi. Na Mungu alikuwa anambariki.
Yesu Akiwa Mvulana
41 Kila mwaka wazazi wa Yesu walikwenda Yerusalemu kwa ajili ya sikukuu ya Pasaka. 42 Yesu alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, walikwenda kwenye sikukuu kama ilivyokuwa desturi ya Kiyahudi. 43 Sikukuu ilipokwisha, walirudi nyumbani, lakini Yesu alibaki Yerusalemu bila wazazi wake kutambua. 44 Walianza kumtafuta kwa jamaa na rafiki zao baada ya kusafiri kutwa nzima, wakidhani kuwa alikuwa pamoja nao katika msafara. 45 Walipomkosa, walirudi Yerusalemu kumtafuta.
46 Ikawa baada ya siku tatu wakamkuta Hekaluni, amekaa katikati ya walimu wa dini, akiwasikiliza na kuwauliza maswali. 47 Na wote waliomsikiliza walishangazwa sana kwa ufahamu wake na majibu yake ya busara. 48 Wazazi wake walipomwona walishangaa pia, ndipo mama yake akamwambia, “Mwanangu, kwa nini umefanya hivi? Mimi na baba yako tulikuwa na wasiwasi sana, na tumekuwa tukikutafuta.”
49 Yesu akawaambia, “Kwa nini mlikuwa mnanitafuta? Mnapaswa kujua kuwa inanilazimu kuwemo nyumbani mwa Baba yangu?” 50 Lakini wao hawakuelewa alichowaambia.
51 Yesu alirudi pamoja nao mpaka Nazareti, naye alikuwa akiwatii. Mama yake aliendelea kuyaweka mambo haya yote moyoni mwake. 52 Naye Yesu akakua katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Footnotes
- 2:1 Rumi Au “dola ya ulimwengu ya Rumi”.
- 2:1 wahesabiwe na kuorodheshwa Yaani, “Sensa”, lengo hasa ilikuwa waorodheshwe katika kumbukumbu za serikali kwa ajili ya kulipa kodi.
- 2:7 hori la kulishia mifugo Sehemu au chombo cha kulishia mifugo. Pia katika mstari wa 12 na 16.
- 2:11 Kristo Kwa maana ya kawaida “Kristo”, ni tafsiri ya Kiyunani ya neno la Kiebrania “Masihi” linalomaanisha “Mpakwa Mafuta”, ambapo katika Agano la Kale linawakilisha sherehe ya kupakwa mafuta (Kuwekwa Wakfu) mfalme mpya. Pia linamaanisha Mfalme Mteule. Tazama Kristo na Masihi katika Orodha ya Maneno. Pia katika mstari wa 26 na katika kitabu chote hiki.
- 2:22 baada ya mtoto kuzaliwa Sheria ya Musa iliagiza kuwa ifikapo siku 40 baada mwanamke wa Kiyahudi kuzaa mtoto, yule mtoto anapaswa kutakaswa kwa sherehe maalumu Hekaluni. Tazama Law 12:2-8.
- 2:23 wakfu kwa ajili ya Bwana Tazama Kut 13:2,12.
- 2:24 hua Hua (au tetere) ni njiwa wa porini, ni wadogo kuliko wale wanaofugwa na huruka kwa mwendo kasi. Imenukuliwa kutoka Law 12:8.
路加福音 2
Chinese Contemporary Bible (Traditional)
耶穌降生伯利恆
2 那時,凱撒奧古斯都頒下諭旨,命羅馬帝國的人民都辦理戶口登記。 2 這是第一次戶口登記,正值居里紐任敘利亞總督。 3 大家都回到本鄉辦理戶口登記。 4 約瑟因為是大衛家族的人,就從加利利的拿撒勒鎮趕到猶太地區大衛的故鄉伯利恆, 5 要和已許配給他、懷著身孕的瑪麗亞一起登記。 6 他們抵達目的地時,瑪麗亞產期到了, 7 便生下第一胎,是個兒子。她用布把孩子裹好,安放在馬槽裡,因為旅店沒有房間了。
牧羊人和天使
8 當晚,伯利恆郊外有一群牧羊人正在看守羊群。 9 忽然,主的天使向他們顯現,主的榮光四面照著他們,他們非常害怕。 10 天使對他們說:「不要怕!我告訴你們一個有關萬民的大喜訊, 11 今天在大衛的城裡有一位救主為你們降生了,祂就是主基督! 12 你們將看見一個嬰孩包著布躺在馬槽裡,這就是給你們的記號。」
13 忽然,有一大隊天軍出現,與那天使一同讚美上帝說:
14 「在至高之處,
願榮耀歸於上帝!
在地上,
願平安臨到祂所喜悅的人!」
15 眾天使離開他們升回天上之後,牧羊人便商議說:「我們現在去伯利恆,察看一下主剛才告訴我們的那件事吧!」 16 他們就連忙進城,找到了瑪麗亞和約瑟以及躺在馬槽裡的嬰孩。 17 他們看過之後,就把天使告訴他們有關這嬰孩的事傳開了。 18 聽見的人都對牧羊人的話感到驚訝。
19 但瑪麗亞把這些事牢記在心裡,反覆思想。 20 牧羊人在歸途中不斷地將榮耀歸於上帝,讚美祂,因為他們的所見所聞跟天使告訴他們的一樣。
奉獻聖嬰
21 在第八天,嬰孩接受了割禮,祂的名字叫耶穌,是瑪麗亞懷孕前天使取的。
22 摩西律法規定的潔淨期滿後,約瑟和瑪麗亞把嬰孩帶到耶路撒冷去獻給主, 23 因為主的律法規定:必須把長子分別出來獻給主。 24 他們又按照主的律法獻上祭物,即一對斑鳩或兩隻雛鴿。 25 耶路撒冷有一位公義敬虔、有聖靈同在的人名叫希緬,他一直期待著以色列的安慰者到來。 26 聖靈曾啟示他:他去世前必能親眼看見主所立的基督。
27 一天,他受聖靈感動進入聖殿,看見約瑟和瑪麗亞抱著嬰孩耶穌進來,要依照律法的規定為祂行奉獻禮, 28 就把祂抱過來,稱頌上帝說:
29 「主啊,現在你的話已經成就,
可以讓你的奴僕安然離世了,
30 因為我已親眼看到你的救恩,
31 就是你為萬民所預備的救恩。
32 這救恩是啟示外族人的光,
也是你以色列子民的榮耀。」
33 約瑟和瑪麗亞聽見這番話,感到驚奇。 34 希緬給他們祝福後,就對孩子的母親瑪麗亞說:「看啊,這孩子必使以色列許多人跌倒、許多人興起。祂將成為眾人攻擊的對象, 35 好叫許多人的心思意念暴露出來,你自己則會心如刀割。」
36-37 亞設支派中有一位八十四歲高齡的女先知名叫亞拿,是法內利的女兒,婚後七年便開始守寡,之後一直住在聖殿裡,禁食禱告,日夜事奉上帝。 38 正在那時,她也前來感謝上帝,並把耶穌的事報告給所有盼望耶路撒冷蒙救贖的人。
39 約瑟和瑪麗亞辦完了主的律法規定的一切事之後,就回到他們的家鄉——加利利的拿撒勒。 40 耶穌漸漸長大,身心強健,充滿智慧,上帝的恩典與祂同在。
少年耶穌聖殿論道
41 約瑟和瑪麗亞每年都上耶路撒冷去過逾越節。 42 耶穌十二歲那年,跟父母照例上去過節。 43 節期完了,約瑟和瑪麗亞便啟程回家,他們並不知道少年耶穌仍然留在耶路撒冷, 44 還以為祂跟在同行的人中間。他們走了一天的路後,才開始在親戚朋友中找祂, 45 結果沒有找到,只好回到耶路撒冷。 46 三天後,他們才在聖殿裡找到耶穌,祂正和教師們坐在一起,一邊聽一邊問問題。 47 祂的知識和對答令聽見的人感到驚奇。 48 約瑟和瑪麗亞看見耶穌在那裡,大為驚奇。
瑪麗亞對祂說:「兒子,你為什麼這樣對我們呢?你父親和我急得到處找你!」
49 耶穌對他們說:「你們為什麼找我呢?難道你們不知道我應該在我父的家嗎?」 50 但他們不明白祂在講什麼。
51 於是,耶穌隨父母回到拿撒勒,並順從他們。瑪麗亞把這一切事牢記在心。 52 耶穌漸漸長大,智慧與日俱增,越來越受上帝和人們的喜愛。
路 加 福 音 2
Chinese New Testament: Easy-to-Read Version
耶稣降生
2 那时候,罗马皇帝凯撒奥古士都下令,整个罗马帝国的人们都必须办理户口登记注册 [a],以便对人口进行普查统计。 2 这是第一次人口普查登记。当时正值居里扭做叙利亚总督, 3 因此,所有的人都回到自己的家乡去登记。
4 所以约瑟也离开加利利的拿撒勒城,到了犹太地区的一个叫伯利恒的城镇,此城是大卫家族的城镇。因为他是大卫家族的人,所以他到了那里。 5 他和马利亚一起去登记,因为马利亚已经许聘给了他,此时她正怀着孕。 6 他们在那里时,马利亚的产期到了, 7 生下了第一个儿子。因为客店没有地方容纳他们,她便把孩子用布包裹起来,放在马槽里。
牧羊人听说耶稣降临
8 一些牧羊人夜间露宿在野地里,照看羊群。 9 主的一个天使出现在他们面前,主的荣光照耀在他们的周围,牧羊人都非常惊恐。 10 天使对他们说∶“不要害怕,我给你们带来了好消息。这个消息也将给普天下的人们带来极大的喜悦。 11 因为今天在大卫城里你们的救世主诞生了,他就是主基督。 12 你们在马槽里将发现有个用布包着的婴儿躺在那里,那就是给你们的记号。”
13 突然,一队天兵和天使一起出现,他们齐声称颂道:
14 “荣耀归于至高无上的上帝,
和平赐给在地上他所喜爱的人们。”
15 然后,天使离开他们,返回了天上。牧羊人互相说道∶“我们到伯利恒去看看主告诉我们已经发生的事情吧。”
16 于是,这些牧羊人就急急忙忙赶到了那里,找到了马利亚和约瑟,也看见了躺在马槽里的婴儿。 17 他们看到这个婴儿后,就把天使讲的关于这个婴儿的事情告诉了大家。 18 人们都为牧羊人告诉他们的事情感到惊讶。 19 但是,马利亚却把这些事情记在心上,反复地琢磨着。 20 牧羊人回去后,都为他们的所见所闻赞美上帝,因为他们耳闻目睹的事情正与天使所说的完全一致。
21 婴儿出生后的第八天,便受了割礼,取名叫耶稣,这个名字是天使在马利亚怀孕以前就为他取好了的。
在大殿里呈献耶稣
22 按照摩西律法,到了洁净的日子 [b]了。约瑟和马利亚带着孩子一起去耶路撒冷。他们要把他呈献在主的面前。 23 因为主的律法中写道∶“每家的长子应该呈献给主 [c]。” 24 主的律法还说,他们必须奉献祭物∶“必须为主献上一对鸽子 [d]或两只幼鸽 [e]。”
西面见到耶稣
25 耶路撒冷城里有一个名叫西面的人,他是一个公正、虔诚的人,一直期待着上帝帮助以色列。圣灵与他同在。 26 圣灵向他揭示:他死之前,将会看到主耶稣基督。 27 圣灵引导西面来到大殿院里,与此同时,约瑟和马利亚也把他们的孩子抱进了大殿院,正准备按照律法履行所规定的事项。 28 西面把孩子抱在怀里,赞美上帝道:
29 “主啊,就按您的许诺,
让您的仆人安然地死去吧!
30 因为我已经亲眼看见了您的拯救 [f]。
31 那是您在万民面前准备的。
32 他是一盏明灯,
为外族人带来了启示,
为您的子民以色列带来荣誉。”
33 耶稣的父母听到关于耶稣的话,感到十分惊讶。 34 西面又为他们祝福,并对马利亚说∶“这个孩子命中注定要使许多以色列人兴衰,他也注定是一个被抛弃的迹象, 35 (他也是一把刺穿你们内心的利剑),揭露许多人的内心思想。”
亚拿见到耶稣
36 当时还有一个名叫亚拿的女先知,她是亚设族人法内力的女儿。亚拿已经很老了,她只与丈夫一起生活了七年,就寡居了, 37 她现在八十四岁。她从未离开过大殿,通过禁食 [g]和祈祷,日日夜夜崇拜上帝。
38 此刻,亚拿来到孩子和他父母那里,向上帝谢恩,并把关于耶稣的事情告诉给那些等待着耶路撒冷得到拯救的所有人们。
约瑟和马利亚回家
39 约瑟和马利亚按照主的律法,完成一切所规定的事,然后,返回了加利利,到了他们的家乡拿撒勒。 40 耶稣渐渐长大了,强壮而有智慧,上帝的恩典与他同在。
少年耶稣
41 耶稣的父母每年都到耶路撒冷去过逾越节。 42 在他十二岁那年,父母又像往常一样去过节。 43 节期结束后,约瑟和马利亚动身回家了。耶稣却留在了耶路撒冷,他父母并不知道这事, 44 还以为他走在同行的人群里。他们走了一整天后,才开始在亲戚、朋友群里找耶稣, 45 但没有找到他。因此,他们又返回了耶路撒冷去找耶稣。 46 三天后,他们在大殿院里找到了耶稣。当时,他正坐在老师们中间,边听边问。 47 所有在场的人都对耶稣的理解力和应对能力感到非常惊讶。 48 约瑟和马利亚在那里找到耶稣,十分吃惊。马利亚对耶稣说∶“儿子,你为什么要离开我们呢?你父亲和我都在非常焦急地寻找你。”
49 可是,耶稣却对他们说∶“你们为什么要找我呢?难道你们不知道,我必须在我父亲的家里吗?” 50 约瑟和马利亚并不明白这话的含意。
51 耶稣与父母一起回到了拿撒勒。他很听话,事事顺从父母。马利亚把这一切都记在了心上。 52 耶稣身体和智慧随年龄增长着,并且深受上帝和人们的喜爱。
Footnotes
- 路 加 福 音 2:1 户口登记注册: 所有人和他们的财产的计算。
- 路 加 福 音 2:22 洁净的日子: 摩西律法说犹太人妇女生育后的四十天,她得在大殿里接受洁净仪式。见《利末记》12:2-8。
- 路 加 福 音 2:23 引自《出埃及记》13:2。
- 路 加 福 音 2:24 鸽子: 此处指和平鸽。
- 路 加 福 音 2:24 引自《利末记》12:8。
- 路 加 福 音 2:30 拯救: 耶稣的名字意为拯救。
- 路 加 福 音 2:37 禁食: 在一段特定的时间里,祈祷而不进饮食。
Chinese Contemporary Bible Copyright © 1979, 2005, 2007, 2011 by Biblica® Used by permission. All rights reserved worldwide.
© 2017 Bible League International
Copyright © 2004 by World Bible Translation Center