羅馬書 9
Chinese Contemporary Bible (Traditional)
上帝的選民
9 我在基督裡說真話,絕無謊言。我被聖靈感動的良心可以作證, 2 我心裡極為憂愁,痛苦不止! 3 為了我的弟兄——我的同胞以色列人,即使我自己被咒詛、與基督隔絕,我也願意! 4 身為以色列人,他們擁有上帝兒子的名分、上帝的榮耀、諸約、律法、聖殿敬拜和各種應許。 5 蒙揀選的族長是他們的先祖,基督降世為人也是做以色列人。祂是至大至尊,永遠當受稱頌的上帝。阿們!
6 當然,這並不表示上帝的話落了空,因為從以色列生的,不一定都是以色列人, 7 亞伯拉罕的後裔不一定都是亞伯拉罕的兒女,聖經上說:「以撒生的才可算為你的後裔。」 8 這話的意思是:亞伯拉罕憑血氣所生的兒女並不是上帝的兒女,只有憑應許所生的才算是他的後裔。 9 因為上帝曾這樣應許他:「明年這時候,我會再來,撒拉必生一個兒子。」
10 後來,利百加和我們的先祖以撒結婚,懷了雙胞胎。 11 在這對孩子還未出生,還沒有顯出誰善誰惡之前,上帝為了顯明自己揀選人並不是按人的行為,而是按祂自己的旨意, 12 便對利百加說:「將來大的要服侍小的。」 13 正如聖經上說:「我愛雅各,厭惡以掃。」
14 這樣看來,我們該怎麼下結論呢?難道上帝不公平嗎?當然不是。 15 祂曾對摩西說:
「我要憐憫誰就憐憫誰,
要恩待誰就恩待誰。」
16 可見這並不在於人的意志和努力,而在於祂的憐憫。 17 聖經記載著上帝對法老說的話:「我使你興起是為了在你身上彰顯我的權能,使我的名傳遍天下。」 18 總之,上帝要憐憫誰,就憐憫誰;要叫誰頑固,就叫誰頑固。
上帝的烈怒和憐憫
19 這樣,你肯定會對我說:「為什麼上帝還指責人呢?誰能抗拒祂的旨意呢?」 20 你這個人啊!你是誰啊?竟敢頂撞上帝!受造之物怎能對造物主說:「你為什麼把我造成這樣?」 21 陶匠難道不可以從一團泥中拿一部分造貴重的器皿,又拿一部分造平凡的器皿嗎?
22 倘若上帝要顯示祂的烈怒和權能,就儘量容忍那些祂預備要毀滅的器皿, 23 以便在那些祂憐憫並預備賜予榮耀的器皿上彰顯祂豐盛的榮耀,這難道不可以嗎? 24 那些蒙憐憫的器皿就是我們這些從猶太人和外族人中被上帝呼召的人。 25 正如上帝在《何西阿書》上說:
「本來不是我子民的,
我要稱他們為『我的子民』;
本來不是我所愛的,
我要稱他們為『我所愛的』。
26 從前我在什麼地方對他們說,
『你們不是我的子民。』
將來也要在那裡對他們說,
『你們是永活上帝的兒女。』」
27 關於以色列人,以賽亞先知曾疾呼:
「以色列人雖多如海沙,
但得救的只是剩餘的人,
28 因為上帝要在世上迅速、
徹底地執行祂的判決。」
29 以賽亞又說:
「若不是萬軍之主給我們存留後裔,
我們早就像所多瑪和蛾摩拉一樣滅亡了。」
以色列人和福音
30 這樣看來,我們該說什麼呢?本來不追求義的外族人卻因信而得到了義。 31 以色列人靠遵行律法追求義,卻徒勞無功。 32 為什麼會這樣呢?因為他們不憑信心,只靠自己的行為去追求義,結果就在那塊「絆腳石」上跌倒了。 33 正如聖經上說:
「看啊!我在錫安放了一塊絆腳石,
一塊使人跌倒的磐石。
但信靠祂的人必不致蒙羞。」
Warumi 9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mungu na Wayahudi
9 Nazungumza nayi sasa kama mmojawapo niliye wa Kristo. Hivyo mnaweza kuwa na uhakika kuwa sisemi uongo. Dhamiri yangu, inayotawaliwa na Roho Mtakatifu, inakubali kwamba ninayowaambia sasa ni kweli. 2 Nimejawa na huzuni na maumivu ya moyoni yasiyokwisha 3 kwa ajili ya watu wangu. Wao ni kaka na dada zangu katika mwili. Natamani ningeweza kuwasaidia. Ningekuwa tayari pia kuomba kupokea laana ya kutengwa na Kristo kama hiyo itaweza kuwasaidia. 4 Ni Waisraeli, watoto waliochaguliwa na Mungu. Wameushuhudia utukufu wa Mungu na wanashiriki maagano aliyofanya Mungu na watu wake. Mungu aliwapa Sheria ya Musa, ibada ya Hekalu, na ahadi zake. 5 Ni wazaliwa wa mababa zetu wakuu, na ni familia ya kidunia ya Masihi,[a] ambaye ni Mungu aliye juu ya vyote. Yeye asifiwe milele![b] Amina.
6 Sina maana kuwa Mungu alishindwa kutimiza ahadi yake kwa Wayahudi. Lakini kwa hakika ni baadhi tu ya Waisraeli ndiyo watu wa Mungu[c]. 7 Na hivyo ni baadhi tu ya watoto wa Ibrahimu ndiyo wazaliwa wake halisi. Hivi ndivyo Mungu alimwambia Ibrahimu: “Wazaliwa wako halisi watakuwa wale waliotoka kwa Isaka.”(A) 8 Hii ina maana kuwa si watoto wote wa Ibrahimu walio watoto halisi wa Mungu. Wazaliwa halisi wa Ibrahamu ni wale wanaofanyika watoto wa Mungu kwa sababu ya agano ambalo Mungu alililiweka na Ibrahamu. 9 Hivi ndivyo Mungu alivyosema katika agano hilo: “Wakati kama huu mwaka ujao nitakujia tena, na Sara mke wako atazaa mwana.”(B)
10 Na si hivyo tu. Kitu kama hicho kilimtokea Rebeka ambaye baada ya kupata mimba ya wana wawili mapacha waliotokana na baba mmoja, baba yetu Isaka. 11-12 Ndiyo, kabla ya kuzaliwa wana hao mapacha, Mungu alimwambia Rebeka, “Mwana mkubwa atamtumikia mdogo.”(C) Hii ilikuwa kabla wavulana hawa hawajatenda jambo lolote jema au baya. Mungu alisema hivi kabla hawajazaliwa ili kwamba mvulana ambaye Mungu alimtaka atachaguliwa kutokana na mpango wa Mungu mwenyewe. Mvulana huyu alichaguliwa kwa sababu ndiye ambaye Mungu alitaka kumwita, si kwa sababu ya jambo lolote walilofanya wavulana hao. 13 Kama Maandiko yanavyosema, “Nilimpenda Yakobo lakini nilimchukia Esau.”(D)
14 Namsikia mtu akiuliza, “Hivyo hii ina maana gani? Je, Mungu si mwenye haki?” Hapana! 15 Mungu alimwambia Musa, “Nitampa rehema yeyote ninayetaka kumpa rehema. Nitamhurumia yeyote ninayemchagua.”(E) 16 Hivyo Mungu atamchagua yeyote anayeamua kumpa rehema pasipo kujali watu wanataka nini ama kwa jinsi gani wanapiga mbio. 17 Katika Maandiko Mungu anamwambia Farao: “Nilikuweka uwe mfalme kwa kusudi hili hasa: kuonesha nguvu zangu kupitia kwako. Nilitaka jina langu litangazwe ulimwenguni kote”(F) 18 Hivyo Mungu huwarehemu wale anaotaka kuwarehemu na huwafanya jeuri wale anaotaka wawe jeuri.
19 Hivyo utaniuliza, “Ikiwa unayosema ni kweli, kwa nini Mungu amlaumu mtu yeyote kwa kufanya makosa? Hayupo anayeweza kukataa kufanya yale anayotaka Mungu, Je, yupo?” 20 Hilo si la kuuliza. Wewe ni mwanadamu tu na huna haki ya kumhoji Mungu. Chungu hakiwezi kumhoji aliyekifinyanga. Hakiwezi kusema, “Kwa nini ulinifinyanga hivi?” 21 Yeye aliyefinyanga chungu anaweza kufinyanga kitu chochote anachotaka. Anautumia udongo ule ule wa mfinyanzi kufinyanga vitu mbalimbali. Anaweza kufinyanga kitu kimoja kwa makusudi maalumu na kingine kwa matumizi ya kila siku.
22 Ni kwa jinsi hiyo hiyo Mungu amefanya. Alitaka kuionesha hasira yake na kuwafanya watu waone nguvu zake. Lakini kwa uvumilivu wake aliwastahimili wale waliomuudhi, watu waliokuwa tayari kuangamizwa. 23 Alingoja kwa uvumilivu ili aweze kuutangaza utajiri wa utukufu wake kwa watu aliowachagua wapokee rehema zake. Mungu alikwisha waandaa kuushiriki utukufu wake. 24 Sisi ndiyo watu hao, ambao Mungu alituchagua si tu kutoka kwa Wayahudi lakini pia kutoka kwa wale wasio Wayahudi. 25 Kama Mungu anavyosema katika kitabu cha Hosea,
“Watu wasiokuwa wangu,
nitasema ni watu wangu.
Na watu ambao sikuwapenda,
nitasema ni watu ninaowapenda.(G)
26 Na pale Mungu aliposema zamani:
‘Ninyi si watu wangu’;
hapo wataitwa watoto wa Mungu aliye hai.”(H)
27 Na Isaya huililia Israeli:
“Wako watu wengi sana wa Israeli,
kuliko mchanga ulio pwani ya baharini.
Lakini wachache wao watakaookolewa.
28 Ndiyo, Bwana atakamilisha kwa haraka
aliyosema atayafanya duniani.”(I)
29 Ni kama vile alivyosema Isaya:
“Ikiwa Bwana Mwenye Uweza wote
asingewaruhusu watu wachache wakaishi,
tungekuwa tumeangamizwa kabisa,
kama vile miji miovu ya Sodoma, na Gomora.”(J)
30 Hivyo haya yote yanamaanisha nini? Je, tunasema kwamba watu wasio Wayahudi walifanikiwa kukipata kibali cha Mungu, hata kama hawakuwa wakijaribu kukipata kibali hicho? Ndiyo. Walipata kibali hicho kwa sababu ya imani kwa Mungu. 31 Na vipi kuhusu watu wa Israeli? Wao walitaka kujipatia kibali cha Mungu kwa kuifuata sheria. Je, tunasema kuwa hawakufanikiwa? 32 Ndiyo, na sababu yake ni hii: Walijitahidi kukipata kwa kufanya kwa usahihi mambo yote yaliyoamriwa katika sheria badala ya kumtumaini Mungu. Walijikwaa kwenye jiwe linalowafanya watu waanguke. 33 Maandiko yanazungumza kuhusu jiwe hilo:
“Tazama, ninaweka jiwe katika Sayuni litakalowafanya watu wajikwae.
Ni mwamba utakaowaangusha watu.
Lakini yeyote atakayemtumaini yeye
hataaibika kamwe.”(K)
Footnotes
- 9:5 Masihi Kwa maana ya kawaida, “Kristo”, tafsiri ya Kiyunani kwa neno “Masihi”. Tazama Kristo na Masihi katika Orodha ya Maneno.
- 9:5 Masihi, ambaye … milele Au “Masihi. Mungu, anayevitawala vitu vyote, asifiwe milele!”
- 9:6 watu wa Mungu Kwa maana ya kawaida, “Israeli”, watu aliowachagua Mungu ili kuleta baraka ulimwenguni.
羅 馬 書 9
Chinese New Testament: Easy-to-Read Version
上帝与犹太人
9 我在基督里说实话,我不撒谎,我那被圣灵照亮的良知可以为我作证。 2 我为了犹太人,内心感到痛苦不堪,忧伤不止。 3 他们是我的兄弟姐妹、骨肉之亲,但愿我能帮助他们。如果我能帮助他们,我情愿遭受诅咒,和基督分开。 4 他们是以色列人 [a],他们是上帝挑选的孩子。他们有上帝的荣耀,有上帝亲自与他们订立的契约。上帝赐给了他们摩西律法、崇拜大殿的礼拜和他的许诺。 5 他们是我们伟大的先父们的后代,从凡人的角度来说,他们是基督的家族的成员,基督是凌驾于一切的上帝。永远赞美他,阿们!
6 我并不是说上帝没有实践他给犹太人的诺言,但是,只有部分以色列人实际上是真正的以色列人 [b], 7 只有部分亚伯拉罕的后代是他的真正的儿女。正如上帝对亚伯拉罕所说∶“经以撒所延续的后裔,才是你的后代。” 8 此话含义是,不是所有的亚伯拉罕后代都是上帝真正的孩子。亚伯拉罕的真正孩子是那些成为上帝的孩子的人—因为上帝对亚伯拉罕的诺言,他们才成为上帝的孩子。 9 在诺言中,上帝说∶“大概明年这个时候,我会回来,撒拉将生个儿子。” [c]
10 不但如此,利百加还生了两个儿子,他们的父亲是我们的祖先以撒。
14 那么我们该说什么呢?上帝不公平吗?当然不是。 15 因为他对摩西说∶“我要施仁慈给谁就给谁;我要怜悯谁就怜悯谁。” 16 所以,上帝的选择不是根据某人的愿望或努力所决定的,而是出于上帝的仁慈。 17 上帝在《经》里对法老说∶“我抬举你到这个位置是为了这个目的:通过你显示我的力量,使我的名字传遍世界。” 18 所以,他要施仁慈给谁就给谁,要使谁顽固就使谁顽固。
19 那么你们当中会有人问: "“既然上帝支配我们的行为,那么为什么他还要责怪我们的罪恶呢?" 20 不要这么问。你们只不过是凡人,没有权力质问上帝。一个瓦罐怎么能对制造它的人说∶“你为什么把我造成这个样子呢?” 21 造瓦罐的人可随意制造他要造的东西,他用同一团泥土造出不同的东西。他可以用它造一个特殊的器皿,也可以用它造一个日常用的普通器皿。
22 同样,上帝所做的也是如此。他过去要显示出他的愤怒,让人们知晓他的权力,但是,他还是以极大的耐心,宽容了使他发怒的人们—也就是那些本应被毁掉的人们。 23 上帝过去忍耐着,以便使他丰盛的荣耀为人所知,这些人是他挑选去领受他仁慈的人,上帝事先已准备了他们去分享这荣耀。 24 我们就是受到上帝挑选的那些人,我们不但来自犹太人,而且也来自非犹太人, 25 就像他在《何西阿书》中所说的那样:
“那些不曾是我的子民的人,
我将称他们为我的子民;
不曾被爱的人们,
我将要称他们是我所爱的人。” (A)
26 “在同一处,上帝说道:
‘你们不是我的子民—’
在那里他们将被称为活生生的上帝的儿女。” (B)
27 以赛亚对以色列 [d]呼唤道:
“虽然以色列的后代像海沙那么多,
数不胜数,但是,却只有一小部分人将会得救。
28 因为主将迅速彻底地执行降临在地上的判决。” (C)
29 正如以赛亚预言的那样:
“假如万能的主没有给我们留下后代,
我们早就像所多玛和蛾摩拉一样了。” (D)
30 那么,这是什么意思呢?这意思是:非犹太人因为他们的信仰得到上帝的认可,尽管他们自己不追求得到上帝的认可。 31 而靠遵守摩西律法企图得到上帝认可的以色列人却没有成功。 32 为什么呢?因为他们企图凭自己的行为、而没有凭信赖上帝去得到上帝的认可,结果他们跌在那块绊脚石上了。 33 就像《经》上谈到那块绊脚:
Footnotes
- 羅 馬 書 9:4 以色列人: 犹太民族。
- 羅 馬 書 9:6 上帝的子民: 以色列人,上帝选择他们把祝福带到世上。
- 羅 馬 書 9:9 引自:《创世记》。
- 羅 馬 書 9:27 以色列人: 犹太民族。
- 羅 馬 書 9:33 锡安: 以色列人的另一个名字,即上帝子民之城。
© 2017 Bible League International
Copyright © 2004 by World Bible Translation Center