上帝的選民

我在基督裡說真話,絕無謊言。我被聖靈感動的良心可以作證, 我心裡極為憂愁,痛苦不止! 為了我的弟兄——我的同胞以色列人,即使我自己被咒詛、與基督隔絕,我也願意! 身為以色列人,他們擁有上帝兒子的名分、上帝的榮耀、諸約、律法、聖殿敬拜和各種應許。 蒙揀選的族長是他們的先祖,基督降世為人也是做以色列人。祂是至大至尊,永遠當受稱頌的上帝。阿們!

當然,這並不表示上帝的話落了空,因為從以色列生的,不一定都是以色列人, 亞伯拉罕的後裔不一定都是亞伯拉罕的兒女,聖經上說:「以撒生的才可算為你的後裔。」 這話的意思是:亞伯拉罕憑血氣所生的兒女並不是上帝的兒女,只有憑應許所生的才算是他的後裔。 因為上帝曾這樣應許他:「明年這時候,我會再來,撒拉必生一個兒子。」

10 後來,利百加和我們的先祖以撒結婚,懷了雙胞胎。 11 在這對孩子還未出生,還沒有顯出誰善誰惡之前,上帝為了顯明自己揀選人並不是按人的行為,而是按祂自己的旨意, 12 便對利百加說:「將來大的要服侍小的。」 13 正如聖經上說:「我愛雅各,厭惡以掃。」

14 這樣看來,我們該怎麼下結論呢?難道上帝不公平嗎?當然不是。 15 祂曾對摩西說:

「我要憐憫誰就憐憫誰,
要恩待誰就恩待誰。」

16 可見這並不在於人的意志和努力,而在於祂的憐憫。 17 聖經記載著上帝對法老說的話:「我使你興起是為了在你身上彰顯我的權能,使我的名傳遍天下。」 18 總之,上帝要憐憫誰,就憐憫誰;要叫誰頑固,就叫誰頑固。

上帝的烈怒和憐憫

19 這樣,你肯定會對我說:「為什麼上帝還指責人呢?誰能抗拒祂的旨意呢?」 20 你這個人啊!你是誰啊?竟敢頂撞上帝!受造之物怎能對造物主說:「你為什麼把我造成這樣?」 21 陶匠難道不可以從一團泥中拿一部分造貴重的器皿,又拿一部分造平凡的器皿嗎?

22 倘若上帝要顯示祂的烈怒和權能,就儘量容忍那些祂預備要毀滅的器皿, 23 以便在那些祂憐憫並預備賜予榮耀的器皿上彰顯祂豐盛的榮耀,這難道不可以嗎? 24 那些蒙憐憫的器皿就是我們這些從猶太人和外族人中被上帝呼召的人。 25 正如上帝在《何西阿書》上說:

「本來不是我子民的,
我要稱他們為『我的子民』;
本來不是我所愛的,
我要稱他們為『我所愛的』。
26 從前我在什麼地方對他們說,
『你們不是我的子民。』
將來也要在那裡對他們說,
『你們是永活上帝的兒女。』」

27 關於以色列人,以賽亞先知曾疾呼:

「以色列人雖多如海沙,
但得救的只是剩餘的人,
28 因為上帝要在世上迅速、
徹底地執行祂的判決。」

29 以賽亞又說:

「若不是萬軍之主給我們存留後裔,
我們早就像所多瑪和蛾摩拉一樣滅亡了。」

以色列人和福音

30 這樣看來,我們該說什麼呢?本來不追求義的外族人卻因信而得到了義。 31 以色列人靠遵行律法追求義,卻徒勞無功。 32 為什麼會這樣呢?因為他們不憑信心,只靠自己的行為去追求義,結果就在那塊「絆腳石」上跌倒了。 33 正如聖經上說:

「看啊!我在錫安放了一塊絆腳石,
一塊使人跌倒的磐石。
但信靠祂的人必不致蒙羞。」

Mungu na Wayahudi

Nazungumza nayi sasa kama mmojawapo niliye wa Kristo. Hivyo mnaweza kuwa na uhakika kuwa sisemi uongo. Dhamiri yangu, inayotawaliwa na Roho Mtakatifu, inakubali kwamba ninayowaambia sasa ni kweli. Nimejawa na huzuni na maumivu ya moyoni yasiyokwisha kwa ajili ya watu wangu. Wao ni kaka na dada zangu katika mwili. Natamani ningeweza kuwasaidia. Ningekuwa tayari pia kuomba kupokea laana ya kutengwa na Kristo kama hiyo itaweza kuwasaidia. Ni Waisraeli, watoto waliochaguliwa na Mungu. Wameushuhudia utukufu wa Mungu na wanashiriki maagano aliyofanya Mungu na watu wake. Mungu aliwapa Sheria ya Musa, ibada ya Hekalu, na ahadi zake. Ni wazaliwa wa mababa zetu wakuu, na ni familia ya kidunia ya Masihi,[a] ambaye ni Mungu aliye juu ya vyote. Yeye asifiwe milele![b] Amina.

Sina maana kuwa Mungu alishindwa kutimiza ahadi yake kwa Wayahudi. Lakini kwa hakika ni baadhi tu ya Waisraeli ndiyo watu wa Mungu[c]. Na hivyo ni baadhi tu ya watoto wa Ibrahimu ndiyo wazaliwa wake halisi. Hivi ndivyo Mungu alimwambia Ibrahimu: “Wazaliwa wako halisi watakuwa wale waliotoka kwa Isaka.”(A) Hii ina maana kuwa si watoto wote wa Ibrahimu walio watoto halisi wa Mungu. Wazaliwa halisi wa Ibrahamu ni wale wanaofanyika watoto wa Mungu kwa sababu ya agano ambalo Mungu alililiweka na Ibrahamu. Hivi ndivyo Mungu alivyosema katika agano hilo: “Wakati kama huu mwaka ujao nitakujia tena, na Sara mke wako atazaa mwana.”(B)

10 Na si hivyo tu. Kitu kama hicho kilimtokea Rebeka ambaye baada ya kupata mimba ya wana wawili mapacha waliotokana na baba mmoja, baba yetu Isaka. 11-12 Ndiyo, kabla ya kuzaliwa wana hao mapacha, Mungu alimwambia Rebeka, “Mwana mkubwa atamtumikia mdogo.”(C) Hii ilikuwa kabla wavulana hawa hawajatenda jambo lolote jema au baya. Mungu alisema hivi kabla hawajazaliwa ili kwamba mvulana ambaye Mungu alimtaka atachaguliwa kutokana na mpango wa Mungu mwenyewe. Mvulana huyu alichaguliwa kwa sababu ndiye ambaye Mungu alitaka kumwita, si kwa sababu ya jambo lolote walilofanya wavulana hao. 13 Kama Maandiko yanavyosema, “Nilimpenda Yakobo lakini nilimchukia Esau.”(D)

14 Namsikia mtu akiuliza, “Hivyo hii ina maana gani? Je, Mungu si mwenye haki?” Hapana! 15 Mungu alimwambia Musa, “Nitampa rehema yeyote ninayetaka kumpa rehema. Nitamhurumia yeyote ninayemchagua.”(E) 16 Hivyo Mungu atamchagua yeyote anayeamua kumpa rehema pasipo kujali watu wanataka nini ama kwa jinsi gani wanapiga mbio. 17 Katika Maandiko Mungu anamwambia Farao: “Nilikuweka uwe mfalme kwa kusudi hili hasa: kuonesha nguvu zangu kupitia kwako. Nilitaka jina langu litangazwe ulimwenguni kote”(F) 18 Hivyo Mungu huwarehemu wale anaotaka kuwarehemu na huwafanya jeuri wale anaotaka wawe jeuri.

19 Hivyo utaniuliza, “Ikiwa unayosema ni kweli, kwa nini Mungu amlaumu mtu yeyote kwa kufanya makosa? Hayupo anayeweza kukataa kufanya yale anayotaka Mungu, Je, yupo?” 20 Hilo si la kuuliza. Wewe ni mwanadamu tu na huna haki ya kumhoji Mungu. Chungu hakiwezi kumhoji aliyekifinyanga. Hakiwezi kusema, “Kwa nini ulinifinyanga hivi?” 21 Yeye aliyefinyanga chungu anaweza kufinyanga kitu chochote anachotaka. Anautumia udongo ule ule wa mfinyanzi kufinyanga vitu mbalimbali. Anaweza kufinyanga kitu kimoja kwa makusudi maalumu na kingine kwa matumizi ya kila siku.

22 Ni kwa jinsi hiyo hiyo Mungu amefanya. Alitaka kuionesha hasira yake na kuwafanya watu waone nguvu zake. Lakini kwa uvumilivu wake aliwastahimili wale waliomuudhi, watu waliokuwa tayari kuangamizwa. 23 Alingoja kwa uvumilivu ili aweze kuutangaza utajiri wa utukufu wake kwa watu aliowachagua wapokee rehema zake. Mungu alikwisha waandaa kuushiriki utukufu wake. 24 Sisi ndiyo watu hao, ambao Mungu alituchagua si tu kutoka kwa Wayahudi lakini pia kutoka kwa wale wasio Wayahudi. 25 Kama Mungu anavyosema katika kitabu cha Hosea,

“Watu wasiokuwa wangu,
    nitasema ni watu wangu.
Na watu ambao sikuwapenda,
    nitasema ni watu ninaowapenda.(G)
26 Na pale Mungu aliposema zamani:
‘Ninyi si watu wangu’;
    hapo wataitwa watoto wa Mungu aliye hai.”(H)

27 Na Isaya huililia Israeli:

“Wako watu wengi sana wa Israeli,
    kuliko mchanga ulio pwani ya baharini.
    Lakini wachache wao watakaookolewa.
28 Ndiyo, Bwana atakamilisha kwa haraka
    aliyosema atayafanya duniani.”(I)

29 Ni kama vile alivyosema Isaya:

“Ikiwa Bwana Mwenye Uweza wote
    asingewaruhusu watu wachache wakaishi,
tungekuwa tumeangamizwa kabisa,
    kama vile miji miovu ya Sodoma, na Gomora.”(J)

30 Hivyo haya yote yanamaanisha nini? Je, tunasema kwamba watu wasio Wayahudi walifanikiwa kukipata kibali cha Mungu, hata kama hawakuwa wakijaribu kukipata kibali hicho? Ndiyo. Walipata kibali hicho kwa sababu ya imani kwa Mungu. 31 Na vipi kuhusu watu wa Israeli? Wao walitaka kujipatia kibali cha Mungu kwa kuifuata sheria. Je, tunasema kuwa hawakufanikiwa? 32 Ndiyo, na sababu yake ni hii: Walijitahidi kukipata kwa kufanya kwa usahihi mambo yote yaliyoamriwa katika sheria badala ya kumtumaini Mungu. Walijikwaa kwenye jiwe linalowafanya watu waanguke. 33 Maandiko yanazungumza kuhusu jiwe hilo:

“Tazama, ninaweka jiwe katika Sayuni litakalowafanya watu wajikwae.
    Ni mwamba utakaowaangusha watu.
Lakini yeyote atakayemtumaini yeye
    hataaibika kamwe.”(K)

Footnotes

  1. 9:5 Masihi Kwa maana ya kawaida, “Kristo”, tafsiri ya Kiyunani kwa neno “Masihi”. Tazama Kristo na Masihi katika Orodha ya Maneno.
  2. 9:5 Masihi, ambaye … milele Au “Masihi. Mungu, anayevitawala vitu vyote, asifiwe milele!”
  3. 9:6 watu wa Mungu Kwa maana ya kawaida, “Israeli”, watu aliowachagua Mungu ili kuleta baraka ulimwenguni.