罗马书 1
Chinese Contemporary Bible (Simplified)
问候
1 我是基督耶稣的奴仆保罗,蒙召做使徒,奉命传上帝的福音。 2 这福音是上帝从前借着众先知在圣经中应许的, 3 讲的是上帝的儿子——我们的主耶稣基督的事。从肉身来说,祂是大卫的后裔; 4 从圣洁的灵来看,祂从死里复活,用大能显明自己是上帝的儿子。 5 我们从祂领受了恩典并成为使徒,要带领万民信从祂,使祂的名得荣耀。 6 你们也是其中蒙召信从耶稣基督的人。 7 我问候所有住在罗马、上帝所爱、蒙召做圣徒的人。愿我们的父上帝和主耶稣基督赐给你们恩典和平安!
保罗渴望去罗马
8 首先,我借着耶稣基督为各位感谢我的上帝,因为你们的信心正在传遍天下。 9-10 我在祂儿子的福音事工上全心事奉的上帝可以为我做见证:我如何在祷告中常常想到你们,并求上帝让我照祂的旨意最终能去你们那里。 11 因为我实在想见你们,好将一些属灵的恩赐分给你们,使你们坚固, 12 也可以说是借着我们彼此的信心互相激励。
13 弟兄姊妹,我希望你们知道,我曾多次计划去你们那里,要在你们中间收获一些福音的果子,像在其他外族人中一样,只是至今仍有拦阻。 14 不论是希腊人、非希腊人[a]、智者、愚人,我对他们都有义务。 15 所以,我也切望能将福音传给你们在罗马的人。
16 我不以福音为耻,因为这福音是上帝的大能,要拯救一切相信的人,先是犹太人,然后是希腊人。 17 这福音显明了上帝的义,这义始于信,终于信,正如圣经上说:“义人必靠信心而活。”
人类的罪恶
18 上帝的烈怒从天上降下,要惩罚一切心中无神、行为不义、压制真理的人。 19 有关上帝的事情,可以让人类知道的都已经显而易见,因为上帝已经向人类显明了。 20 自从创造天地以来,上帝永恒的大能和神性是明明可知的,虽然肉眼看不见,但透过受造之物就可以领悟,因而人类毫无借口推说不知。 21 他们虽然明知有上帝,却不把祂当作上帝,既不将荣耀归给祂,也不感谢祂。他们的思想因此变得荒谬无用,无知的心也变得昏暗不明。 22 他们自以为聪明,其实愚不可及, 23 以必朽的人、飞禽、走兽和爬虫的形象来取代永恒上帝的荣耀。
24 因此,上帝任凭他们随从内心的情欲行污秽的事,玷污彼此的身体。 25 他们把上帝的真理当作谎言,祭拜、供奉受造之物,却不敬拜、事奉造物主。主是永远值得称颂的。阿们!
26 因此,上帝任凭他们放纵可耻的情欲。女人放弃正常的两性关系,做出变态反常的事。 27 男人也背弃了和女人正常的两性关系,欲火焚烧,同性之间彼此贪恋,男人和男人做出羞耻不堪的事。他们必在自己的身体上遭受应得的报应。
28 既然他们故意不认识上帝,上帝就任凭他们心思败坏,做不当做的事。 29 他们心里塞满了各种不义、邪恶、贪婪、阴险、嫉妒、凶杀、纷争、诡诈、恶毒;说长道短、 30 背后批评、怨恨上帝、欺侮别人、心骄气傲、自高自大、自我吹捧、无恶不作、违背父母、 31 愚钝无知、不守信用、无情无义、毫无怜悯。 32 他们明知,按上帝公义的法则,做这些事的人该死,不但执迷不悟,还喜欢别人跟他们同流合污。
Footnotes
- 1:14 “非希腊人”希腊文是“未开化的人”,指在希腊、罗马文化影响之外的人。
Warumi 1
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
1 Salamu kutoka kwa Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu.[a]
Mungu alinichagua niwe mtume na akanipa kazi ya kuhubiri Habari Njema yake. 2 Tangu zamani, kwa vinywa vya manabii katika Maandiko Matakatifu, Mungu aliahidi kwamba angewaletea Habari Njema watu wake. 3 Habari Njema hii inahusu Mwana wa Mungu, ambaye kama mwanadamu, alizaliwa katika ukoo wa Mfalme Daudi. 4 Na alipofufuliwa na Roho Matakatifu[b] kutoka kwa wafu, alipewa mamlaka kamili ya kutawala kama Mwana wa Mungu. Ni Yesu Kristo, Bwana wetu.
5 Kupitia kwa Yesu, Mungu amenionyesha wema wake. Na amenipa mamlaka ya kuwaendea watu wa mataifa yote na kuwaongoza kumwamini na kumtii yeye. Kazi yote hii ni kwa ajili yake. 6 Nanyi pia ni miongoni mwa waliochaguliwa na Mungu ili mmilikiwe na Yesu Kristo.
7 Waraka huu ni kwa ajili yenu ninyi nyote mlio huko Rumi. Kwani Mungu anawapenda na amewachagua kuwa watu wake watakatifu.
Ninamwomba Mungu Baba yetu na Bwana wetu Yesu Kristo, wawape ninyi neema na amani.
Maombi ya Shukrani
8 Kwanza, ninamshukuru Mungu wangu kupitia Yesu Kristo kwa ajili yenu ninyi nyote. Ninamshukuru yeye kwa sababu kila mahali ulimwenguni watu wanazungumza kuhusu imani yenu kuu. 9-10 Kila wakati ninapoomba, ninawakumbuka ninyi daima. Mungu anajua kuwa hii ni kweli. Yeye ndiye ninayemtumikia kwa moyo wangu wote nikiwaambia watu Habari Njema kuhusu Mwanaye. Hivyo ninaendelea kuomba kwamba mwishowe Mungu atanifungulia njia ili niweze kuja kwenu. 11 Ninataka sana niwaone na niwape zawadi ya kiroho ili kuimarisha imani yenu. 12 Ninamaanisha kuwa ninataka tusaidiane sisi kwa sisi katika imani tuliyo nayo. Imani yenu itanisaidia mimi, na imani yangu itawasaidia ninyi.
13 Kaka zangu na dada zangu, ninataka mjue kwamba nimepanga mara nyingi kuja kwenu, lakini jambo fulani hutokea na kubadili mipango yangu kila ninapopanga kuja. Juu ya kazi yangu miongoni mwenu, ningependa kuona matokeo yale yale mazuri yakitokea ya kazi yangu miongoni mwa watu wengine wasio Wayahudi.
14 Imenilazimu kuwatumikia watu wote; waliostaarabika na wasiostaarabika,[c] walioelimika na wasio na elimu. 15 Ndiyo sababu ninataka sana kuzihubiri Habari Njema kwenu ninyi pia mlio huko Rumi.
16 Kwa mimi hakuna haya[d] katika kuhubiri Habari Njema. Ninayo furaha kwa sababu Habari Njema ni nguvu ya Mungu inayomwokoa kila anayeamini, yaani inawaokoa Wayahudi kwanza, na sasa inawaokoa Mataifa.[e] 17 Ndiyo, wema wa uaminifu wa Mungu umedhihirishwa katika Habari Njema kwa uaminifu wa mmoja, ambao huongoza imani ya wengi. Kama Maandiko yanavyosema, “Aliye na haki mbele za Mungu[f] ataishi kwa imani.”[g]
Mungu ni Mwaminifu Na Atauadhibu Uovu
18 Mungu huonesha hasira yake kutokea mbinguni dhidi ya mambo mabaya ambayo waovu hutenda. Hawamheshimu na wanatendeana mabaya. Maisha yao maovu yanasababisha ukweli kuhusu Mungu usijulikane. 19 Hili humkasirisha Mungu kwa sababu wamekwisha oneshwa Mungu alivyo. Ndiyo, Mungu ameliweka wazi kwao.
20 Yapo mambo yanayoonekana kuhusu Mungu, kama vile nguvu zake za milele na yale yote yanayomfanya awe Mungu. Lakini tangu kuumbwa kwa ulimwengu, mambo haya yamekuwa rahisi kwa watu kuyaona. Maana yake ni kuwa, watu wanaweza kumwelewa Mungu kwa kuangalia yale aliyoumba. Hivyo watu hawana udhuru kwa uovu wanaotenda.
21 Watu walimjua Mungu, lakini hawakumheshimu kama Mungu. Na hawakumpa shukrani. Badala yake waliyageukia mambo ya hovyo yasiyo na manufaa. Akili zao zilichochanganyikiwa zilijaa giza. 22 Walisema kuwa wana hekima, lakini wakawa wajinga. 23 Hawakuuheshimu ukuu wa Mungu, anayeishi milele. Wakaacha kumwabudu Mungu wakaanza kuabudu sanamu, vitu vilivyotengenezwa vikaonekana kama wanadamu, ambao wote mwisho hufa, au kwa mfano wa ndege na wanyama wanaotembea na wanaotambaa.
24 Hivyo Mungu akawaacha wazifuate tamaa zao chafu. Wakawa najisi na wakaivunjia heshima miili yao kwa njia za uovu walizotumia. 25 Waliibadili kweli kuhusu Mungu kwa uongo. Wakasujudu na kuabudu vitu alivyoviumba Mungu badala ya kumwabudu Mungu aliyeviumba vitu hivyo. Yeye ndiye anayepaswa kusifiwa milele yote. Amina.
26 Hivyo, kwa kuwa watu hawakumheshimu Mungu, Mungu akawaacha wafuate tamaa zao za aibu. Wanawake wao wakabadili namna ya kujamiiana na wakawatamani wanawake wenzao na wakajamiiana wao kwa wao. 27 Wanaume wakafanya vivyo hivyo. Wakaacha kujamiiana na wanawake kwa mfumo wa asili, wakaanza kuwawakia tamaa wanaume wenzao. Wakafanya mambo ya aibu na wanaume na wavulana. Wakajiletea aibu hii juu yao wenyewe, wakapata yale waliyostahili kwa kutelekeza kweli.
28 Watu hawa waliona kuwa haikuwa muhimu kwao kumkubali Mungu katika fikra zao. Hivyo Mungu akawaacha wayafuate mawazo yao mabaya. Hivyo hufanya mambo ambayo mtu yeyote hapaswi kufanya. 29 Maisha yao yamejaa kila aina ya matendo mabaya, uovu, tamaa na chuki. Wamejaa wivu, uuaji, ugomvi, uongo na hamu ya kuwadhuru wengine. Wanasengenya 30 na kusemana maovu wao wenyewe. Wanamchukia Mungu. Ni wakorofi, wana kiburi na hujivuna. Hubuni njia za kufanya maovu. Hawawatii wazazi wao. 31 Ni wapumbavu, hawatimizi ahadi zao. Hawawaoneshi wema wala huruma wengine. 32 Wanajua amri ya Mungu kuwa yeyote anayeishi kwa namna hiyo lazima afe. Lakini si tu kwamba wanaendelea kufanya mambo haya wenyewe, bali wanakubaliana na wengine wanaofanya mambo hayo.
Footnotes
- 1:1 Kristo Yesu Au “Mfalme Yesu”. Neno “Kristo” ni tafsiri ya Kiyunani ya neno la Kiebrania “Masihi”, ambao ni wadhifa wa kifalme. Tazama Mk 15:32: Lk 23:2. Tazama pia Kristo na Masihi katika Orodha ya Maneno.
- 1:4 Roho Matakatifu Kwa maana ya kawaida, “Roho wa Utakatifu”.
- 1:14 waliostaarabika na wasiostaarabika Kwa maana ya kawaida, “Wayunani na wasio Wayunani”. Tazama Wayunani katika Orodha ya Maneno.
- 1:16 hakuna haya Paulo anazungumzia suala la kuona haya kwa kuihubiri Habari Njema (injili) kwa sababu, nyakati zake, Habari Njema zilileta mshtuko na fadhaa kwa watu wengi. Kama anavyoandika katika barua zake nyingine, msingi wa ujumbe wake ulikuwa “Kristo (Mfalme toka kwa Mungu) aliuawa msalabani.” Anaongeza, “Ujumbe huu ni kikwazo kwa Wayahudi, na kwa watu wengine ni upuuzi.” Tazama 1 Kor 1:22-25.
- 1:16 Mataifa Yaani watu wasio Wayahudi.
- 1:17 Aliye na haki mbele za Mungu Au “Mwenye haki”, mara nyingi hutumika kama cheo cha Masihi, Mfalme Mteule wa Mungu aliyeahidiwa katika Agano la Kale. Tazama Isa 53:11; Hab 2:4; Zek 9:9; Mdo 3:14; 7:52; 22:14.
- 1:17 ataishi kwa imani katika Hab 2:4, ambayo pia, inaweza kutafsiriwa kuwa, “Mwenye haki ataishi kwa uaminifu.”
羅馬書 1
Chinese Contemporary Bible (Traditional)
問候
1 我是基督耶穌的奴僕保羅,蒙召作使徒,奉命傳上帝的福音。 2 這福音是上帝從前藉著眾先知在聖經中應許的, 3 講的是上帝的兒子——我們的主耶穌基督的事。從肉身來說,祂是大衛的後裔; 4 從聖潔的靈來看,祂從死裡復活,用大能顯明自己是上帝的兒子。 5 我們從祂領受了恩典並成為使徒,要帶領萬民信從祂,使祂的名得榮耀。 6 你們也是其中蒙召信從耶穌基督的人。 7 我問候所有住在羅馬、上帝所愛、蒙召做聖徒的人。願我們的父上帝和主耶穌基督賜給你們恩典和平安!
保羅渴望去羅馬
8 首先,我藉著耶穌基督為各位感謝我的上帝,因為你們的信心正在傳遍天下。 9-10 我在祂兒子的福音事工上全心事奉的上帝可以為我做見證:我如何在禱告中常常想到你們,並求上帝讓我照祂的旨意最終能去你們那裡。 11 因為我實在想見你們,好將一些屬靈的恩賜分給你們,使你們堅固, 12 也可以說是藉著我們彼此的信心互相激勵。
13 弟兄姊妹,我希望你們知道,我曾多次計劃去你們那裡,要在你們中間收穫一些福音的果子,像在其他外族人中一樣,只是至今仍有攔阻。 14 不論是希臘人、非希臘人[a]、智者、愚人,我對他們都有義務。 15 所以,我也切望能將福音傳給你們在羅馬的人。
16 我不以福音為恥,因為這福音是上帝的大能,要拯救一切相信的人,先是猶太人,然後是希臘人。 17 這福音顯明了上帝的義,這義始於信,終於信,正如聖經上說:「義人必靠信心而活。」
人類的罪惡
18 上帝的烈怒從天上降下,要懲罰一切心中無神、行為不義、壓制真理的人。 19 有關上帝的事情,可以讓人類知道的都已經顯而易見,因為上帝已經向人類顯明了。 20 自從創造天地以來,上帝永恆的大能和神性是明明可知的,雖然肉眼看不見,但透過受造之物就可以領悟,因而人類毫無藉口推說不知。 21 他們雖然明知有上帝,卻不把祂當作上帝,既不將榮耀歸給祂,也不感謝祂。他們的思想因此變得荒謬無用,無知的心也變得昏暗不明。 22 他們自以為聰明,其實愚不可及, 23 以必朽的人、飛禽、走獸和爬蟲的形像來取代永恆上帝的榮耀。
24 因此,上帝任憑他們隨從內心的情慾行污穢的事,玷污彼此的身體。 25 他們把上帝的真理當作謊言,祭拜、供奉受造之物,卻不敬拜、事奉造物主。主是永遠值得稱頌的。阿們!
26 因此,上帝任憑他們放縱可恥的情慾。女人放棄正常的兩性關係,做出變態反常的事。 27 男人也背棄了和女人正常的兩性關係,慾火焚燒,同性之間彼此貪戀。男人和男人做出羞恥不堪的事,他們必在自己的身體上遭受應得的報應。
28 既然他們故意不認識上帝,上帝就任憑他們心思敗壞,做不當做的事。 29 他們心裡塞滿了各種不義、邪惡、貪婪、陰險、嫉妒、兇殺、紛爭、詭詐、惡毒;說長道短、 30 背後批評、怨恨上帝、欺侮別人、心驕氣傲、自高自大、自我吹捧、無惡不作、違背父母、 31 愚鈍無知、不守信用、無情無義、毫無憐憫。 32 他們明知,按上帝公義的法則,做這些事的人該死,不但執迷不悟,還喜歡別人跟他們同流合污。
Footnotes
- 1·14 「非希臘人」希臘文是「未開化的人」,指在希臘、羅馬文化影響之外的人。
羅 馬 書 1
Chinese New Testament: Easy-to-Read Version
1 我,保罗、基督耶稣的仆人,受上帝的召唤成为一名使徒,被选来传播上帝的福音。
2 很久之前,上帝许诺通过先知在《经》里把福音传给他的子民。 3 福音是关于上帝之子,即我们的主耶稣基督的事情。做为凡人,他是大卫家族的后裔, 4 但是,通过圣灵,当他从死里复活时,表明他是上帝之子。
5 通过基督,上帝赐给了我一名使徒的特殊使命,即引导所有的民族信仰和服从他。我做这一切是为了荣耀基督。 6 你们也包括在其中,是蒙受了选择属于耶稣基督的人。
7 这封信是写给你们所有在罗马的人,上帝爱你们,还选择了你们成为他的圣民 [a]。愿上帝我们的父和主耶稣基督,赐予你们恩典与和平。
感恩的祷告
8 首先,通过耶稣基督,我为你们所有的人感谢我的上帝,因为你们的信仰被传遍了全世界。 9 上帝— 即我靠传播关于他儿子的福音而全心全意侍奉的上帝,可以为我作证,在祷告中,我总是提到你们。 10 我总是请求按照上帝的意愿,让我最终能去拜访你们。 11 我渴望见到你们,想给你们一些属灵的礼物,以便加强你们的信仰。 12 我是说,我想用咱们共同的信仰互相帮助, 你们的信仰将帮助我们, 我们的信仰也将帮助你们。
13 兄弟姐妹们,我想让你们知道,有很多次我都计划要来拜访你们,为的是我可以在你们中间得到些成果,就如我在其他的外族人中所做的那样。可是总有事情发生, 使得我屡次改变计划。
14 我必须侍奉所有的人, 包括有希腊教养的人和不太文明的人 [b],还包括受过教育的人和无知的人。 15 所以,我迫切地要把福音传播给你们在罗马的人。
16 我以福音为自豪,因为福音是上帝用以拯救每个相信它的人的力量—首先是拯救犹太人,然后是外族人。 17 福音揭示了上帝是如何使人们得到他的认可。 上帝使人们得到他认可 [c]的途径自始至终都伴随着信仰。正如《经》上所说∶“得到上帝认可的人凭信仰将永生。”
所有的人都犯过错
18 上帝从天堂向所有邪恶和错误行为显示了他的愤怒,他们用非正义的恶行压制真理。 19 上帝被此激怒了,因为上帝已向他们显示了他喜爱什么,的确,上帝使他们对此一清二楚。
20 自创世以来,上帝那看不见的品格—他永恒的力量和神性—是很容易被人们理解的。上帝借他所造之物,把他永恒的力量和神性清清楚楚地展示了出来,所以人们是没有借口为他们的邪恶行为开脱了。
21 他们虽然已经知道了上帝,但是却不把他应有的荣誉归于他,也不向他表示感恩。他们的思想变得空虚无用,愚蠢的内心充满了黑暗。 22 尽管他们自称聪明,但是实 际上却成了蠢人, 23 他们不但没有荣耀永生的上帝的卓越神性, 反而去崇拜那些被造的偶像 [d],它们被造的形象如同会生病必死的人类、或像飞禽走兽、爬行的蛇一样。
24 人们只想做邪恶的事情, 于是,上帝便离开了他们,任凭他们走邪恶之道。 他们变成了毫无道德的人,在淫乱中互相无耻地玷污自己的身体。 25 他们把上帝的真理变为谎言,他们不去崇拜造物主,却去崇拜和侍奉被造之物。创世主应该永远受到赞美,阿们!
26 因为人们的这些行为,上帝离开了他们,任凭他们随心所欲地做令人羞耻的事情。女人放弃了与男性之间的自然性关系而去和其他女性发生性关系。 27 同样,男人放弃了与女人之间的自然的性关系,彼此燃起了欲火,他们彼此间做出了猥亵羞耻的事情。因为这些邪恶的行为,他们的身体受到了应得的惩罚。
28 因为他们拒绝承认上帝,上帝便离开了他们,任凭他们存有空虚之心,去做他们不该做的事情。 29 他们充满了各种邪恶、贪婪、憎恨。他们充满了嫉妒、谋杀、争斗和慌言, 对人心怀恶意。 他们说闲话, 30 互相诽谤。 他们憎恨上帝,他们粗野无理,骄傲自负,惹事生非。 他们不孝顺父母, 31 他们是愚蠢的, 他们不守诺言,对人没有爱心和怜悯之心。 32 虽然他们知道,按照上帝的法令,做这些事情的人是该死的,但是,他们不但自己继续这么做,而且还鼓励其他做这些事情的人。
Footnotes
- 羅 馬 書 1:7 圣民: 上帝的子民被称圣,因为通过基督使他们圣洁,只属上帝。
- 羅 馬 書 1:14 有希腊教养的人和不太文明的人: 直译: 希腊人和野蛮人。
- 羅 馬 書 1:17 上帝使人们得到他的认可: 上帝使人们与他和好或上帝算他们是正义的。
- 羅 馬 書 1:23 偶像: 由木头、石头或金属所造,人们像崇拜神一样崇拜它们。
Chinese Contemporary Bible Copyright © 1979, 2005, 2007, 2011 by Biblica® Used by permission. All rights reserved worldwide.
© 2017 Bible League International
Copyright © 2004 by World Bible Translation Center