帖撒羅尼迦後書 2
Chinese Contemporary Bible (Traditional)
主再來的先兆
2 弟兄姊妹,關於主耶穌基督再來和我們到祂那裡相聚的事情, 2 我們現在奉勸你們:無論是什麼靈,或是傳聞,或是冒充我們寫的信,說主的日子已經到了,你們都不要輕易動搖,也不要驚慌。 3 不管別人用什麼詭計,你們都不要上當。因為那日子來臨之前,必有離經叛道的事發生,而那不法之徒,就是那註定滅亡的人也要出現。 4 他會抵擋主,高抬自己超過一切所謂的神明和人們崇拜的對象,甚至坐在上帝的殿中以上帝自居!
5 我還在你們那裡的時候,曾告訴過你們這些事,你們忘記了嗎? 6 現在,你們知道是什麼攔阻他,使他等到特定的時間才出現。 7 其實那不法之徒的陰謀已經在醞釀中,然而現在有一位在攔阻他。等到攔阻他的那位一離開, 8 他就會出現,但主耶穌會用自己口中的氣毀滅他,用從天降臨的榮光廢掉他。
9 他來要按照撒旦的伎倆行各樣虛假的異能、神蹟和奇事, 10 用盡各樣詭計欺騙那些將要滅亡的人,因為他們不喜歡接受那能拯救他們的真理。 11 上帝就讓他們是非不辨,去相信那些虛假的謊言, 12 使一切不相信真理、反喜愛不義的人都被定罪。
要堅定不移
13 主所愛的弟兄姊妹,我們應該時常為你們感謝上帝,因為上帝一開始就揀選了你們,為了使你們藉著聖靈得以聖潔,並且相信真理,從而得救。 14 上帝藉著我們所傳的福音呼召了你們,使你們可以得到我們主耶穌基督的榮耀。 15 所以,各位弟兄姊妹,務要堅定不移,無論是我們信上的教導還是口頭的教導,你們都要堅守。
16 願主耶穌基督和愛我們、開恩將永遠的安慰和美好的盼望賜給我們的父上帝, 17 安慰你們的心,使你們在一切善行善言上剛強。
2 Wathesalonike 2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mambo Maovu Yatatokea
2 Kaka na dada, tuna jambo la kuwaambia juu ya kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Tunataka kuzungumza nanyi juu ya wakati huo tutakapokusanyika pamoja naye. 2 Msikubali kufadhaishwa na kutiwa kuhofu ikiwa mtasikia kwamba siku ya Bwana tayari imekwishawadia. Wengine wanaweza kusema kwamba wazo hili limetoka kwetu katika jambo alilotuambia Roho, au tulilosema, au katika barua tuliyoiandika. 3 Msidanganywe na chochote wanachoweza kusema kuhusu kuja kwa Bwana. Siku hiyo ya Bwana haitakuja mpaka itanguliwe na kukengeuka kwa wanadamu na kumwacha Mungu. Na siku hiyo haitakuja mpaka ajitokeze kwanza Mtu wa Uovu, yule ambaye ana uhakika kuwa ataangamizwa.[a] 4 Huyo atasimama kinyume na kujiweka mwenyewe juu ya kila kitu ambacho watu wanaabudu au kudhani kuwa kinafaa kuabudiwa. Ataenda na kuingia ndani ya Hekalu[b] na kukikalia kiti cha enzi, akidai kuwa yeye ni Mungu.
5 Niliwaambia zaidi ya mara moja nilipokuwa huko kwamba mambo yote haya yangetokea. Je, mnakumbuka? 6 Na mnafahamu kinachomzuia Mtu wa Uovu. Huyo hataruhusiwa kuonekana mpaka wakati sahihi utakapofika. 7 Tayari nguvu ya uovu inatenda kazi ulimwenguni sasa. Lakini yupo mmoja anayeizuia nguvu hiyo. Na ataendelea kuizuia mpaka atakapoondolewa. 8 Kisha huyo Mtu wa Uovu atatokea. Lakini Bwana Yesu atamuua kwa pumzi inayotoka katika kinywa chake. Bwana atakuja katika namna ambayo kila mtu atamwona, na huo utakuwa mwisho wa Mtu wa Uovu.
9 Kuja kwa Mtu wa Uovu itakuwa kazi ya Shetani. Atakuja na nguvu kuu, na atafanya aina zote za miujiza ya uongo, ishara, na maajabu. 10 Mtu wa Uovu atatumia kila aina ya uovu kuwatia ujinga wote walio njiani kuelekea kuangamia. Wamepotea kwa sababu walikataa kuupenda ujumbe wenye ukweli kuhusu Yesu na kuokolewa. 11 Hivyo Mungu atawaacha wadanganyike hata kuamini uongo.[c] 12 Wote watahukumiwa kwa sababu hawakuamini ujumbe wa kweli na kwa kuwa walifurahia kufanya maovu.
Mmechaguliwa kwa ajili ya Wokovu
13 Ndugu zangu, ninyi ni watu mnaopendwa na Bwana. Na imetupasa tumshukuru Mungu daima kwa sababu yenu. Hayo ndiyo tunayotakiwa kuyatenda, kwa sababu Mungu aliwaita kuwa miongoni mwa watu[d] wa kwanza kuokolewa. Mmeokolewa na Roho aliyewafanya muwe watu wa Mungu walio watakatifu kupitia kuiamini kweli. 14 Mungu aliwaita ninyi mpate wokovu. Aliwaita kwa kutumia Habari Njema tuliwahubiri. Mliitwa ili mshiriki katika utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo. 15 Hivyo simameni imara na kuendelea kuamini mafundisho tuliyowapa tulipokuwa huko na kupitia barua yetu.
16-17 Tunaomba kwamba Bwana Yesu Kristo na Mungu Baba yetu awafariji na kuwaimairisha katika kila jambo jema mnalotenda na kusema. Mungu alitupenda na kutupa kupitia neema matumaini ya ajabu na faraja isiyo na mwisho.
Footnotes
- 2:3 ataangamizwa Au “Kusababisha uharibifu”. Kwa maana ya kawaida, “ni mwana wa uharibifu”.
- 2:4 Hekalu Pengine Hekalu katika Yerusalemu. Tazama Hekalu katika Orodha ya Maneno.
- 2:11 uongo Ina maana ya kuamini uongo (mkubwa) juu ya Muasi (ya kwamba Muasi ndiye Mungu).
- 2:13 kuwa … watu Nakala zingine za Kiyunani zimeongeza, “kuanzia mwanzo”.
2 Thessalonians 2
King James Version
2 Now we beseech you, brethren, by the coming of our Lord Jesus Christ, and by our gathering together unto him,
2 That ye be not soon shaken in mind, or be troubled, neither by spirit, nor by word, nor by letter as from us, as that the day of Christ is at hand.
3 Let no man deceive you by any means: for that day shall not come, except there come a falling away first, and that man of sin be revealed, the son of perdition;
4 Who opposeth and exalteth himself above all that is called God, or that is worshipped; so that he as God sitteth in the temple of God, shewing himself that he is God.
5 Remember ye not, that, when I was yet with you, I told you these things?
6 And now ye know what withholdeth that he might be revealed in his time.
7 For the mystery of iniquity doth already work: only he who now letteth will let, until he be taken out of the way.
8 And then shall that Wicked be revealed, whom the Lord shall consume with the spirit of his mouth, and shall destroy with the brightness of his coming:
9 Even him, whose coming is after the working of Satan with all power and signs and lying wonders,
10 And with all deceivableness of unrighteousness in them that perish; because they received not the love of the truth, that they might be saved.
11 And for this cause God shall send them strong delusion, that they should believe a lie:
12 That they all might be damned who believed not the truth, but had pleasure in unrighteousness.
13 But we are bound to give thanks alway to God for you, brethren beloved of the Lord, because God hath from the beginning chosen you to salvation through sanctification of the Spirit and belief of the truth:
14 Whereunto he called you by our gospel, to the obtaining of the glory of our Lord Jesus Christ.
15 Therefore, brethren, stand fast, and hold the traditions which ye have been taught, whether by word, or our epistle.
16 Now our Lord Jesus Christ himself, and God, even our Father, which hath loved us, and hath given us everlasting consolation and good hope through grace,
17 Comfort your hearts, and stablish you in every good word and work.
© 2017 Bible League International